Nyangaluda
Senior Member
- Dec 28, 2010
- 100
- 49
Mi Niliamua kuachana na wajinga walipita pita hapa na pale na kudhani wanaelewa mambo ya nchi hii. Njaa ya BK sasa iko wazi lakini ukikutana nao mtaani kama vile wako UK!
Hawa ndio waliokuwa wanashirikiana na wapuuzi wa miaka ile kuandika mabaya ya SGD, waka publicise ukame, njaa, umaskini na sasa wanaaibika.
Wasenge hao Singidani na Kindai zinaufanya mji wa Sgd kuwa na muonekano/mvuto wa kipekee bila kujali ni ziwa, Bwawa au kidimbwi Tena wa Shy na Kahama mshukuru mradi wa wa maji toka ziwa Victoria coz huko kwenu ukame umetamalaki Sgd municipal maji kukatika ni ndoto, maji ni mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka