Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Habarini wana jamvi,mimi ni kijana mwenye umri kati ya 30-40,naishi Dar es Salaam,ni nimuajiriwa.
Nina wazo ningependa kuwashirikisha,natamani tupatikane vijana 10 wenye kupenda maendeleo na kujituma,na angalao wasiwe wote waajiriwa wengine wawe ni watu waliojiajiri na awe na uwezo wa kuwa na mtaji wa milioni mbili,huu mtaji usiwe ndo utegemee kula yako na nauli hapana ni project ya muda mrefu,faida ni baada ya mwaka au miaka miwili.
Tukiziunganisha watu kumi tutapata 20milion ambayo cha kwanza tupate ardhi ekar 10,na kila ekar itamilikishwa mtu mmoja.Kwa mfano maeneo ya chanika au kisarawe ambayo bei ya ekari moja kwa maeneo haya inacost kati ya laki mbili mpaka milion moja na nusu inategemea na umbali!then tuanze na nguruwe wachache ambao tutawamudu kwa hela itakayobaki baada ya kununua shamba.
Na project iwe ni ya mipango ya muda mrefu.long term plan project)tusitegemee faida ya mda mfupi.
Au tukatafuta maeneo ambayo maji ya Dawasco yamefika bei ya haya maeneo imechangamka kidogo bei inaanzia milioni moja na nusu mpaka kumi kwa ekari(maeneo njia ya moro-dar)huku tukipata hata ekar tano kwa milioni mbilimbili ambayo jumla itakua ni milion kumi kwa ekar tano,then utaratibu utakua uleule tutagawa nusu ekar equal,after that tutaanza project kwa pamoja.
Mwenye mawazo mengine,ushauri,nyongeza namkaribisha


Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unasema umri wako ni kati ya miaka 30-40 ina maana hujui una miaka mingapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lile group la ufugaji bado lipo? Kuna mtu nmempa link inagoma.anataka kujiunga.

Hello..... Karibuni Sana Katika group linalohusu ufugaji wa nguruwe

Karibu Sana wewe mtaalamu wa mifugo, mfugaji, mnunuzi, pamoja na Wale wenye kiu ya kujifunza zaidi kuhusu ufugaji huu wenye tija na kipato cha uhakika.....

Click link ifuatayo kujiunga......

Zingatia kujitambulisha pindi tu uingiapo katika group hili
ZINGATIA KUJITAMBULISHA PINDI TU UINGIAPO KATIKA GROUP HILI... JINA, MKOA, SHUGHULI

TSA- PIG FARMING
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom