Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Asanteni sanaa wakubwa kwa kushare this great idea with us...me ni kijana mdogo ambae nnavutiwa sana na hii business though sijaanza kuifanya bado, nlikua nauliza kwa mtaji wa 500k mpk 700k unaruhusu kuanza na samaki kama wangapi ivi sato?
 
Mkuu samahani kwa hili swali, naskia samaki wasipobadilishiwa Maji kwa muda Fulani wanakufa kwa kukosa hewa. Sasa kwa Dodoma ambapo Maji ni ya shida nikifuga si nitatumia pesa nyingi kuliko mapato?
Kuna mifumo mingi ya kiufugaji
Una weza tumia recirculating system n mfumo ambao maji yanazungushwa na kuchujwa na kurudishwa tena ni mifumo kama RAS na Aquaponics! Ipo iliyo rahisi kabisa na ya garamah na fuu inasaidia sana kuepuka garama Za maji
 
Naombeni msaada wenu, nataka kutengeneza bwawa la aina hii, nataka kujua izo plastics ni za aina gani na nazipataje?
IMG-20191006-WA0000.jpeg
 
Napenda kweli kufuga samaki, ila maji yaliyopo ni ya kisima na yana magadi kiasi, yanafaa kweli? Au watakufa? Wataalamu naomba ushauri hapo
 
Nahitaji kuanza kufuga samaki aina ya SATO, ila nina maswali machache nipeni uzoefu.
  1. Nahitaji kujua vipimo, mita moja ya mraba inachukua sato wangapi? Hii itanisaidia kujua nijenge bwawa size gani kulingana na malengo yangu.

2. Mtaji kiasi gani unahitajika ili nianze kufuga samaki kwenye bwawa la mita 10 kwa 20? Zingatia eneo ninalo, maji ninayo ya kutosha kutoka chanzo cha uhakika (nimechimba kisima kwa drilling).
 
Wakuu naombeni msaada wa kujuzwa maduka ambayo naweza pata vyakula vya samaki hasa watoto kilicho katika mfumo wa pellets kwa Dar, natanguliza shukrani.
 
Ni vema serikali ikaliangalia hili suala la ufugaji samaki ili kuleta manufaa kiuchumi kwa wafugaji, afya kwa walaji na utunzaji wa viumbe asilia maana baadhi ya aina ya samaki wapo hatarini kupotea kutokana na kuvuliwa kupita kiasi.

Wangeajiliwa wataalamu wa ufugaji samaki wilayani na vijijin ili kutoa na kuhamasisha ufugaji samaki.

Hakika tungepiga hatua kubwa,
 
Naombeni msaada wenu, nataka kutengeneza bwawa la aina hii, nataka kujua izo plastics ni za aina gani na nazipataje?View attachment 1241888
Niliwahi kuona kwenye maonesho arusha mwaka huu mwanzoni, wanafunga kma hilo kwa laki 8 vifaa vyote nijuu yao. Linakua na urefu wa mita 3 na upana mita 3.

Nilihoji wakasema linaweza nimazur kwa kambale sio sato, sababu ya wanaweza kustahimili hali ngumu nahawazalini kiurahis kma sato
 
Niliwahi kuona kwenye maonesho arusha mwaka huu mwanzoni, wanafunga kma hilo kwa laki 8 vifaa vyote nijuu yao. Linakua na urefu wa mita 3 na upana mita 3.
Nilihoji wakasema linaweza nimazur kwa kambale sio sato, sababu ya wanaweza kustahimili hali ngumu nahawazalini kiurahis kma sato
O
 
Kawaida ya Jf siku hizi mada za muhimu.. Hazina wachangiaji..

Sato anakula kwa mwaka uzito wake.. Yaan sato mmoja anakula 1kg per year.

Chakula ni mchnganyiko wa virutubisho mbalimbali
-dagaa,uduvi,pumba ya maindi.. Pumba ya mpunga,damu ya mnyama,mifupa,na vitu vingine.. Kupata lishe bora!

Anazaa kulingana na ukubwa wake wastani 500 fly up to 1000.

Kulishwa inategemea.. Na aina ya bwawa lako but recommended mara mbili kwa siku.

Shukrani.. Nikipata muda ntachangia zaidi.
 
Back
Top Bottom