Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Bwawa la kiwango cha chini mnajenga kwa bei gani?
pata ushauri kuhusu ufugaji wa samaki kwa njia za kitaalamu
Huduma zetu ni
- Uchimbaji na ujenzi wa mabwawa
- Tunauza vifaranga wa samaki
- Tunaandika mpango kazi ( business plan) kwa watu wanaotaka kuwekeza kwenye secta ya ufugaji wa samaki
- Tunauza pond liner kwa ajili ya ujenzi wa mabwawa ya samaki
- Tunatembelea popote ulipo Tanzania kukupa ushauri wa kitaalamu
- Tupigie simu 0759678821 au baruapepe:lameckdeomedes@gmail.com
Huyu dogo huwaga mjinga sana, huwa anaanzisha mada halafu hatoi majibu!Mbona mmekimbia tena?
watoto wa jfHuyu dogo huwaga mjinga sana, huwa anaanzisha mada halafu hatoi majibu!
900,000/=Bwawa la kiwango cha chini mnajenga kwa bei gani?
Hapana boss tunao wa kuliwa tuhawa wa urembo mnao?
Panapo majaaliwa nitakuja kuwasaka.900,000/=
UNAHITAJI HUDUMA?Hii strategy ya biashara mnayotumia kusubiri watu wapige simu ni ya kimwinyi na imepitwa na wakati. Mbuni mbinu nyingine ili kupata wateja.
Je kama naishi mjini nipe mbinu za kufuga hao viumbe.UNAHITAJI HUDUMA?
nipigie ntakueleza vyote.Je kama naishi mjini nipe mbinu za kufuga hao viumbe.
Weka wazi kabla atuja piga simu utushawishi.