dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,171
- 54,646
π π π π π πhaiwezekani viroba huko kwenu viuzwe kwetu vipigwe marufuku
huu ni upendeleo
π π π π π πhaiwezekani viroba huko kwenu viuzwe kwetu vipigwe marufuku
huu ni upendeleo
Umepotelea wap mzee?haiwezekani viroba huko kwenu viuzwe kwetu vipigwe marufuku
huu ni upendeleo
Habari yako najua ni post ya siku nyingi, naomba kujua ulifanikiwa hili swala, niko kwenye mchakato
Galoni moja ya sumu ya nge inauzwa dola za kimarekani Mil 38 ambayo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania bilioni 75 (kumbuka hostel za Udsm ni BIL. 10).
Gunia mia za hawa wadudu zinatosha kabisa kupata galoni moja ya sumu.
OMBI.
kwa watu ambao mmechoka na umaskini kama mimi ebu tujaribuni kuangalia ni jinsi gani tunaweza kuwazalisha hawa wadudu kwa biashara (commercially) tuweze vuta huu mpunga.
SOKO lipo na ni la uhakika kabisa hamna longolongo sijui bosi kasafiri njoo kesho.
Karibuni tuyajenge.
Hivi hii biashara ya sumu ipo kweli?Habari yako najua ni post ya siku nyingi, naomba kujua ulifanikiwa hili swala, niko kwenye mchakato
haiwezekani viroba huko kwenu viuzwe kwetu vipigwe marufuku
huu ni upendeleo
very smart idea kiongozi
Galoni moja ya sumu ya nge inauzwa dola za kimarekani Mil 38 ambayo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania bilioni 75 (kumbuka hostel za Udsm ni BIL. 10).
Gunia mia za hawa wadudu zinatosha kabisa kupata galoni moja ya sumu.
OMBI.
kwa watu ambao mmechoka na umaskini kama mimi ebu tujaribuni kuangalia ni jinsi gani tunaweza kuwazalisha hawa wadudu kwa biashara (commercially) tuweze vuta huu mpunga.
SOKO lipo na ni la uhakika kabisa hamna longolongo sijui bosi kasafiri njoo kesho.
Karibuni tuyajenge.
Wewe umevuna kiasi gani? Tanzania tuna uhaba wa vijana! Asilimia kubwa ya mavi-jana ya Tanzania ni mapopoma!
Galoni moja ya sumu ya nge inauzwa dola za kimarekani Mil 38 ambayo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania bilioni 75 (kumbuka hostel za Udsm ni BIL. 10).
Gunia mia za hawa wadudu zinatosha kabisa kupata galoni moja ya sumu.
OMBI.
kwa watu ambao mmechoka na umaskini kama mimi ebu tujaribuni kuangalia ni jinsi gani tunaweza kuwazalisha hawa wadudu kwa biashara (commercially) tuweze vuta huu mpunga.
SOKO lipo na ni la uhakika kabisa hamna longolongo sijui bosi kasafiri njoo kesho.
Karibuni tuyajenge.