Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,133
nadhani ngoja aolewe kwanza maana "adhabu ya kaburi aijuae ni maiti"
The worst deffensive statement EVERRR.Sio lazima nionje sumu kujua kwamba inaweza kuniua.
nadhani ngoja aolewe kwanza maana "adhabu ya kaburi aijuae ni maiti"
Huu mbona ni upuuzi wa mwaka 47!
Kwanza mtu mzima haitaji kula kiviiile maana keshakua..anachohitaji ni ukarabati wa afya na kujiweka hai tu.
Watoto ndio wanahitaji kula zaidi tena vyakula kama maziwa, nyama etc.
Kumlea baba kama mtoto ni uzembe.Halafu jamani, kwani upendo ni chakula?
Wanaume wangapi wanatimiza majukumu yao kibiblia?Mnakosea sasa! Vitabu vya dini, samahani kwa nitakaemkwaza, vinasema 'mwanaume ampende mkewe' tena kwa 'akili'. Mwanamke anapaswa kutii tu yale yanayofaa kutii. Watoto wanapaswa kulindwa na kufundishwa na wazazi wote. Sasa wanawake siku hizi tunajipa jukumu la 'kupenda' tena hadi kutunza familia. Ndo maana vilio havituishi. Mi nimeamua nitulie tuliii nipendwe tu
NB: msiniwakie sana, nnakuwaga na moyo,lol
Hebu tupe hiyo formula yako ya kukaa tuliii upendwe.Inakuwaje mwenzetu?
The worst deffensive statement EVERRR.Sio lazima nionje sumu kujua kwamba inaweza kuniua.
Kumpenda mume si kula wala kupika. Na kuna tofauti kati ya kumpenda mtu na kumuogopa. Naona hapa watu wanazungumzia wanawake wanaowaogopa waume zao.
Baba akiingia ndani watu mbio....
Formulae inaanzia kwa mwanaume kumpenda mwanamke. Sasa ukipendwa automatikale unajikuta unatii. Si ndo kutulia nako inakuja automatikale pia? Well,jokes aside; watoto ni muhimu kupendwa na wazazi wote wawili. Manake kuna wabab utadhani walibakwaga!
binti hizo formula unajidanganya! Lakini may be...labda
Si ndio hapo sasa! Tatizo liko hapo... wengine husema " the way to a man's heart is through his stomach' sijui huwa inamaanisha nini.
Wanaume wangapi wanatimiza majukumu yao kibiblia?
Wasipotimoza wanawake wakae tu huku wakilalamika?Just asking.
Si ndio hapo sasa! Tatizo liko hapo... wengine husema " the way to a man's heart is through his stomach' sijui huwa inamaanisha nini.
Bora nijidanganye kwa kile nnachoamini kuliko nidanganywe na kukubali yale nisiyoamini.
Dogo?
Ngoja aje mwenyewe.
Si ndio hapo sasa! Tatizo liko hapo... wengine husema " the way to a man's heart is through his stomach' sijui huwa inamaanisha nini.
Biblia inakataza kabisaa kulalamika. Tena inaongelea juu ya ndugu akikosea muonye kwa upendo, ikishindikana muitie wazee. Na pale mwenzio yuko weak u can be strong, bila kuzidisha. Wanawake wa siku hizi tunajivalisha sarawili,dunia yote kama tumeibeba mabegani!lol, leo nimekunywa madhiwa akili sijui imekaaje hehehe
Good food.
Wengine wanawapenda wake zao ila hua wanakwepa kula nyumbani.Sasa huo muda wa kukwepa mlo angekua anaharakisha nyumbani kwasababu mkewe kapika chakula kizuri anachokipenda huoni "quality time " yao ingeongezeka?
Wewe kweli Nyumba Kubwa! Si mchezo!Chakula cha nyumbani kuwa kitamu si lazima kiwe kimepikwa na wife.; kwani huko anakokula kapika nani?
Huu mbona ni upuuzi wa mwaka 47!
Kwanza mtu mzima haitaji kula kiviiile maana keshakua..anachohitaji ni ukarabati wa afya na kujiweka hai tu.
Watoto ndio wanahitaji kula zaidi tena vyakula
kama maziwa, nyama etc.
Kumlea baba kama mtoto ni uzembe.Halafu jamani, kwani upendo ni chakula?
Chakula cha nyumbani kuwa kitamu si lazima kiwe kimepikwa na wife.; kwani huko anakokula kapika nani?
NK sio wote wana bahati ya kupata wadada wanaojua kupika chakula kizuri.