Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 588
- 410
Mpwa hii bonge ya deal hata mate yananitoka ila tatizo mimi imani yangu inaniambia nguruwe ni haramu kabisa. lakini hiyo hela naitaka
Ni haramu kula siyo kufuga, kasome tena uje uanze ufugaji wake uwe tajiri.