🙏 🙏 🙏 ❣️Yah sure mkuu najitahid Sana kwenye madawa
Umeandika Kama unakimbizwa mkuu ...
Hujasema Ni mbuzi wangapi...
Breed gani?
Changamoto?
Faida ?
Masoko?
Kaa kwa kutulia au ulitaka Tuu tuone unae mbuzi ,kanga na kuku?
Kunywa maji andaa Uzi uliojitosheleza.
Huu ujuaji ndio unaofanya watu wasitoboe,ameelezea kama kuhamasisha wengine.Masuala ya breed,changamoto toa wewe.Umeandika Kama unakimbizwa mkuu ...
Hujasema Ni mbuzi wangapi...
Breed gani?
Changamoto?
Faida ?
Masoko?
Kaa kwa kutulia au ulitaka Tuu tuone unae mbuzi ,kanga na kuku?
Kunywa maji andaa Uzi uliojitosheleza.
Huu ujuaji ndio unaofanya watu wasitoboe,ameelezea kama kuhamasisha wengine.Masuala ya breed,changamoto toa wewe.
Tuko pamoja mkuu ukiwa na swali niulize tutasaidiana kwa kadiri inavyowezekanaShukrani sana Kwa elimu boss
Jaman huyo kuku hapo mbona amefanana na kocha wa utopolo aliyepita, kweli dunian wawili wawili.Mambo vp ndugu zangu, ebwana ndugu yenu nmerudi tena ili tuendelee kupeana elimu kuhusu maswala mbali mbali yenye manufaa.
Leo nataka nikueleze maajabu nilioyashuhudia kwenye ufugaji wa Mbuzi wa kienyeji, ndugu zangu ufugaji watu wanauchukulia poa Sana lakini Una faida kubwa na za kushangaza.
Mnamo mwezi wa Saba mwaka 2020 nilinunua Mbuzi nane majike, na kwakua skua na Banda nilienda kuwaweka Kwa rafki yangu mwalimu wa shule ya masingi ambae nae pia alikua akifuga Mbuzi kadhaa,
Ilipofika mwezi wa 10 tayari nilikua nmepaua mabanda yangu na hii ilinifanya nipate hamu ya kuwafata Mbuzi wangu, mapema mwezi wa 11 niliwafata Mbuzi wangu na kuanza kuwafuga nyumbani kwangu, nikiwa tayari nmepata kijana wa kuwachunga.
Mbuzi Hawa kipindi nawanunua walikua kwenye muda wao wa kuanza kupandwa, namshkuru Mungu huyu rafki yangu mwl alikua na Dume bora kabisa so Mbuzi wangu alipofika kwake walianza kushughulikiwa barabara,
Tarehe moja Dec Mbuzi wangu wa 1 akazaa kitoto jike, tarehe 17mwezi huo huo Mbuzi wangu mwingine akazaa watoto wawili mmoja dume na mwingine jike, mpk kufkia tarehe za mwishoni mwa mwezi wa Kwanza Mbuzi wangu Saba walikua wamezaa na alikua kabaki mmoja tu nae alikua na mimba
Mwezi huu wa pili nae huyu akazaa vitoto viwili, na yule Mbuzi aliezaa mweiz wa 12 tayari amepandwa tena na atazaa mwaka huu huu,
Baada ya kuona namna Mbuzi wangu walivyozaa mfululizo kwakweli nilifurahi Sana, na nikaamua kuingia moja Kwa moja kwenye ufugaji wa Mbuzi wa kienyeji huku nikiwa na malengo lukuki, mwezi huu wa pili mwanzoni niliamua kuingia tena mnadani na kuongeza Mbuzi wengine nane ambao nao wawili walipofika tu wakanipatia ndama wawili, ukawa mwanzo rasmi wa me kuingia kwenye ufugaji wa Mbuzi.
Hivyo basi bila hiyana wala choyo, nmeamua kuandika hapa ili kuwapa motisha ndugu zangu ambao wanatamani kuingia kwenye ufugaji wa mbuzi wa kienyeji, hakika Mbuzi Wana faidia Sana,wanazaa Kwa muda mfupi na ndama wa miezi mitatu ukimuangalia unaweza usiamini, wanakua kwa Kasi Sana., Karibuni tuendelee kupeana ujuzi na elimu mbali mbali kuhusu ufugaji ,vile vile najihusisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji,kanga,bata mzinga,bata wa kawaida,na ng'ombe wa kienyeji.
Karibuni sana.
Instagram unaweza nicheki Kwa jina la
@rashidmbuzi89
View attachment 1714808View attachment 1714809View attachment 1714810
Karibu sana nikisema namaanisha tujitahidini jamani kwenye ufugaji mambo yapo vyema, kikubwa ni good management na uvumilivu ktk kusubiria mazao. nidhamu kubwa sana katika ufugaji na kilimo ni hiyo.Hongera kiongozi
hongereni sana wote mnaofuga, hivi ile breed ya boer inapatikana wapi kwa hapa tz?
..mchangiaji mwenzetu anaitwa wakaliwetu alisema kuna wafugaji wakubwa wa Mbogo Farms wanasaidia Watanzania ktk kuagiza mbuzi wa Boer kutokea South Afrika. Mbuzi wa Boer, Savanna, na Kalahari, asili yao ni South Afrika.
..nilipowacheki jamaa wa Mbogo Farms nimekuta wana namba 784 785 785, wameitoa kwa watu wenye interest za kununua mitamba ya ng'ombe kutoka katika mashamba yao. Nakushauri ujaribu kuwatafuta ktk namba hiyo labda watakuwa na majibu kuhusu suala lako la mbuzi breed ya Boer.
..Ukishindwa kuagiza Boer, kuna mbuzi mwingine hapa Tanzania na Kenya wa breed ya Galla/Isiollo. Ni mbuzi mzuri, anastahimili magonjwa, anakua haraka, majike wanatoa maziwa mengi,na madume wako active kwelikweli ktk kuwapanda mbuzi jike. Mbuzi wa Galla/Isiollo kwa hapa Tanzania anapatikana zaidi ktk jamii za Wamasai maeneo ya Longido.
..Mbuzi wa Galla huyu hapa:
..ningekuwa wewe ningemtafuta wakaliwetu haraka bila kuchelewa. yuko maeneo ya kibamba na wewe upo kimara.asante sana mkuu, sasa naanza kuona mwanga. huu uzi ni mtamu sana ila usije kuingiliwa na watoto tu
Nitamtafuta wiki hii..ningekuwa wewe ningemtafuta wakaliwetu haraka bila kuchelewa. yuko maeneo ya kibamba na wewe upo kimara.
Karibu sana ndugu hili niletu sote, na leo nimeingiza Galla/isioli 3 majike tunamshukuru sana Mungu kwa hilo.nitamtafuta wiki hii
Thanks bro, nitatafuta muda wiki hii nikutembeleeKaribu sana ndugu hili niletu sote, na leo nimeingiza Galla/isioli 3 majike tunamshukuru sana Mungu kwa hilo.
Karibu sana ngoja niweke hapa hao walio ingia leothanks bro, nitatafuta muda wiki hii nikutembelee