Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Mbona mmekimbia tena?
pata ushauri kuhusu ufugaji wa samaki kwa njia za kitaalamu
Huduma zetu ni
  1. Uchimbaji na ujenzi wa mabwawa
  2. Tunauza vifaranga wa samaki
  3. Tunaandika mpango kazi ( business plan) kwa watu wanaotaka kuwekeza kwenye secta ya ufugaji wa samaki
  4. Tunauza pond liner kwa ajili ya ujenzi wa mabwawa ya samaki
  5. Tunatembelea popote ulipo Tanzania kukupa ushauri wa kitaalamu
  6. Tupigie simu 0759678821 au baruapepe:lameckdeomedes@gmail.com
 
Msaada uleaji wa samaki sato 1. Mchanganyiko wa chakula 2. Kiasi cha chakula anachokula kulingana na umri wake 3. Chakula special (pillet) kinapatikana wapi hapa tanzania mi niko mbeya. 4. Hulishwa mara ngapi kwa siku. Samaki hzaa vifanga wangapi
 
Karibu kwa maelezo yote kuhusu ufugaji wa samaki.

Bei ya KAMBALE kwa kifaranga kimoja ni 370/=

Bei kwa SATO kwa kifanga kimoja 150/= mpaka 100/= kwa breed tofati. KUTOKANA NA JINSIA



Tafadhali piga namba +255768905700
 
Back
Top Bottom