Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

SIKUBALIANI NA HESABU ZAKO.
Kwa Nini unasema gharama ya chakula ni sh.1,000,000 ?!!au kwa sababu wewe una shamba ekari 30 za kulima maboga na alizeti ili kuwalisha?!nguruwe mdogo wa kuanzia mwezi mmoja anakula wastani wa kilo 2 kwa siku.atakapofika umri wa kubeba mimba mpaka kujifungua ni wastani wa kuanzia kilo 6 mpaka 10 kwa siku kutegemea na ukubwa wake,akifika wakati wa kunyonyesha atahitaji nusu kilo ya ziada kwa Kila mtoto mmoja anayenyonyeshwa,kama Ana watoto 10 piga nusu kilo Mara 10 alaf ongeza na kilo zake anazokula Kwa siku...ndo umpe ale kwa ujumla kwa siku moja.sasa nguruwe hao 20 ambao wote ni majike na unataka wazae watoto 160 kwa mwaka mmoja!!! Ambao na wenyewe wanahitaji kula Tena!! FIKIRI MARA MBILI.na kabla hujamuuza lazima umpe chakula Cha ziada ili afikie walau kilo 200
Mbaya zaidi umuuze kwa sh.200,000 (laki 2) baada ya kumlisha mwaka mzima!heheh utapata HASARA ya kukutosha.
Hata kama gunia la pumba ni sh.10,000 tu
Na kumbuka nguruwe Hali pumba peke yake Kuna na mchanganyiko wa vyakula na lishe nyingine ambazo ni lazima apate .
Bado madawa na chanjo za kuzuia magonjwa.
Bado vifo vya watoto anaozaa,na kama unawafuga maeneo yenye joto,vifo vinaweza ongezeka zaidi.
Hiyo Milioni 1 haifai kwa lolote kulisha nguruwe.
Na kumbuka jinsi muda unavyozidi kwenda rate ya kuzaa kwa nguruwe huwa inapungua kutokana na genetically reasons kwa hiyo si rahisi kupata nguruwe 1500 kwa miaka 3 la sivyo matajiri wote wakubwa duniani wangekuwa wafugaji wa nguruwe!!! Wafugaji wakuku tu wenyewe wanajua gharama ya chakula ni almost 50% ya pesa zote..sembuse nguruwe.
Sahau kuhusu mil.300 in 3 years!!!
Usitupe False hopes!!!
GET YOUR FACTS STRAIGHT.
challenge!
 
Habarini wana jamvi,mimi ni kijana mwenye umri kati ya 30-40,naishi Dar es Salaam,ni nimuajiriwa.
Nina wazo ningependa kuwashirikisha,natamani tupatikane vijana 10 wenye kupenda maendeleo na kujituma,na angalao wasiwe wote waajiriwa wengine wawe ni watu waliojiajiri na awe na uwezo wa kuwa na mtaji wa milioni mbili,huu mtaji usiwe ndo utegemee kula yako na nauli hapana ni project ya muda mrefu,faida ni baada ya mwaka au miaka miwili.
Tukiziunganisha watu kumi tutapata 20milion ambayo cha kwanza tupate ardhi ekar 10,na kila ekar itamilikishwa mtu mmoja.Kwa mfano maeneo ya chanika au kisarawe ambayo bei ya ekari moja kwa maeneo haya inacost kati ya laki mbili mpaka milion moja na nusu inategemea na umbali!then tuanze na nguruwe wachache ambao tutawamudu kwa hela itakayobaki baada ya kununua shamba.
Na project iwe ni ya mipango ya muda mrefu.long term plan project)tusitegemee faida ya mda mfupi.
Au tukatafuta maeneo ambayo maji ya Dawasco yamefika bei ya haya maeneo imechangamka kidogo bei inaanzia milioni moja na nusu mpaka kumi kwa ekari(maeneo njia ya moro-dar)huku tukipata hata ekar tano kwa milioni mbilimbili ambayo jumla itakua ni milion kumi kwa ekar tano,then utaratibu utakua uleule tutagawa nusu ekar equal,after that tutaanza project kwa pamoja.
Mwenye mawazo mengine,ushauri,nyongeza namkaribisha


Sent using Jamii Forums mobile app


Hakuna project ya namna hyo zaidi ya hyo project kufa au kudhulumiana muhimu Kama unayo hyo 2m Anza na kitu kinachowexa kufanyiwa na hyo pesa au jikaze upate hyo 20m usimame mwenyewe tofauti na happy hyo pesa utaipoteza ndugu.
 
SIKUBALIANI NA HESABU ZAKO.
Kwa Nini unasema gharama ya chakula ni sh.1,000,000 ?!!au kwa sababu wewe una shamba ekari 30 za kulima maboga na alizeti ili kuwalisha?!nguruwe mdogo wa kuanzia mwezi mmoja anakula wastani wa kilo 2 kwa siku.atakapofika umri wa kubeba mimba mpaka kujifungua ni wastani wa kuanzia kilo 6 mpaka 10 kwa siku kutegemea na ukubwa wake,akifika wakati wa kunyonyesha atahitaji nusu kilo ya ziada kwa Kila mtoto mmoja anayenyonyeshwa,kama Ana watoto 10 piga nusu kilo Mara 10 alaf ongeza na kilo zake anazokula Kwa siku...ndo umpe ale kwa ujumla kwa siku moja.sasa nguruwe hao 20 ambao wote ni majike na unataka wazae watoto 160 kwa mwaka mmoja!!! Ambao na wenyewe wanahitaji kula Tena!! FIKIRI MARA MBILI.na kabla hujamuuza lazima umpe chakula Cha ziada ili afikie walau kilo 200
Mbaya zaidi umuuze kwa sh.200,000 (laki 2) baada ya kumlisha mwaka mzima!heheh utapata HASARA ya kukutosha.
Hata kama gunia la pumba ni sh.10,000 tu
Na kumbuka nguruwe Hali pumba peke yake Kuna na mchanganyiko wa vyakula na lishe nyingine ambazo ni lazima apate .
Bado madawa na chanjo za kuzuia magonjwa.
Bado vifo vya watoto anaozaa,na kama unawafuga maeneo yenye joto,vifo vinaweza ongezeka zaidi.
Hiyo Milioni 1 haifai kwa lolote kulisha nguruwe.
Na kumbuka jinsi muda unavyozidi kwenda rate ya kuzaa kwa nguruwe huwa inapungua kutokana na genetically reasons kwa hiyo si rahisi kupata nguruwe 1500 kwa miaka 3 la sivyo matajiri wote wakubwa duniani wangekuwa wafugaji wa nguruwe!!! Wafugaji wakuku tu wenyewe wanajua gharama ya chakula ni almost 50% ya pesa zote..sembuse nguruwe.
Sahau kuhusu mil.300 in 3 years!!!
Usitupe False hopes!!!
GET YOUR FACTS STRAIGHT.

 
Hakuna project ya namna hyo zaidi ya hyo project kufa au kudhulumiana muhimu Kama unayo hyo 2m Anza na kitu kinachowexa kufanyiwa na hyo pesa au jikaze upate hyo 20m usimame mwenyewe tofauti na happy hyo pesa utaipoteza ndugu.
Asante kwa wazo,bado napokea mawazo kutoka kwa watu mbalimbali.Na pia pm nimeshapata members wanne...ntazidi kuleta mrejesho kadri itakavyokua wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIKUBALIANI NA HESABU ZAKO.
Kwa Nini unasema gharama ya chakula ni sh.1,000,000 ?!!au kwa sababu wewe una shamba ekari 30 za kulima maboga na alizeti ili kuwalisha?!nguruwe mdogo wa kuanzia mwezi mmoja anakula wastani wa kilo 2 kwa siku.atakapofika umri wa kubeba mimba mpaka kujifungua ni wastani wa kuanzia kilo 6 mpaka 10 kwa siku kutegemea na ukubwa wake,akifika wakati wa kunyonyesha atahitaji nusu kilo ya ziada kwa Kila mtoto mmoja anayenyonyeshwa,kama Ana watoto 10 piga nusu kilo Mara 10 alaf ongeza na kilo zake anazokula Kwa siku...ndo umpe ale kwa ujumla kwa siku moja.sasa nguruwe hao 20 ambao wote ni majike na unataka wazae watoto 160 kwa mwaka mmoja!!! Ambao na wenyewe wanahitaji kula Tena!! FIKIRI MARA MBILI.na kabla hujamuuza lazima umpe chakula Cha ziada ili afikie walau kilo 200
Mbaya zaidi umuuze kwa sh.200,000 (laki 2) baada ya kumlisha mwaka mzima!heheh utapata HASARA ya kukutosha.
Hata kama gunia la pumba ni sh.10,000 tu
Na kumbuka nguruwe Hali pumba peke yake Kuna na mchanganyiko wa vyakula na lishe nyingine ambazo ni lazima apate .
Bado madawa na chanjo za kuzuia magonjwa.
Bado vifo vya watoto anaozaa,na kama unawafuga maeneo yenye joto,vifo vinaweza ongezeka zaidi.
Hiyo Milioni 1 haifai kwa lolote kulisha nguruwe.
Na kumbuka jinsi muda unavyozidi kwenda rate ya kuzaa kwa nguruwe huwa inapungua kutokana na genetically reasons kwa hiyo si rahisi kupata nguruwe 1500 kwa miaka 3 la sivyo matajiri wote wakubwa duniani wangekuwa wafugaji wa nguruwe!!! Wafugaji wakuku tu wenyewe wanajua gharama ya chakula ni almost 50% ya pesa zote..sembuse nguruwe.
Sahau kuhusu mil.300 in 3 years!!!
Usitupe False hopes!!!
GET YOUR FACTS STRAIGHT.
Wazee wa Negative views hamkosekani..
 
Mm nazo mbl ty.
1546774445771.jpeg
1546774467683.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom