View attachment 1489822

Nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji, bado sija survey soko la kuku wa kienyeji likoje.
Kama kuna mtu mwenye uzoefu na hili anishauri, pros and cons etc.

By the way, nimeanza na Jogoo mmoja, ila natarajia kuongeza kuku within a week, projections ni kuwa na kuku 1,000, hapo ndio nianze kuuza, matarajio yangu ni kuuza via interent - hapa nalenga watu wa DAR, ambao wako bize, I can do delivery maofisini within city center, na baadae kuweka vituo vya kufanya pickup wakati watu wanarudi home jioni, e.g Mwenge Junction, Morocco Petrol Station, etc. Malipo via M-Pesa, SMS banking pia na mahoteli.

Sitarajii faida ya haraka, naomba ushauri kwa wale walifanya biashara hii, au wanajua mtu wa karibu aliyeifanya.
Je, ni tofauti gan kati ya kuku hawa na Kuchi?
 
Nahitaji vifaranga broiler kama 100 nataka kuanza ufugaji wa kuku wa kisasa/kizungu. Mwenye nao ani PM.
 
pata muongozo wa chanjo na siku za kuwapa chanjo.....unaweza andaa pia box kubwa la mbao au utaratibu mwingine kwa vifaranga....

Pata utaratibu wa chakupa chakuku stahili kwa umri na kwa ujazo mkuu, na nini kinatakuwa kwenye mchanganyiko wa kuku.....pia sehemu za kutagia inabd uziandae mapema, kama kuku utakaochukua ni wakubwa.

Jifunze pia dawa za asili mbalimbali, ili ikitokea shida ujue unasolve vipi.....

Usafi wa banda na malazi ya chini, pumba za mpunga au maranda ni msingi kuzizingatia , binafsi nilitumia Pumba za mpunga ila zile zinaleta utitiri usipozutoa baada ya muda mchache kama wiki 1 na siku 3 unatoa ukiacha sana znaleta sana utitiri....ila baada ya kutumia mchanga chini na nyasi naona mafanikio....
 
Binafsi nafuga kuku wa kienyeji ila kuna kitu kikubwa nataka kufanya.....

Nataka nifuge kuku kuroiler wale wakubwa sana kimuonekano,

plan A ni nifuge majogoo tu ya kuroiler yami nipate vifaranga 100 by mwez wa 4 nianze navyo by mwezi wa 12 zile sikukuu ndio nakuwa nawapeleka sehemu mbalimbali kuwauza.....kwamaana wakikua kama 75 basi nitakuwa na faida kubwa.....

Plan B ni kifuga wote tetea na majogoo na kuwachanganya na wakienyeji pure kwaajili ya kuhatamia mayai maana, Kuroiler tetea wake wanataga tu bila kuhatamia mayai....

miezi 6 inakuwa tayari kutoa kuku wako na ukutarget majogoo na sikukuu unakuwa katika advantage ya kuwatoa wengi sana.
 
Kuku sasso wanauzwa
Umri miezi3 na wiki3.
Wako120,
Bei ni 12000,
Location Ushirombo.
Kama mteja ni wa mbali atapunguziwa bei ili abakie na nauli ya kusafirishia. 0629306194 karibuni
IMG-20211122-WA0005.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom