Kuna tetesi kwamba Leo Mh Mbowe na Dk Slaa watashiriki ibada ya j2 katika kanisa la Machui liliopo Jimbo la Uzini.
kwa mara ya kwanza tunaweza kumuona dk Slaa akiwa kwenye sherehe za Ibada. Kwani vyombo vya habari vingi vitaelekea ktk misa hiyo
Lkn pia kabla ya kuwasili katika Jimbo hilo watapitia katika mitaa mbali mbali kuwahamasisha wananchi.
watatembelea vijiji vya Kinu Moshi ambapo kabila la wariguru na wanyamwezi wanapatikana kwa wingi sana.
lkn kwa ujumla Vijiji vingi vya Jimbo hilo wanamsubiri Raza kwa kasi. hata Cuf nao wanashiriki tu.
Mjini Mbowe hata hazungumzwi kabisa
kwa mara ya kwanza tunaweza kumuona dk Slaa akiwa kwenye sherehe za Ibada. Kwani vyombo vya habari vingi vitaelekea ktk misa hiyo
Lkn pia kabla ya kuwasili katika Jimbo hilo watapitia katika mitaa mbali mbali kuwahamasisha wananchi.
watatembelea vijiji vya Kinu Moshi ambapo kabila la wariguru na wanyamwezi wanapatikana kwa wingi sana.
lkn kwa ujumla Vijiji vingi vya Jimbo hilo wanamsubiri Raza kwa kasi. hata Cuf nao wanashiriki tu.
Mjini Mbowe hata hazungumzwi kabisa