Kwenye bei ya pumba hapo ndio umeniacha hoi.Kwa kuanzia 300k inatosha. Huku Iringa kwa mfano bei ya nguruwe wadogo miezi 2 "weaned piglet"Ni elfu 50. Hivyo unaweza kuanza na vitoto 3,dume 1 na vijike2. Ni vema kutengeneza banda lenye Concrete kuliko la kichanja cha mabanzi ili nguruwe wasijeruhiwe kwa kujibana miguu.
Gharama ya banda haizidi elfu 60. Pia gharama ya chakula kwa hao nguruwe 3 si kubwa kwani debe la pumba ni elfu 3.Wakiwa wadogo debe la pumba wanaweza kula kwa siku 3 hadi 4 kama utawapa na makombo ya vyakula.
Nguruwe huwa tayari kuzaa akiwa na miezi 6 hadi 7 km wata kua vizuri km ukizingatia vzr kinga ya minyoo hasa ukurutu.Nguruwe akizaa unaingiza pesa kwa kuuza vitoto. Kwa uzao wa kwanza nguruwe mzuri huzaa watoto 8-12 kwa bei ya Tshs elfu 50 unaweza ingiza laki 4 na zaidi. Mungu akupe nini?
Cha msingi lazima uchague mbegu nzuri inayokua kwa haraka na yenye umbo kubwa. Bei ya nguruwe mkubwa wa miezi 8 - 12 huanzia laki 3 na kuendelea, kutegemea uzito wake. Muhimu ni kujipanga kwenye tiba na chakula.
Inategemea alipo..mwaka juzi mahindi iringa debe ni 5000 gunia la debe saba lilikuwa 30000 had 35kKwenye bei ya pumba hapo ndio umeniacha hoi.
Oh kumbe anazungumzia pumba ya mahindi, nikafikiri pumba ya mpunga! Abby Newtoninategemea alipo..mwaka juzi mahindi iringa debe ni 5000 gunia la debe saba lilikuwa 30000 had 35k
Mtaji mzima wa ufugaji ni shingapi na je utawajuaje mbegu nzuri ya nguruwe?Kwa kuanzia 300k inatosha. Huku Iringa kwa mfano bei ya nguruwe wadogo miezi 2 "weaned piglet"Ni elfu 50. Hivyo unaweza kuanza na vitoto 3,dume 1 na vijike2. Ni vema kutengeneza banda lenye Concrete kuliko la kichanja cha mabanzi ili nguruwe wasijeruhiwe kwa kujibana miguu.
Gharama ya banda haizidi elfu 60. Pia gharama ya chakula kwa hao nguruwe 3 si kubwa kwani debe la pumba ni elfu 3.Wakiwa wadogo debe la pumba wanaweza kula kwa siku 3 hadi 4 kama utawapa na makombo ya vyakula.
Nguruwe huwa tayari kuzaa akiwa na miezi 6 hadi 7 km wata kua vizuri km ukizingatia vzr kinga ya minyoo hasa ukurutu.Nguruwe akizaa unaingiza pesa kwa kuuza vitoto. Kwa uzao wa kwanza nguruwe mzuri huzaa watoto 8-12 kwa bei ya Tshs elfu 50 unaweza ingiza laki 4 na zaidi. Mungu akupe nini?
Cha msingi lazima uchague mbegu nzuri inayokua kwa haraka na yenye umbo kubwa. Bei ya nguruwe mkubwa wa miezi 8 - 12 huanzia laki 3 na kuendelea, kutegemea uzito wake. Muhimu ni kujipanga kwenye tiba na chakula.
Sikukatishi tamaa ila kwa 300K bora utafute shughuli ingine ya kufanya tu. Ntakupa tip ya bure! Fuatilia biashara ya ndizi mbichi!Wakuu salaam.
Kutokana na hali ilivyo ngumu huku mtaani, kijana nimejipiga na kupambana nikakusanya kiasi cha 300k. Nataka nijitupe kwenye ujasiliamali wa ufugaji wa nguruwe. Wataalamu wa haya mambo nipeni uzoefu hasa,
1. Mabanda ya kufugia
2. Muda sahihi wa kuuza
3. Ulishaji, Mara moja au Mbili kwa siku
4. Changamoto za magonjwa
5. Soko la Nguruwe hasa mkoani Iringa
shukrani
Duh kuna maboga yanayoweza kukaa mwaka mzima bila kuharibikaUli ifanikiwe kufuga Nguruwe kwa usalama nafuu, anza kuandaa chakula kwanza.
Panda Maboga japo ekari moja, chagua mbegu ya boga kubwa na tamu.
Lima huku ukijenga banda la nguruwe.
Hifadhi maboga yako ambayo yanakaa hata mwaka mzima bila kuharibika.
Hapo ndo ulete ngurue wako ambao tayari una chakula asilimia 60.
Ningependa kujua hii kituDuh kuna maboga yanayoweza kukaa mwaka mzima bila kuharibika
Ndio yakivunwa yakiwa yamekomaa na yakitunzwa sehemu isiyokuwa na unyevyu unyevu. Nishawahi fuga Nguruwe na chakula kikuu yalikuwa Maboga ya kila Mwaka. Sema nilifuga kienyeji na sio kibiashara.Duh kuna maboga yanayoweza kukaa mwaka mzima bila kuharibika
Kuna wateja wengi sana kuliko bara mkuu😂😂Watu wachokozi, yani ukafuge nguruwe Zanzibar
Mbona expenses hujazipigia hesabu?Kwa kuanzia 300k inatosha. Huku Iringa kwa mfano bei ya nguruwe wadogo miezi 2 "weaned piglet"Ni elfu 50. Hivyo unaweza kuanza na vitoto 3,dume 1 na vijike2. Ni vema kutengeneza banda lenye Concrete kuliko la kichanja cha mabanzi ili nguruwe wasijeruhiwe kwa kujibana miguu.
Gharama ya banda haizidi elfu 60. Pia gharama ya chakula kwa hao nguruwe 3 si kubwa kwani debe la pumba ni elfu 3.Wakiwa wadogo debe la pumba wanaweza kula kwa siku 3 hadi 4 kama utawapa na makombo ya vyakula.
Nguruwe huwa tayari kuzaa akiwa na miezi 6 hadi 7 km wata kua vizuri km ukizingatia vzr kinga ya minyoo hasa ukurutu.Nguruwe akizaa unaingiza pesa kwa kuuza vitoto. Kwa uzao wa kwanza nguruwe mzuri huzaa watoto 8-12 kwa bei ya Tshs elfu 50 unaweza ingiza laki 4 na zaidi. Mungu akupe nini?
Cha msingi lazima uchague mbegu nzuri inayokua kwa haraka na yenye umbo kubwa. Bei ya nguruwe mkubwa wa miezi 8 - 12 huanzia laki 3 na kuendelea, kutegemea uzito wake. Muhimu ni kujipanga kwenye tiba na chakula.
Kuna wateja wengi sana kuliko bara mkuu
Sijui ila jana maeneo ya Ubungo ilikuwa ileile 11,000/- kwa kilo....na last week nilipita maeneo ya karibu na NIT ilikuwa the same price........nasikia sasa hivi mdudu kashuka bei sababu wanakufa mno
Kuna maboga yakikomaa yanadumu miaka tena sio mwaka. Chamsingi usitoe kile kikonyo chake na usiweke sehemu baridi yataanza kubadili rangi pale chini na kuanzia hapo kuoza. Kisha unamwagia majivu unayaweka sehemu kavuDuh kuna maboga yanayoweza kukaa mwaka mzima bila kuharibika
Braza, chakula gani kina-boost ukuaji wa nguruwe watoto kwa haraka sana?Ndio yakivunwa yakiwa yamekomaa na yakitunzwa sehemu isiyokuwa na unyevyu unyevu. Nishawahi fuga Nguruwe na chakula kikuu yalikuwa Maboga ya kila Mwaka. Sema nilifuga kienyeji na sio kibiashara.
Ukiyachemsha kidogo na kutia Chumvi kidogo utaflahi Nguruwe wanavyo yachangamkia.
OkKuna maboga yakikomaa yanadumu miaka tena sio mwaka. Chamsingi usitoe kile kikonyo chake na usiweke sehemu baridi yataanza kubadili rangi pale chini na kuanzia hapo kuoza. Kisha unamwagia majivu unayaweka sehemu kavu
Sifahamu mi nilifuga nguruwe kienyeji.Braza, chakula gani kina-boost ukuaji wa nguruwe watoto kwa haraka sana?