nyilaegenge
Senior Member
- Apr 13, 2014
- 198
- 105
Ndo Kazi ilokuweka humu, kariri majina yang hujui wakerewe wanafanya Kazi gani Tanzania hiiTunaanza kuwajua sasa majina yenu halisi ole wenu mumchokoze mkulu magu
Ndo Kazi ilokuweka humu, kariri majina yang hujui wakerewe wanafanya Kazi gani Tanzania hiiTunaanza kuwajua sasa majina yenu halisi ole wenu mumchokoze mkulu magu
No 0673296942. Tumia whatsap. Kupiga 0685297010Weka namba basi tuwasiliane,, hii kitu inalika sn huku kwetu Pemba na Unguja,, na hata visiwani huko Comoro,, soko lake halisumbui .
- Nguruwe watoto 20 @ 20000 = 400000
- Banda la mabanzi=1,000,000
- Chakula = 1,000,000
- Dawa= 200000
After 1yr: Nguruwe 20 watazaa vitoto kama 160,utachakuwa vitoto jike 100,
mama zao wote watauzwa, huku shambani kwetu nguruwe
mkubwa ni Tsh 200,000 tu, utapata 4,000,000.
After 2yrs: Nguruwe 100 wanaweza kuzaa 700. Kati ya 700 chagua majike 500,(unaweza kuuza watoto dume ukanunua jike).
Year 3: Nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu
Kutoka hapo unamentein Number 1500, kila mwaka unaweza kuuza
watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500.
1500*200000= Tsh 300,000,000/= kwa mwaka
Nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil.
Welcome to the club
Kabla hujajitumbukiza kaone mifano, au nenda sokoine ukaonane na wataalamu.
Kila mwaka nalima Mahindi, alizeti, maboga ekari 30 kwa ajili ya chakula cha nguruwe tu.
Nakupenda saana mpwa..
==========
USHUHUDA
======================================================[/QU
Naomba uniadi 0658657189Habari za humu ndani?? Naomba msaada nahitaji watoto wa nguruwe Mwanza idadi 30 naomba namba sehemu nayoweza kuwanunua wazazi wangu walifuga nguruwe kwa muda mrefu sasa nataka niwanunulie waanze tena maana waliuza zote miaka mingi imepita.. Nataka niwape kitu cha kifanya maana wamestaafu.. Naomba msaada wa pakuzipata Mwanza na bei zake, natanguliza shukrani.
Du yaani kati ya watu waliowaza mbali kabla ya kufuga ni wewe.Ni kweli kabisa changamoto kubwa ya ufugaji nguruwe ni kwenye chakula,kinauzwa bei mbaya na hasa pumba za mahindi ambazo kwetu sisi ndiyo lishe kuu kwa nguruwe.nna mpango wa kuanza kufuga hii kiku ila naanza na kununua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi
Du yaani kati ya watu waliowaza mbali kabla ya kufuga ni wewe.Ni kweli kabisa changamoto kubwa ya ufugaji nguruwe ni kwenye chakula,kinauzwa bei mbaya na hasa pumba za mahindi ambazo kwetu sisi ndiyo lishe kuu kwa nguruwe.
Kwa Maana hiyo ukiweza kupata hizo Mashine,utafuga kirahisi sana,na mafanikio utayaona haraka sana.
Ukiwa interested kuna kundi la whatsup la wafuga nguruwe na Mimi nimo humo,unaweza jiunga ili kupata morali ya kuendelea na ndoto yako[/QUOTE
Hongera kwa mawazo mazuri na Mimi naomba mniunganishe kwa namba hii 0784873787
0658825141 add me0754026030niadd mkuu