Huyo vet kawachoma dawa gani?Msaada tutani wakubwa piglets wanaharisha, vet kawachoma sindano ya kuharisha twice ikashindikana tukawapa mchanganyiko wa majivu,chokaa na chumvi kwenye maji wakakata kuharisha siku 2 wameanza tena kuna mwenye anajua dawa nzuri?
Ndugu ukijaribu kuitimiza Torati huwezi zaidi utajikuta wewe pia kutokuka Nguruwe ni unafiki tu. Mfano nyama za mafuta zimekatazwa wewe unabugia, Siku ya saba pumzika, Mwezi wa saba pumzika, mwaka wa saba nenda vacation yote hayo utayaweza wapi?Hakika ni kuwa Agano la Kale katika Biblia imekataza ulaji wa nguruwe na akafanywa kuwa ni haramu: “Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
Agizo hilo limerudiwa katika Kumbukumbu la Sheria 14: 7 – 8 na pia Isaya 66: 17.
Na katika Agano Jipya, Yesu naye amesema kuwa hakuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii bali kukamilisha (Mathayo 5: 17). Kwa ibara hiyo ni kuwa Yesu pia aliharamisha ulaji wa nguruwe.
Mkuu herdman kaniambia antibiotiki hajakalili jinaHuyo vet kawachoma dawa gani?
Mkuu herdman kaniambia antibiotiki hajakalili jina
Nunua penstrep uwachome, watapona kbs. mimi si vet ila ni mfugaji pia.Mkuu herdman kaniambia antibiotiki hajakalili jina
Shukrani mkuu, je kipimo? Au itakuwa na maelekezo?Nunua penstrep uwachome, watapona kbs. mimi si vet ila ni mfugaji pia.
Kipimo kitategemea na umri waoShukrani mkuu, je kipimo? Au itakuwa na maelekezo?
Ufugaji wa kwenye watsup huu.Mpwa hii bonge ya deal hata mate yananitoka ila tatizo mimi imani yangu inaniambia nguruwe ni haramu kabisa. lakini hiyo hela naitaka tena sana tu.
Wewe hauna AKILIBIASHARA IPI UFANYE??
Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake
wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher
SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???
JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa
Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu
KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI
1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO
Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI
Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member
Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo
2.MAGONJWA YA KISUKARI
Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako
Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona
3.MAGONJWA YA VITAMBI
Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe
4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni
kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana
5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO
Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA
6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake
JINSI YA KUPATA WATEJA
Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya
Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana
JINSI YA KUFANYA FACEBOOK
Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya
Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako
Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe
BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI
JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma
Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000
Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki
Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe
1.uwe na majina matatu
2.uwe na email yako
3.namba yako ya simu
UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA
AWE NA VITU VIFUATAVYO
1.majina matatu
2.email
3.namba ya simu
NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?
Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano
USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA
KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO
TUWASILIANE KUPITIA NAMBA
0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP
AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
Another clown 🤡BIASHARA IPI UFANYE??
Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake
wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher
SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???
JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa
Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu
KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI
1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO
Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI
Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member
Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo
2.MAGONJWA YA KISUKARI
Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako
Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona
3.MAGONJWA YA VITAMBI
Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe
4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni
kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana
5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO
Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA
6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake
JINSI YA KUPATA WATEJA
Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya
Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana
JINSI YA KUFANYA FACEBOOK
Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya
Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako
Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe
BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI
JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma
Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000
Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki
Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe
1.uwe na majina matatu
2.uwe na email yako
3.namba yako ya simu
UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA
AWE NA VITU VIFUATAVYO
1.majina matatu
2.email
3.namba ya simu
NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?
Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano
USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA
KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO
TUWASILIANE KUPITIA NAMBA
0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP
AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
Zingatia zaidi mbegu Bora na lishe, pamoja na mazingiraPlease wadau poleni kwa majukumu ya kila siku.
Nimehitimu Chuo Kikuu lakini kama kawaida naumwa ule ugonjwa wa kila siku wa ajira na nimekaa nimefikiria nimeona nitajikwamua kupitia ufugaji wa Nguruwe.
Naomba msaada Kwa wajuzi kama kuna faida maana nipo commited faida hasara au Kwa lugha rahisi tuseme changamoto lakini kikubwa nini cha kuzingatia ninapoenda kufuga maana mtaji wangu bado haba
Msaada plz japo Kwa content hii ndogo niliyoandika
Zingatia zaidi mbegu Bora na lishe, pamoja na mazingiraPlease wadau poleni kwa majukumu ya kila siku.
Nimehitimu Chuo Kikuu lakini kama kawaida naumwa ule ugonjwa wa kila siku wa ajira na nimekaa nimefikiria nimeona nitajikwamua kupitia ufugaji wa Nguruwe.
Naomba msaada Kwa wajuzi kama kuna faida maana nipo commited faida hasara au Kwa lugha rahisi tuseme changamoto lakini kikubwa nini cha kuzingatia ninapoenda kufuga maana mtaji wangu bado haba
Msaada plz japo Kwa content hii ndogo niliyoandika
Nachanganyikiwa kila kitu dili nifanye lipi
Nachanganyikiwa kila kitu dili nifanye lipi
Mseme ni kwanini itakula kwake mtakua mmetusaidia wengiYaanitu akiifuatilia hii, imekula kwake
Na itakula kwake pakubwa mno!