Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Nguruwe kuwa mkubwa na kilo nyingi lakini ndani ana mafuta kuliko Steak inasababishwa na nini?

Je ni Chakula anachokula kila siku au ni aina ya Nguruwe(Breed) ndio inafanya wawe hivyo.

Kwa wale ambao mnakula nguruwe mtakubaliana na Mimi kwamba Nguruwe mzuri ni yule mwenyewe mafuta kidogo na nyama nyingi naamini hata wachinjaji inawapa faida zaidi akichinja nguruwe mwenye nyama nyingi na mafuta kidogo

Sasa Je mfugaji afanye nini ili Nguruwe wake wawe na Kilo nyingi lakini zenye nyama pamoja na mafuta machache maana unaweza kumuona Nguruwe mkubwa kwa mwili na kilo nyingi lakini akichinjwa unakuta mafuta ni mengi mno kuliko nyama kitu ambacho walaji hawapendi.

Naamini hata wachinjaji wanapenda zaidi Nguruwe wa aina hii maana anawapatia faida zaidi,

Naombeni majibu wadau,sikumoja napenda nifuge hawa wanyama

Ahsante
 
Nguruwe kuwa mkubwa na kilo nyingi lakini ndani ana mafuta kuliko Steak inasababishwa na nini?

Je ni Chakula anachokula kila siku au ni aina ya Nguruwe(Breed) ndio inafanya wawe hivyo.

Kwa wale ambao mnakula nguruwe mtakubaliana na Mimi kwamba Nguruwe mzuri ni yule mwenyewe mafuta kidogo na nyama nyingi naamini hata wachinjaji inawapa faida zaidi akichinja nguruwe mwenye nyama nyingi na mafuta kidogo

Sasa Je mfugaji afanye nini ili Nguruwe wake wawe na Kilo nyingi lakini zenye nyama pamoja na mafuta machache maana unaweza kumuona Nguruwe mkubwa kwa mwili na kilo nyingi lakini akichinjwa unakuta mafuta ni mengi mno kuliko nyama kitu ambacho walaji hawapendi.

Naamini hata wachinjaji wanapenda zaidi Nguruwe wa aina hii maana anawapatia faida zaidi,

Naombeni majibu wadau,sikumoja napenda nifuge hawa wanyama

Ahsante
navyojua ni ratio ya chakula unachompa inawezekana anakula (protein+carbs+fats)kwa wingi sana .
hapa inabid upunguze ratio ya chakula.wengi hawajui mnyama ni kama binadamu kwaiyo kwa kutaka kujua ni kwann nguruwe anamafuta mengi kuliko stake bac at the same time jiulize kwann pia binadamu ana kuwa mnene kupindukia,nadhani ukiweza kujua ni kwa nn bac utakuwa umepata majibu mazuri zaidi.
 
navyojua ni ratio ya chakula unachompa inawezekana anakula (protein+carbs+fats)kwa wingi sana .
hapa inabid upunguze ratio ya chakula.wengi hawajui mnyama ni kama binadamu kwaiyo kwa kutaka kujua ni kwann nguruwe anamafuta mengi kuliko stake bac at the same time jiulize kwann pia binadamu ana kuwa mnene kupindukia,nadhani ukiweza kujua ni kwa nn bac utakuwa umepata majibu mazuri zaidi.
Mkuu sijaanza kufuga bado ila najaribu kujiuliza mambo ya msingi ili wafugaji waelewa wanipe somo maana hiki kitu nimeshakutana nacho,nashukuru kwa mchango wako
 
Post inatamanisha sana ushauri wangu: Kama umeamuakufuga kama hivyo basi jitahidi angalau 90% ya muda wako upo hapo na ukubali kupigika hasa kutokana na changamoto utakazokutana nazo. Kadri unavyopambana na hizo changamoto ndivyo utakavyokua unaelekea kwenye mafanikio
 
Hivi inafaa kwaogesha kwa dawa ya kuua kupe(maarufu..dipu) kama ng'ombe,mbuzi nk ili kuua viroboto..wanajisugua ukutani
 
Hakika jukwaa hili ni SULUHISHO,, mimi ni ufugaji wa nguruwe nimeanza mwaka huu mwezi wa 5 na nimeanza na majike 25 tayari 10 wana mimba ,, nategemea kuuza nguruwe 100 kila mwezi wadogo kwa wakubwa,, nina eneo la hekari mbili maeneo ya kerege bagamoyo,, nimelima migomba, maboga kwa ajili ya chakula cha ziada, nawapa mchanganyiko wa Pumba za mchele, pumba za mshindi, mashudu ya alizeti, chumvi,pig mix,, nawaona wakiwa na afya njema sanaa.Wale wenzangu tujuzane masoko serious!!
 
Dah umesema kweli mkuu, nguruwe anahitaji uangalizi wa karibu sana ukiwaachia vijana wewe ukawa mbali inakula kwako na nguruwe watadumaa na wakidumaa ndio basi tena hata ulishe vipi, mim ni mfugaji lakini gharama za utunzaji wa nguruwe hadi akue ni kubwa sana
Yan tz sjui tunafeli wap yan hakuna daraja kati wa wataalamu na wafugaji au wakulima matokeo yake ndo kama haya mfugaji anaweza kua anatumia expenses nyingi kwenye ufugaji na faida anapata ndogo ufagaji mzuri ni ule wenye tija production cost ndogo na kupata faida kubwa

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu, mimi ni mfugaji nipo Mwanza, nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa ajili ya kufugwa, napatikana Mwanza nitafute kwa namba hizi 0719832015
Karibuni sana
 
Hakika jukwaa hili ni SULUHISHO,, mimi ni ufugaji wa nguruwe nimeanza mwaka huu mwezi wa 5 na nimeanza na majike 25 tayari 10 wana mimba ,, nategemea kuuza nguruwe 100 kila mwezi wadogo kwa wakubwa,, nina eneo la hekari mbili maeneo ya kerege bagamoyo,, nimelima migomba, maboga kwa ajili ya chakula cha ziada, nawapa mchanganyiko wa Pumba za mchele, pumba za mshindi, mashudu ya alizeti, chumvi,pig mix,, nawaona wakiwa na afya njema sanaa.Wale wenzangu tujuzane masoko serious!!
Mkuu unamia chakula kiasi gani kuwalisha hao nguruwe 25 kwa mwezi (kilogramu ngapi) na je ni wakubwa kabisa?
 
Nimeanza na majike mawili mwezi huu tar 10 /8/2021 mungu akilijalia ntanunua wengine wa 3 ili jumla wawe 5,nilikuwa naangalia YouTube kuna shamba LA nguruwe linaitwa DAIICHI FARM jinsi anavyo ongeza thaman ya nyama yake kutoka shambaa mpaka kuwa na kakiwanda ka kupack na kutengeneza sausage ............. Nikifika level za kuwa na nguruwe 50 nadhan ntapata moyo zaidi na hii SIDE HUSTLE
 
Nguruwe kuwa mkubwa na kilo nyingi lakini ndani ana mafuta kuliko Steak inasababishwa na nini?

Je ni Chakula anachokula kila siku au ni aina ya Nguruwe(Breed) ndio inafanya wawe hivyo.

Kwa wale ambao mnakula nguruwe mtakubaliana na Mimi kwamba Nguruwe mzuri ni yule mwenyewe mafuta kidogo na nyama nyingi naamini hata wachinjaji inawapa faida zaidi akichinja nguruwe mwenye nyama nyingi na mafuta kidogo

Sasa Je mfugaji afanye nini ili Nguruwe wake wawe na Kilo nyingi lakini zenye nyama pamoja na mafuta machache maana unaweza kumuona Nguruwe mkubwa kwa mwili na kilo nyingi lakini akichinjwa unakuta mafuta ni mengi mno kuliko nyama kitu ambacho walaji hawapendi.

Naamini hata wachinjaji wanapenda zaidi Nguruwe wa aina hii maana anawapatia faida zaidi,

Naombeni majibu wadau,sikumoja napenda nifuge hawa wanyama

Ahsante
Ili kupunguza mafuta mengi kwa nguruwe jitahidi kumpa majani mengi na pia tumia kiasi kikubwa cha pumba za mpunga katika mchanganyiko wa chakula chao kuliko pumba za mahindi
Hapa utapata nyama nyingii mafuta kidogo
 
Je kuharisha kwa piglets kunaweza sababishwa na maziwa ya sow kama hakupata matibabu na chanjo stahiki kabla ya kubeba mimba?
Mama akiwa anatoa maziwa yenye vimelea vya ugonjwa ndio watoto huharisha .........hapa Fanya kutumia dawa zenye sulphur kuwatibu au changanya kiasi cha chakula chao ( creep feeds na antibiotic za unga zenye sulphur ) lakin muhimi kuzingatia usafi pia
 
Ili kupunguza mafuta mengi kwa nguruwe jitahidi kumpa majani mengi na pia tumia kiasi kikubwa cha pumba za mpunga katika mchanganyiko wa chakula chao kuliko pumba za mahindi
Hapa utapata nyama nyingii mafuta kidogo
Asante
 
Nimekuwa interested sana na ushauri wako nami ningependa kujaribu hilo deal. Jambo moja linanisumbua ni jinsi ya kupata sehemu ya kufugia, kama kuna mtu ana idea mashamba ya bei nafuu pembezoni mwa Dar es salaam naomba msaada.
Mimi nina eneo kubwa tu Vigwaza pale, tuingie ubia au kama utataka kununua
 
Natafuta sehemu ambayo naweza kodisha ili nianzishe mradi wa kufuga nguruwe, iwe eneo lolote pembeni mwa dar es salaam, kama kibamba, mbezi, segerea etc.

Wakuu wenye uzoefu naomba mnielekeze, nahitaji mtaji wa shilingi ngapi ili kuanza na ufugaji wa nguruwe watano?

Je cost yake kwa vyakula etc yaweza kuwa vipi?

Je kuna mdau mwenye wazo kama hili ambaye naweza kushirikiana nae?

Shukrani.
Mimi nina wazo hili miaka mingi, nina mtaji wa eneo kama eka moja na ushee kule Vigwaza, linatosha kabisa kuhifadhi nguruwe hata mia
 
BIASHARA IPI UFANYE??

Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake

wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher

SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???

JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa

Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu

KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI

1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO

Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI

Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member

Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo

2.MAGONJWA YA KISUKARI

Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako

Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona

3.MAGONJWA YA VITAMBI

Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe

4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni

kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana

5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO

Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA

6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake

JINSI YA KUPATA WATEJA

Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya

Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana

JINSI YA KUFANYA FACEBOOK

Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya

Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako

Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe

BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI

JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma

Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000

Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki

Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe

1.uwe na majina matatu

2.uwe na email yako

3.namba yako ya simu

UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA

AWE NA VITU VIFUATAVYO

1.majina matatu

2.email

3.namba ya simu

NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?

Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano

USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA

KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO

TUWASILIANE KUPITIA NAMBA

0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP

AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
This is cool Ameoba ahsante kwa kurespond kwenye hili na PM pia. Well, tunakutakia safari njema ya Iringa (kwa kiasi fulani nimetokea huko pia so nimeguswa). Tutafurahi sana kupata feedback baada ya hiyo wiki moja. Personally ninakuwa na muda week-end japo hata week days ninaweza kuutafuta kwa ajili ya kutembela hiyo project yako. Of course iko wapi project nayo itakuwa ni determining factor pia. So limalize hilo la Iringa ili tuweze kujipanga vizuri. Once again, tunakutakia safari njema na kila la heri kwa linalokupeleka huko.
Ulifanikiwa kumtembelea?
 
Ulifanikiwa kumtembelea?
Ni muda umepita mkuu hata sikumbuki vzr hii thread. Ila ni Amoeba ndiyo alikuwa ana mpango wa kumtembelea mfugaji mkubwa wa nguruwe Iringa ninadhani. Na mm ndiyo nilisema nikipata mrejesho toka kwake ndiyo ningepanga hiyo safari pia. Sikumbuki kama nilipata huyo mrejesho toka kwa mkuu Amoeba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom