Ufundishaji somo la english kwa shule za serikali

crankshaft

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,410
3,376
Shule za msingi mwanafunzi anafundishwa kukariri tu. Mfano, Unaambiwa ukiona mwishoni "now" kwenye kitenzi unaongeza "ing".

Unaingia kwenye chumba cha mtihani unapewa swali huoni kigezo chochote ulichokalilishwa na mwalimu, swali hulielewi , unashindwa hata kutambua tense gani unaulizwa, unaotea, unafeli, unakula viboko. Kazi sana.
 
Wengi tulipita humo humo. Tumejifunza Kwa kujiongeza sana na kuuliza uliza Kwa waliotutangulia.
 
Wengi tulipita humo humo. Tumejifunza Kwa kujiongeza sana na kuuliza uliza Kwa waliotutangulia.

nilikuwa napitia mtihani wa darasa la saba mwaka jana. Naona maswali mengi yanahitaji mtoto kuelewa anachoulizwa. Ila kwa ufundishaji wa walimu wetu wa "ukiona last week ongeza ed " ni ngumu mtoto wa shule za serikali kutoboa pale. Ndo maana walifeli sana.
 
Wengi tulipita humo humo. Tumejifunza Kwa kujiongeza sana na kuuliza uliza Kwa waliotutangulia.
Mimi nilianza kukipenda kiingereza toka shule ya msingi, nilikuwa na kidaftari changu kila nikipata neno la kiingereza na maana yake na note down, ndiyo mpaka kuja kununuliwa dictionary ingawa ilikuwa ya Swahili - English..!!

Nilikuwa napenda sana kusoma vitabu hivyo hivyo na udogo wangu, ilifika pahala familia ikawa naheshimu nikiwa nasoma hata ikiwa ni kitabu cha story hawakusemeshi..!

Nakumbuka nikiwa chuo nafanya presentation Lecturer alikuja niuliza nimesoma shule gani, nikamuambia shule ya kata, akasema hapana, shule za kata hazina hicho kiingereza..!!

Huwa nasema na Mungu anisaidie, wanangu watakuja kusoma shule nzuri siku moja..! Amina.!!
 
Shule za msingi mwanafunzi anafundishwa kukariri tu. Mfano, Unaambiwa ukiona mwishoni "now" kwenye kitenzi unaongeza "ing". Unaingia kwenye chumba cha mtihani unapewa swali huoni kigezo chochote ulichokalilishwa na mwalimu, swali hulielewi , unashindwa hata kutambua tense gani unaulizwa, unaotea, unafeli, unakula viboko. Kazi sana.
Daaa umenifrahsha sana, ukiona next ujaze will/shall
 
Mimi nilianza kukipenda kiingereza toka shule ya msingi, nilikuwa na kidaftari changu kila nikipata neno la kiingereza na maana yake na note down, ndiyo mpaka kuja kununuliwa dictionary ingawa ilikuwa ya Swahili - English..!!

Nilikuwa napenda sana kusoma vitabu hivyo hivyo na udogo wangu, ilifika pahala familia ikawa naheshimu nikiwa nasoma hata ikiwa ni kitabu cha story hawakusemeshi..!

Nakumbuka nikiwa chuo nafanya presentation Lecturer alikuja niuliza nimesoma shule gani, nikamuambia shule ya kata, akasema hapana, shule za kata hazina hicho kiingereza..!!

Huwa nasema na Mungu anisaidie, wanangu watakuja kusoma shule nzuri siku moja..! Amina.!!

kweli ukiona mtoto kafaulu kwa kiwango cha juu kwenye shule za serikali , huyo yupo so unique. Ndo kama wewe hivyo. Watoto Wengi hawawezi mbinu kama hizi hata wazazi hawafuatilii na ndio maana wanafeli sana.
 
Mimi nilianza kukipenda kiingereza toka shule ya msingi, nilikuwa na kidaftari changu kila nikipata neno la kiingereza na maana yake na note down, ndiyo mpaka kuja kununuliwa dictionary ingawa ilikuwa ya Swahili - English..!!

Nilikuwa napenda sana kusoma vitabu hivyo hivyo na udogo wangu, ilifika pahala familia ikawa naheshimu nikiwa nasoma hata ikiwa ni kitabu cha story hawakusemeshi..!

Nakumbuka nikiwa chuo nafanya presentation Lecturer alikuja niuliza nimesoma shule gani, nikamuambia shule ya kata, akasema hapana, shule za kata hazina hicho kiingereza..!!

Huwa nasema na Mungu anisaidie, wanangu watakuja kusoma shule nzuri siku moja..! Amina.!!
Similar story.
Nlikuwa naandika list ya maneno nazunguka nayo mpaka nikutane na jamaa mmoja mkenya ndiye aliona nia ndani yangu so akaamua kunisaidia kujifunza.
Jamaa aliniambia 'them' ni pronoun tunatumia kumaanisha 'wao'. Sasa, katika soma soma yangu nikakutana na neno 'then'. Nikawa nahisi ni pronoun 'wao' ya vitu visivyo binadamu.
Wiki nzima Naenda shule na siulizi mwalimu mpaka nilipokutana na mkenya akanifuta huo ujinga.
 
Similar story.
Nlikuwa naandika list ya maneno nazunguka nayo mpaka nikutane na jamaa mmoja mkenya ndiye aliona nia ndani yangu so akaamua kunisaidia kujifunza.
Jamaa aliniambia 'them' ni pronoun tunatumia kumaanisha 'wao'. Sasa, katika soma soma yangu nikakutana na neno 'then'. Nikawa nahisi ni pronoun 'wao' ya vitu visivyo binadamu.
Wiki nzima Naenda shule na siulizi mwalimu mpaka nilipokutana na mkenya akanifuta huo ujinga.
😂😂😂
Umenichekesha sana,
Mimi niliuliza maana ya 'owner' nikaambiwa ni 'mwenyewe', sasa nikaenda kumuambia na rafiki yangu ambaye huwa tunakusanya naye maneno,
tukawa tukitutakanwa tunamjibu mtu 'owner', 😂😂🙌

Hapo tunaona tumemuweza hatari sababu tunajua ni 'mwenyewe'..!! Sitaki kukumbuka naona aibu..!😂😂🙌
 

Umenichekesha sana,
Mimi niliuliza maana ya 'owner' nikaambiwa ni 'mwenyewe', sasa nikaenda kumuambia na rafiki yangu ambaye huwa tunakusanya naye maneno,
tukawa tukitutakanwa tunamjibu mtu 'owner',

Hapo tunaona tumemuweza hatari sababu tunajua ni 'mwenyewe'..!! Sitaki kukumbuka naona aibu..!

Aisee! Kweli struggle ilikuwa real.
 
Mimi nilianza kukipenda kiingereza toka shule ya msingi, nilikuwa na kidaftari changu kila nikipata neno la kiingereza na maana yake na note down, ndiyo mpaka kuja kununuliwa dictionary ingawa ilikuwa ya Swahili - English..!!

Nilikuwa napenda sana kusoma vitabu hivyo hivyo na udogo wangu, ilifika pahala familia ikawa naheshimu nikiwa nasoma hata ikiwa ni kitabu cha story hawakusemeshi..!

Nakumbuka nikiwa chuo nafanya presentation Lecturer alikuja niuliza nimesoma shule gani, nikamuambia shule ya kata, akasema hapana, shule za kata hazina hicho kiingereza..!!

Huwa nasema na Mungu anisaidie, wanangu watakuja kusoma shule nzuri siku moja..! Amina.!!
Siri kubwa ya kuifahamu lugha yoyote ni kuisoma mara nyingi. Mimi nimesoma kayumba tu huko lakini English nimeijua kwa kupenda zaidi kusoma vitabu, articles, news n.k

Bahati nzuri mzee wangu ni msomaji so home tuna utajiri wa vitabu kuanzia novels na vingine vya taaluma mbali mbali hivyo nikawa nasoma tu kila kitu. Imenisaidia pia kufahamu mambo mengi.

Idadi kubwa ya watu ni wavivu wa kusoma hivyo kujikuta kiingereza wanachoongea au kuandika kinatia ukakasi.

Sio rahisi kujua kiingereza kwa kufundishwa na mwalimu mwenyewe hajui. Utaishia tu kujua kuomba maji. Labda wanaosoma International Schools ambapo lazima uongee lugha hiyo muda wote kwakuwa kuna diverse cultures na hauwezi kutumia lugha yako ya kwanza.
 
Siri kubwa ya kuifahamu lugha yoyote ni kuisoma mara nyingi. Mimi nimesoma kayumba tu huko lakini English nimeijua kwa kupenda zaidi kusoma vitabu, articles, news n.k

Bahati nzuri mzee wangu ni msomaji so home tuna utajiri wa vitabu kuanzia novels na vingine vya taaluma mbali mbali hivyo nikawa nasoma tu kila kitu. Imenisaidia pia kufahamu mambo mengi.

Idadi kubwa ya watu ni wavivu wa kusoma hivyo kujikuta kiingereza wanachoongea au kuandika kinatia ukakasi.

Sio rahisi kujua kiingereza kwa kufundishwa na mwalimu mwenyewe hajui. Utaishia tu kujua kuomba maji. Labda wanaosoma International Schools ambapo lazima uongee lugha hiyo muda wote kwakuwa kuna diverse cultures na hauwezi kutumia lugha yako ya kwanza.
I couldn't agree more Charlie..!!
 
Mimi nilianza kukipenda kiingereza toka shule ya msingi, nilikuwa na kidaftari changu kila nikipata neno la kiingereza na maana yake na note down, ndiyo mpaka kuja kununuliwa dictionary ingawa ilikuwa ya Swahili - English..!!

Nilikuwa napenda sana kusoma vitabu hivyo hivyo na udogo wangu, ilifika pahala familia ikawa naheshimu nikiwa nasoma hata ikiwa ni kitabu cha story hawakusemeshi..!

Nakumbuka nikiwa chuo nafanya presentation Lecturer alikuja niuliza nimesoma shule gani, nikamuambia shule ya kata, akasema hapana, shule za kata hazina hicho kiingereza..!!

Huwa nasema na Mungu anisaidie, wanangu watakuja kusoma shule nzuri siku moja..! Amina.!!
Hongera carliee!!!
 

Umenichekesha sana,
Mimi niliuliza maana ya 'owner' nikaambiwa ni 'mwenyewe', sasa nikaenda kumuambia na rafiki yangu ambaye huwa tunakusanya naye maneno,
tukawa tukitutakanwa tunamjibu mtu 'owner',

Hapo tunaona tumemuweza hatari sababu tunajua ni 'mwenyewe'..!! Sitaki kukumbuka naona aibu..!
nachekaaaaa
 
Back
Top Bottom