Kiini cha njano hakina uhusiano wa moja kwa moja na uzururaji wa kuku bali hutokana na majani au mbogamboga (za kijani) anazokula kuku. Unaweza kumfuga kuku "zero grazing" na akawa na mayai ya njano na matamu kuliko huyo anayezurura.

Mradi wangu kwa mfano, kuku wanafugwa ndani ila kuna bustani maalum kwa ajili yao. Hayo mayai ukianza tu kutumia hautoki!View attachment 1658855View attachment 1658856
ni aina gani hiyo ya kuku mkuu unaofuga???
 
NAUZA BIASHARA YA CAR WASH:

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
NAMBA YA SIMU: 0717 26 33 77

MAELEZO:

MACHINE ZOTE, UJENZI, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 7,000,000
NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA HII BIASHARA.
 
NAUZA BIASHARA YA CAR WASH:

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
NAMBA YA SIMU: 0717 26 33 77

MAELEZO:

MACHINE ZOTE, UJENZI, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 7,000,000
NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA HII BIASHARA.
Mkuu kama una uhakika inalipa mwachie ndugu yako kwa makubaliano akulipe huku anaiendesha na Mungu atakubaliki
 
NAUZA BIASHARA YA CAR WASH:

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
NAMBA YA SIMU: 0717 26 33 77

MAELEZO:

MACHINE ZOTE, UJENZI, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 7,000,000
NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA HII BIASHARA.
Sasa mkuu hapo kuna hela ya ujenzi na hela ya kodi tena??
 
Naomba kujua nimeambiwa na mtu kuwa Muheza Tanga huwa kunakua na gulio la kuku wa kienyeji Kila jumapili, ni kweli ?
mana nataka kuchukua wengi kwa ajili ya biashara
Umejipangaje na changamoto ya ugonjwa wa kideri? Wakati mwingine kuku wanaopelekwa midani wanakua wameugua kideri ila syo wote hivyo kua makini.
 
Naomba kujua nimeambiwa na mtu kuwa Muheza Tanga huwa kunakua na gulio la kuku wa kienyeji Kila jumapili, ni kweli ?
mana nataka kuchukua wengi kwa ajili ya biashara
Ni vyema ukanunua majira ya baridi kwani kuna hatari ndogo ya kideri
 
Nakushauri ufuge wa kisasa - Layers. wa kienyeji it takes time na faida si kubwa vile unavyodhani - nitafute nikupe ushauri wa bure - meanwhile angalia kazi hii hapa

Hawa wako 900, wanatoa Tray 24 kila siku kila Tray 5000- Chakula chao ni kilo 125 approx Tshs 55,000/-

Mtaji wa kuanzia unahitaji kuwa na not less than 6m before you start production. Kama unataka mchakato mzima sema nitakutumia database yangu.

Habari nimevutiwa na uzi huu, ila ningependa kujua gharama ya uendeshaji kutoka vifaranga mpaka kuanza kutaga (kununua vifaranga+chakula na madawa) na pia gharama za maandalizi ya banda?
 
Nimekua mfugaji wa kuku wa kienyeji na katika upande wanamna ya kuwafuga nimeona kuwafuga kwa kuwaachia ni nzuri zaidi na in matokeo mazuri sana kuliko kuwa kuwafungia muda wote kama wakisasa na nimefanya aina zote za ufugaji lakini iliyo leta matokeo chanya ni ile ya kuwaachia huru wakajitafutie.
 
Nakushauri ufuge wa kisasa - Layers. wa kienyeji it takes time na faida si kubwa vile unavyodhani - nitafute nikupe ushauri wa bure - meanwhile angalia kazi hii hapa

Hawa wako 900, wanatoa Tray 24 kila siku kila Tray 5000- Chakula chao ni kilo 125 approx Tshs 55,000/-

Mtaji wa kuanzia unahitaji kuwa na not less than 6m before you start production. Kama unataka mchakato mzima sema nitakutumia database yangu.

IInate
Hutakosa wateja tena ukitegemea ni kuku wa kienyeji,,,mie nnafanya biashara iyo ila sio Dar.

Nilianza kutafuta wafanyabiashara asa masokoni ili nipate angalizo na soko la jumla au rejareja,pia mahotelini unaweza pitia nk nk. Unajua biashara hii kweli ujue tu kujieleza na ukidhi haja ya wateja kwa uzuri,me ilinsaidia hasa ya masokoni na mnaingia mkataba kabisa.

Pia ukiwa na plani ya biashara (sijui niitaje business plan/profile??) ambayo umeiandika unaweza onyesha wateja asa big customers nk haaa si haba.

Keep it up ndugu
Mhh
 
Nimekua mfugaji wa kuku wa kienyeji na katika upande wanamna ya kuwafuga nimeona kuwafuga kwa kuwaachia ni nzuri zaidi na in matokeo mazuri sana kuliko kuwa kuwafungia muda wote kama wakisasa na nimefanya aina zote za ufugaji lakini iliyo leta matokeo chanya ni ile ya kuwaachia huru wakajitafutie.
Mkuu naomba kuuliza hiv kuku wa kienyeji baada ya kutaga uchukua muda gani kuanza kulalia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom