Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jaribu kuazima power unit nyingine nzima kama yako ujaribie. Kama tatizo likiisha tafuta nyingine ya kwako. kama linaendelea baada ya kubadilisha power unit muone fundi wa computer hardware aliye karibu nawe inawezekana kuna tatizo kwenye socket ya kuchomekea power unit cable kwenye laptop au internal power supply unit ya laptop yako ina matatizo.good eveninglaptop hii toshiba yangu ikiwa na betri tu bila ya kuchomeka power cable kasa yake na touch pad inatembea vizuri
Hilo tatizo nimeliona pia kwenye Compaq. Machine ikipata moto (hata battery ikipata moto) hupelekea kuongezeka kwa resistance kwenye mfumo wa upitishwaji wa umeme hivyo kusababisha hali hiyo kutokea. Pindi unapochomoa cable joto hushuka na kuendelea na kazi vizuri. Nakushauri utafute cable ambayo ni genuine pia unaweza ukaformat pc yako upya! Surely, utatatua tatizo hili (ni dogo sana)naomba wataalam mnisaidie laptop toshiba satellite 110,nikichomeka cable ya power kinachotokea ni touch pad haiendeshi cousor,nifanyeje?