Ufugaji wa Nguruwe

Kwa kuanzia 300k inatosha. Huku Iringa kwa mfano bei ya nguruwe wadogo miezi 2 "weaned piglet"Ni elfu 50. Hivyo unaweza kuanza na vitoto 3,dume 1 na vijike2. Ni vema kutengeneza banda lenye Concrete kuliko la kichanja cha mabanzi ili nguruwe wasijeruhiwe kwa kujibana miguu.

Gharama ya banda haizidi elfu 60. Pia gharama ya chakula kwa hao nguruwe 3 si kubwa kwani debe la pumba ni elfu 3.Wakiwa wadogo debe la pumba wanaweza kula kwa siku 3 hadi 4 kama utawapa na makombo ya vyakula.

Nguruwe huwa tayari kuzaa akiwa na miezi 6 hadi 7 km wata kua vizuri km ukizingatia vzr kinga ya minyoo hasa ukurutu.Nguruwe akizaa unaingiza pesa kwa kuuza vitoto. Kwa uzao wa kwanza nguruwe mzuri huzaa watoto 8-12 kwa bei ya Tshs elfu 50 unaweza ingiza laki 4 na zaidi. Mungu akupe nini?

Cha msingi lazima uchague mbegu nzuri inayokua kwa haraka na yenye umbo kubwa. Bei ya nguruwe mkubwa wa miezi 8 - 12 huanzia laki 3 na kuendelea, kutegemea uzito wake. Muhimu ni kujipanga kwenye tiba na chakula.
Kwenye bei ya pumba hapo ndio umeniacha hoi.
 
Kwa kuanzia 300k inatosha. Huku Iringa kwa mfano bei ya nguruwe wadogo miezi 2 "weaned piglet"Ni elfu 50. Hivyo unaweza kuanza na vitoto 3,dume 1 na vijike2. Ni vema kutengeneza banda lenye Concrete kuliko la kichanja cha mabanzi ili nguruwe wasijeruhiwe kwa kujibana miguu.

Gharama ya banda haizidi elfu 60. Pia gharama ya chakula kwa hao nguruwe 3 si kubwa kwani debe la pumba ni elfu 3.Wakiwa wadogo debe la pumba wanaweza kula kwa siku 3 hadi 4 kama utawapa na makombo ya vyakula.

Nguruwe huwa tayari kuzaa akiwa na miezi 6 hadi 7 km wata kua vizuri km ukizingatia vzr kinga ya minyoo hasa ukurutu.Nguruwe akizaa unaingiza pesa kwa kuuza vitoto. Kwa uzao wa kwanza nguruwe mzuri huzaa watoto 8-12 kwa bei ya Tshs elfu 50 unaweza ingiza laki 4 na zaidi. Mungu akupe nini?

Cha msingi lazima uchague mbegu nzuri inayokua kwa haraka na yenye umbo kubwa. Bei ya nguruwe mkubwa wa miezi 8 - 12 huanzia laki 3 na kuendelea, kutegemea uzito wake. Muhimu ni kujipanga kwenye tiba na chakula.
Mtaji mzima wa ufugaji ni shingapi na je utawajuaje mbegu nzuri ya nguruwe?
 
Uli ifanikiwe kufuga Nguruwe kwa usalama nafuu, anza kuandaa chakula kwanza.
Panda Maboga japo ekari moja, chagua mbegu ya boga kubwa na tamu.
Lima huku ukijenga banda la nguruwe.
Hifadhi maboga yako ambayo yanakaa hata mwaka mzima bila kuharibika.
Hapo ndo ulete ngurue wako ambao tayari una chakula asilimia 60.
 
Wakuu salaam.

Kutokana na hali ilivyo ngumu huku mtaani, kijana nimejipiga na kupambana nikakusanya kiasi cha 300k. Nataka nijitupe kwenye ujasiliamali wa ufugaji wa nguruwe. Wataalamu wa haya mambo nipeni uzoefu hasa,

1. Mabanda ya kufugia
2. Muda sahihi wa kuuza
3. Ulishaji, Mara moja au Mbili kwa siku
4. Changamoto za magonjwa
5. Soko la Nguruwe hasa mkoani Iringa
shukrani
Sikukatishi tamaa ila kwa 300K bora utafute shughuli ingine ya kufanya tu. Ntakupa tip ya bure! Fuatilia biashara ya ndizi mbichi!

Tafta eneo kitaa uanze kusebenza mikungu yako ya ndizi! Kama utamwaga mezani au kuitandaza chini freshi tu. Baada ya miezi miwili utakuja kunishukuru
 
Uli ifanikiwe kufuga Nguruwe kwa usalama nafuu, anza kuandaa chakula kwanza.
Panda Maboga japo ekari moja, chagua mbegu ya boga kubwa na tamu.
Lima huku ukijenga banda la nguruwe.
Hifadhi maboga yako ambayo yanakaa hata mwaka mzima bila kuharibika.
Hapo ndo ulete ngurue wako ambao tayari una chakula asilimia 60.
Duh kuna maboga yanayoweza kukaa mwaka mzima bila kuharibika
 
Duh kuna maboga yanayoweza kukaa mwaka mzima bila kuharibika
Ndio yakivunwa yakiwa yamekomaa na yakitunzwa sehemu isiyokuwa na unyevyu unyevu. Nishawahi fuga Nguruwe na chakula kikuu yalikuwa Maboga ya kila Mwaka. Sema nilifuga kienyeji na sio kibiashara.
Ukiyachemsha kidogo na kutia Chumvi kidogo utaflahi Nguruwe wanavyo yachangamkia.
 
Kwa kuanzia 300k inatosha. Huku Iringa kwa mfano bei ya nguruwe wadogo miezi 2 "weaned piglet"Ni elfu 50. Hivyo unaweza kuanza na vitoto 3,dume 1 na vijike2. Ni vema kutengeneza banda lenye Concrete kuliko la kichanja cha mabanzi ili nguruwe wasijeruhiwe kwa kujibana miguu.

Gharama ya banda haizidi elfu 60. Pia gharama ya chakula kwa hao nguruwe 3 si kubwa kwani debe la pumba ni elfu 3.Wakiwa wadogo debe la pumba wanaweza kula kwa siku 3 hadi 4 kama utawapa na makombo ya vyakula.

Nguruwe huwa tayari kuzaa akiwa na miezi 6 hadi 7 km wata kua vizuri km ukizingatia vzr kinga ya minyoo hasa ukurutu.Nguruwe akizaa unaingiza pesa kwa kuuza vitoto. Kwa uzao wa kwanza nguruwe mzuri huzaa watoto 8-12 kwa bei ya Tshs elfu 50 unaweza ingiza laki 4 na zaidi. Mungu akupe nini?

Cha msingi lazima uchague mbegu nzuri inayokua kwa haraka na yenye umbo kubwa. Bei ya nguruwe mkubwa wa miezi 8 - 12 huanzia laki 3 na kuendelea, kutegemea uzito wake. Muhimu ni kujipanga kwenye tiba na chakula.
Mbona expenses hujazipigia hesabu?
 
Duh kuna maboga yanayoweza kukaa mwaka mzima bila kuharibika
Kuna maboga yakikomaa yanadumu miaka tena sio mwaka. Chamsingi usitoe kile kikonyo chake na usiweke sehemu baridi yataanza kubadili rangi pale chini na kuanzia hapo kuoza. Kisha unamwagia majivu unayaweka sehemu kavu
 
Ndio yakivunwa yakiwa yamekomaa na yakitunzwa sehemu isiyokuwa na unyevyu unyevu. Nishawahi fuga Nguruwe na chakula kikuu yalikuwa Maboga ya kila Mwaka. Sema nilifuga kienyeji na sio kibiashara.
Ukiyachemsha kidogo na kutia Chumvi kidogo utaflahi Nguruwe wanavyo yachangamkia.
Braza, chakula gani kina-boost ukuaji wa nguruwe watoto kwa haraka sana?
 
Back
Top Bottom