Ufunguo wa furaha katika ndoa ni kumpenda mume kuliko watoto?

Asilimia kubwa ya wadada wanakuja hawajuhi kupika kwa kuwa wametokea familia masikini hivyo chakula anachojua ni cha kuchemsha tu.

Unachopaswa kufanya kama wife ni kumpiga shule huyo dada basi, baada ya muda anakuwa na yeye mwalimu.

Nina dada yangu yeye ma house girl wake anawapeleka kozi kabisa ya kupika na anasema itawasaidia hata mkiacha kazi.
Sasa kama mama yeye hajui kupika atamfundisha nini dada? Na kama hilo wazo la kumpeleka kozi hanalo mume ale wapi kama sio nje ya nyumbani?
 
Hapa Lizy hatuongelei mama asojua kupika, ila asiyepika kila siku kwa mumewe.

Hivi unaamini kweli kuna wanawake wengi kiivyo wasojua kupika???

How long does it take kwa mtu kujifunza kupika mpaka kuwe kuna wanawake hawajuhi kupika? Au inahitaji akili kiasi gai kujua kupika? Watakuwa hawataki tu.

Sasa kama mama yeye hajui kupika atamfundisha nini dada? Na kama hilo wazo la kumpeleka kozi hanalo mume ale wapi kama sio nje ya nyumbani?
 
watoto na baba ndani ya ndoa wana nafasi tofauti mbele ya mama. Wote unawapenda kupita kiasi lakini kwa namna tofauti. siwezi kupenda zaidi mtoto nikamsahau baba au nikapenda baba nikasahau mtoto. kizuri chochote nilicho nacho nitawapa wote. tukila kiporo ni wote, tukila makuku kwa mafirigisi ni wote. kwa sababu wote ni wa kwangu, nawapenda kwa namna tofauti.
 
Hapa Lizy hatuongelei mama asojua kupika, ila asiyepika kila siku kwa mumewe.

Hivi unaamini kweli kuna wanawake wengi kiivyo wasojua kupika???

How long does it take kwa mtu kujifunza kupika mpaka kuwe kuna wanawake hawajuhi kupika? Au inahitaji akili kiasi gai kujua kupika? Watakuwa hawataki tu.

NK inabidi tuwaweke wote kwenye kundi moja kwasababu wote wanaweza kusababisha chakula cha nyumbani kisiwe kinavutia walaji.

Kuhusu wengi ,siwezi kukutajia namba kiujumla ila nawajua wengi. Especially waliopo kwenye late 20s maana hicho kizazi na kinachofuata kinachukulia kazi za nyumbani kama ushamba fulani hivi na wamezoea kufanyiwa kila kitu. Alafu nadhani wapo wasiojua kweli, yani hata wajitahidi vipi.Kuna msichana yeye alikua akija kwangu wakati wa kupika namwambia asijali apumzike tu maana najua ni bomu jikoni.
 
Si ndo tunawaelewesha hapa. Wanasoma ujue. Otherwise cheni bandia pesa bandi!
Sasa Shosti,
wengi wa hao wanaume hawanaga mapenzi..utasbiri wee upendwe..wapi!
Ila wangejua kuwa wakipenda wake zao automatically wake watawatii ile mbaya.
 
Hapana upendo si chakula ila ni mfano tu wa jinsi mke alivyoweka concetration kwa mwanaume na kusahau watoto, we angalia kwenye mafundisho ya ndoa including kitchen party ni mara ngapi mwanamke anapata mafundisho ya kulea watoto hakuna ni kumfurahisha mwanaume tu.
Upuuzi mwingine unaoniboa sana lol
siku ya harusi yangu..sitaki cha kitchen party wala chicken party mashosti jamani!
 
Upuuzi mwingine unaoniboa sana lol
siku ya harusi yangu..sitaki cha kitchen party wala chicken party mashosti jamani![/
COLOR]


ha ha tatizo sisi kwetu harusi si swala la mtu binafsi,utaambiwa wewe tulia kwani tatizo lako nini kama michango tutachanga si tunataka kucheza sherehe ha ha
 
Kuna wanaumee wengine hata uwalambe
Miguu hawana heshima..

Bora nimtunze mwanangu . Anaenifanya ni
Tabasamu kila sekunde nimuonapo . Anaenifanya nifanye kazi kwa juhudi . Na alienifanya niwe very strong . Na anaefanya
Maisha yaonekane marahisi. Na mwenyewe upendo wa kweli ..
 
Kuna wanaumee wengine hata uwalambe
Miguu hawana heshima..

Bora nimtunze mwanangu . Anaenifanya ni
Tabasamu kila sekunde nimuonapo . Anaenifanya nifanye kazi kwa juhudi . Na alienifanya niwe very strong . Na anaefanya
Maisha yaonekane marahisi. Na mwenyewe upendo wa kweli ..

Nakusubiria we mama nanilii.. . .
 
I swear kuna mtu kaiba password ya King'asti

Biblia inakataza kabisaa kulalamika. Tena inaongelea juu ya ndugu akikosea muonye kwa upendo, ikishindikana muitie wazee. Na pale mwenzio yuko weak u can be strong, bila kuzidisha. Wanawake wa siku hizi tunajivalisha sarawili,dunia yote kama tumeibeba mabegani!lol, leo nimekunywa madhiwa akili sijui imekaaje hehehe
 
NK inabidi tuwaweke wote kwenye kundi moja kwasababu wote wanaweza kusababisha chakula cha nyumbani kisiwe kinavutia walaji.

Kuhusu wengi ,siwezi kukutajia namba kiujumla ila nawajua wengi. Especially waliopo kwenye late 20s maana hicho kizazi na kinachofuata kinachukulia kazi za nyumbani kama ushamba fulani hivi na wamezoea kufanyiwa kila kitu. Alafu nadhani wapo wasiojua kweli, yani hata wajitahidi vipi.Kuna msichana yeye alikua akija kwangu wakati wa kupika namwambia asijali apumzike tu maana najua ni bomu jikoni.

Kumbe??? Hahahahaaaa...........asavali umeniambia mapema!!! Nikija kwako sipiki ng'ooo!
 
Kuna wanaumee wengine hata uwalambe
Miguu hawana heshima..

Bora nimtunze mwanangu . Anaenifanya ni
Tabasamu kila sekunde nimuonapo . Anaenifanya nifanye kazi kwa juhudi . Na alienifanya niwe very strong . Na anaefanya
Maisha yaonekane marahisi. Na mwenyewe upendo wa kweli ..

Saanteee..... Tena wa hivyo huwa hawaishiwi vijisababu, utamfanyia hiki kesho anaibuka na kile tena vingine kwa makusudi kabisa! Yaani anaona kama vile wewe tu ndo upo kwa ajili yake, ila yeye akhaa....anajiexclude as if hapaswi kukufanya ufurahi!!
 
...zaidi ni kumjali na kumthamini kwani kuna daraja mbili tofauti baina ya upendo wa mzazi kwa mtoto vs
upendo wa mke kwa mume (and vice versa)
 
Mtoto wangu ndio kila kitu kwa kweli, baba nitampenda kama na yeye ananipenda, yaani wote tupendane mapenzi ya kweli na si kuogopana wala kulazimishana kupenda wakati wote ni watu wazima kila mtu kaletwa duniani na mwingine ila huyu ambae mimi ndio nimemleta duniani lazima apate upendo wa ziada.
 
Back
Top Bottom