George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,909
Wakongwe,
Kuna ndugu yangu ameanza mradi wa ufugaji kuku wa kisasa miezi kadhaa iliyopita. Ila changamoto anayopata ni katika kupata masoko, aliingia kwenye ufugaji bila kufanya utafiti wa masoko.
Kwa wenye kufahamu namna anaweza kupata masoko naomba mtusaidie.
Kuna ndugu yangu ameanza mradi wa ufugaji kuku wa kisasa miezi kadhaa iliyopita. Ila changamoto anayopata ni katika kupata masoko, aliingia kwenye ufugaji bila kufanya utafiti wa masoko.
Kwa wenye kufahamu namna anaweza kupata masoko naomba mtusaidie.