Nipo ncheki, nipo na nmesomea poultry pia nnauzoefu mkubwa wa zaidi ya miaka 3 ktk brooding & poultry disease control ntafute tufanye kazi 0769867594.Kwa mwenye elimu ya jinsi ya kutengeneza chakula cha kuku zaidi upatikanaji protin mfano funza,minyoo,mende msaada jamani.... maana dagaa na soya ni gharama mno
Mayai nawwza kupata
Basi haitoshi! Maana vifaranga sio chini ya 1600 bado chakula, ingawa unaweza nunua mayai ukatotolesha kupunguza gharama, banda linakula hela.
Basi haitoshi!maana vifaranga sio chini ya 1600 bado chakula,ingawa unaweza nunua mayai ukatotolesha kupunguza gharama,Banda linakula hela.
Nikweli, Kuku wanahitaji
Banda approximately 2m lakini 3m for at least 400 vifaranga
Kifanga kimoja kama 2000
Chakula cha vifanga kama lakini tatu
Nk
Banda la hovyohovyo 2,5000,000
Chakula cha Kuku 300,000
Vifanga walau 400x2000..800,000
hapo una at least jumla 3.6m
Hellow, naombeni ushauri natamani kufuga kuku chotara eneo ninalo ila Nina balance ya mil moja tuu, je inawezatosha kwa ufugaji wa aina hiyo ya kuku? Nipo Dar es salaam, Tabata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ntaufanyia kazi ushauri wakoUkisema ujipange, hutafanikiwa. Utanikuta umekula hiyo fedha kizembe
1. Anza kwa Kuku wachache kabisa 60 hivi
-watakufundisha
I) mahitaji yao
-dawa
-vyakula
-vyombo
-magonjwa nk
2. Washirika wako wa kukupa msaada
-wafugaji, majirani
-wataalamu wa mifugo nk
3. Uzoefu wa kushughulika na kero mbali mbali
Ukisha pata uzoefu kamili utaanza kuongeza idadi kadri ya mtaji na nafasi yako
Muhimu ni kwamba mambo ya ufugaji yanahitaji moyo, na uvumilivu maana faida hupatika baada ya muda kupita