Ufundi wa hali ya juu wa Electronics

Rog chimera

JF-Expert Member
Apr 28, 2018
346
546
Ndugu, ni ufundi upi kwenye mambo ya vifaa vya electronics ambao unahitaji ujuzi wa hali ya juu na soko lake ni zuri, kuanzia computers, simu, smart tvs, printers & office machinery na kadhalika.
 
Ndugu, ni ufundi upi kwenye mambo ya vifaa vya electronics ambao unahitaji ujuzi wa hali ya juu na soko lake ni zuri, kuanzia computers, simu, smart tvs, printers & office machinery na kadhalika.
Piga mechanical engineering maana kila mtu anayo dream kumiliki ndinga and gari zuri ni lile linalo fanyiwa service regularly...

Utapata ela mpaka ukimbie... si unamuona uchebe eti na yeye kawa femous but sizani kama kasomea naisi ni mautundu but nyuma yake lazima awe kafunzwa na alie piga kitabu.

Ukifanikiwa njoo unipe 10% ya mapato yako ya mwezi maana nauakika utatoboa
 
Piga mechanical engineering maana kila mtu anayo dream kumiliki ndinga and gari zuri ni lile linalo fanyiwa service regularly...

Utapata ela mpaka ukimbie... si unamuona uchebe eti na yeye kawa femous but sizani kama kasomea naisi ni mautundu but nyuma yake lazima awe kafunzwa na alie piga kitabu.

Ukifanikiwa njoo unipe 10% ya mapato yako ya mwezi maana nauakika utatoboa
Na vizuri zaidi akajua na kutumia computer hasa kutumia diagnostic programs za kufanyia troubleshooting kutokana na magari mengi kwa sasa kuja na technology ya kutumia sana electronics hasa fuel system, Transmission n.k hivyo electronics bado ina nafasi yake.
 
Na vizuri zaidi akajua na kutumia computer hasa kutumia diagnostic programs za kufanyia troubleshooting kutokana na magari mengi kwa sasa kuja na technology ya kutumia sana electronics hasa fuel system, Transmission n.k hivyo electronics bado ina nafasi yake.
Kabisa mkuu mm ningekua bado baro baro ningeenda piga huu mziki nile ela za wananchi
 
Wajomba ufundi upi una soko kubwa kati ya simu,pc, smart tv, na mitambo mingine ya ki electronic? Je ni hardware au Software inayolipa ,ni ipi ambayo inahitaji umahiri wa hali ya juu na ujuzi?

Msaada jamani dogo anahitimu Computer Engineering. Hajawahi kutaka kuajiriwa.

Ana hamasa ya hali ya juu sana kubobea katika taaluma ya vitendo katika mambo ya electronics na hatimaye kujiajiri.
 
Phone , software.


Ila ujue na hardware basic kama kubadili mic , speaker, touch, display, built in batteries n.k


Utanipa ya soda ukifanikiwa
 
Habari wajomba,niko katika harakati ya kutafuta fursa ya career ya mtu wangu wa karbu sana anayehitimu degree ya Computer Engineering.

Pamoja na IT uyu mtu anataka apanue wigo kwa kujifunza ufundi wa vifaa vikubwa kama X-Ray, CT scans,na mitambo mbalimbali ya ki electroniki pamoja na vidogo kama simu, computer, printer, nk. fursa ikoje mtaani katika sector hii? Pia ushauri wa namna ya kukuza ujuzi wake kwa vitendo utapokelewa kwa mikono minne, karibuni kwa michango yenu.
 
hivi kuna chuo kinachofundisha hivyo vitu au mambo ni kujiongeza tu huko huko mtaani utajua tu?
 
fursa hipo tena kubwa tu! cha muhimu anatakiwa kujifunza kwa vitendo zaidi.shule zipo ni yeye kujiamulia aanze na kipi
 
DIT,Arusha Tec,Muhimbili wanafundisha x rays,ct scan.
Hakuna chuo kinafundisha CT XRAY au LINAC,
Huko ni Theory(Principal of Operation) tu na kamodel kamoja ka xray au ct, bado unatoka mweupe tu
Hivi vitu vinatofautiona sana kutegemea na vimetengenezwa na kampuni gani
ni utajifunza kwenye ajira tu,

Kwa ufundi wa simu ,computer, printer - VETA
 
Vyuo vipo. Kimojawapo ni kcmc kama sijasahau.But most of the work ni tender based work.Uwe na kampuni sio mambo kienyeji enyeji kama kutengeneza friji la mt binafsi.

Kwa Comp engineer angefungua kampuni afanye partnership na wataalamu wa hizo mashine kuliko yeye kusomea tena kumbuka ushagonga aka4.Computer engineer alieiva hawezi kukosa cha kufanya.Kozi kama hizo zinawafaa graduate wa BSC physic kwa sababu hawasomi technical knowhow.Kuna mdau kasema kuwa kozi hizo ni theory sana,hivyo ni kwenda kupoteza mda.Jaribu kutumia teknolojia kijisomea mwenyewe upime mziki.Jaribu kuchunguza nchi kama Kenya au SA kama zina hizo kozi ujiongeze ada ukasome huko.Vilevile pitia free onlinecourse za Harvard, MIT, IIT ,Yale nk hivyo vyuo wanatoa kozi bure ila hupati cheti.

Vilevile ningekushauri aangalie zaidi ktk professional yake hasa Trending teknoloji ili uji update uendane na soko la dunia.Aagalie trend kama Data science, AI, Cloud computing Robotics nk ambavyo wewe kama cp engineer huitaji nguvu kubwa kuji update kuliko kuanza kozi mpya ya hizo scanner af utafanya kazi in local institutions za serikali na binafs Kulinganisha na trending teknoji ambazo utafanya kazi hata Google,Facebook,Online nk ukiiva vizuri.THINK BIG men!
 
Hakuna chuo kinafundisha CT XRAY au LINAC,
Huko ni Theory(Principal of Operation) tu na kamodel kamoja ka xray au ct, bado unatoka mweupe tu
Hivi vitu vinatofautiona sana kutegemea na vimetengenezwa na kampuni gani
ni utajifunza kwenye ajira tu,

Kwa ufundi wa simu ,computer, printer - VETA
Basic principle ni physics tu hakuna kipya chini ya jua.If you learn physic and maths you can learn anything on earth.Namshauri na wengine wenye nia ya kujifunza chochote kile akasikilize video " Elon musk "The scientist & how he teach himself".Wame analyze step kwa step jnsi anajifunza na wamependekeza na vitabu vitano vya muhimu alivyosoma vikambadilisha to another level.Kwa hio hakuna linaloshindokana kama ana nia ya kweli but there is no shortcut.
 
Anzia hapa.Download hiki kitabu kina mambo mengi ndani yake.Mtandao hapa upo chini ziwezi kuki upload.
ELECTRONICS TROUBLESHOOTING
Daniel.R.Tomal na Aram.S.Aganjanian.
Fourth edition.Humo kina Topic ya Biometric troubleshooting.
 
Anzia hapa.Download hiki kitabu kina mambo mengi ndani yake.Mtandao hapa upo chini ziwezi kuki upload.
ELECTRONICS TROUBLESHOOTING
Daniel.R.Tomal na Aram.S.Aganjanian.
Fourth edition.Humo kina Topic ya Biometric troubleshooting.
ukipata muda kiapuload maana Amazon anataka Dollar kukipata
 
Back
Top Bottom