Ufugaji wa Kuku Chotara na Kienyeji kwa Mijini ni hasara tupu

ASALI KUTOKA TABORA.

Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tunafunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi


0658 357537
Call/ WhatsApp/Sms
Tabora


Tunafanya Delivery Nchi Nzima.View attachment 2308032
Asali inauzwa Kwa Lita au Kwa kilo!!??
 
Kama una ishi miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Moshi na kadhalika basi wekeza kwenye kufuga kuku wa Kisasa wa Mayai na kuku wa Nyama yaani Broiler.

Mijini hakuna anaye uliza hilo ni la nini na pia mijini demand ya mayai ni kubwa sana kwenye matumizi ya kawaida na viwandani pia.

Kiwanda cha mikate na keki kweli wanaweza hangaika kutafuta mayai sijui ya akienyeji? Na kiwandani wanatukia trei na trei za mayai.

Waoko Keki walio jazani mijini wana muda wa kutafuta sijui mayai ya kienyeji? Jibu ni hapana.

Mahoteli ya Kitalii wana huo muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Kwanza Wazungu hawatumii mayai ya Kuku wa Kienyeji wale wanajua fika ni kwa nini.

Wakaanga Chips ambao ni wengi balaaa kila kona wana muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Na wakaanda Chips ndo watumiaji wakuu wa mayai kwa mijini ukiwato Viwanda na Hoteli za kitalii.

Mayai ya Kienyeji yana demanda vijijini huko kwenye centre za miji midogo midogo sana huko ndo wanaulizana aina ya yai na sababu hata consumption yao ya mayai iko chini sana.

Mijini kuhangaika eti kufuga kukuku wa kienyeji uuze mayai ni hasara tupu, kubwa sana na kupoteza muda mwingi san, Walaji wa Mayai ya Kienyeji mijni ni family level na comercial.

Hata kufuga kuku wa kienyeji uuze nyama jogooo still ni hasara tupu na wastage of time unless uwafuge na usiwe na time nao yaani wasiwe ndo unawatolea macho pale walishe Familia na pia kama una shamba kubwa na wanaishi wenyenyewe huko wakila panzi.

Zile Fuso zinazo leta kuku wa Kienyeji kutoka Mikoani hasa Singida na Dodoma kumbuka wale kuku wamekusanywa kutoka kwa wafugaji sawa na idadi ya wale kuku yaani kama Fuso imebeba lets say kuku 6000 basi hao kuku 6000 wametoka kwa wafugaji 5800 au hata 6000 kabisa. Huwa wanazunguka minadani kukudanya kuku mmoja mmoja kutoka kwa wafugaji mmoja mmoja.

Pia Vijijini wale kuku si kwamba ndo wanawatolea macho hapana wale kuku wanajitafutia tu na mfugaji ana mambo mengine anafanya hasa kilimo na hivyo huwa ana kamata mmoja mmoja na kwenda kuuza mnadani au siku ya soko.

Hao kuku wa Chotara sijui SASSO au KUROILER wale usije jidanganya kuwafuga kwa ajili ya mayai, utalia nao, unless kwa ajili ya mayai ya kuangulisha yaani fertlised eggs, wale Chotara ni wazuri kwa nyama na sio kwa mayai ni hasara tupu kuwafuga kwa ajili ya mayai ya kula kwanza mayai yake ni makubwa makubwa huwezi waambia watu haya ni mayai ya kuku wa kienyeji.

Kwa ajili ya nyama Chotara ni wazuri kwa ajili ya Nyama, ila sasa ila pia nako kuna changamoyo ya soko, Bei ya sh 20, 000/ hadi 25, 000/ ni bei nzuri sana ila hii bei ni kama una muuzia mtu anaye enda kuchinja ale na familia yake, hakuna mtu anaye enda kuuza atakaye nunua jogoo sh 20, 000/ wale hununua sh 9000 hadi 10, 000/ na wale huchukua mzigo mkubwa sana wanaweza chukua hata kuku 50 ila walaji wanao toa pesa nzuri hununua mmoja mmoja.


Hivyo ni Bora kupiga hesabu za vyema za Muda, gharama na Faida kuangalia ufuge Kuku wa mayai au kienyeji? Chotara au Brouler?

NB:Ukifuga eti kuku wa kienyeji Mabandani unawafungia unawaletea chakula ni zaidi ya hasara na ni zaidi ya kupoteza muda
Ni ukweli mtupu, tulishafuga hao Chotara na kienyeji, wanakula sana na chakula chao ni cha gharama kubwa ilihali wanachukua muda mrefu kufikia kuwauza

Ukiangalia cost ya kuwatunza na profit unayopata utagundua ni hasara tupu

Labda uwafuge kwaajili ya chakula yaani mayai na nyama ya kula Nyumbani.
 
Kama una ishi miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Moshi na kadhalika basi wekeza kwenye kufuga kuku wa Kisasa wa Mayai na kuku wa Nyama yaani Broiler.

Mijini hakuna anaye uliza hilo ni la nini na pia mijini demand ya mayai ni kubwa sana kwenye matumizi ya kawaida na viwandani pia.

Kiwanda cha mikate na keki kweli wanaweza hangaika kutafuta mayai sijui ya akienyeji? Na kiwandani wanatukia trei na trei za mayai.

Waoko Keki walio jazani mijini wana muda wa kutafuta sijui mayai ya kienyeji? Jibu ni hapana.

Mahoteli ya Kitalii wana huo muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Kwanza Wazungu hawatumii mayai ya Kuku wa Kienyeji wale wanajua fika ni kwa nini.

Wakaanga Chips ambao ni wengi balaaa kila kona wana muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Na wakaanda Chips ndo watumiaji wakuu wa mayai kwa mijini ukiwato Viwanda na Hoteli za kitalii.

Mayai ya Kienyeji yana demanda vijijini huko kwenye centre za miji midogo midogo sana huko ndo wanaulizana aina ya yai na sababu hata consumption yao ya mayai iko chini sana.

Mijini kuhangaika eti kufuga kukuku wa kienyeji uuze mayai ni hasara tupu, kubwa sana na kupoteza muda mwingi san, Walaji wa Mayai ya Kienyeji mijni ni family level na comercial.

Hata kufuga kuku wa kienyeji uuze nyama jogooo still ni hasara tupu na wastage of time unless uwafuge na usiwe na time nao yaani wasiwe ndo unawatolea macho pale walishe Familia na pia kama una shamba kubwa na wanaishi wenyenyewe huko wakila panzi.

Zile Fuso zinazo leta kuku wa Kienyeji kutoka Mikoani hasa Singida na Dodoma kumbuka wale kuku wamekusanywa kutoka kwa wafugaji sawa na idadi ya wale kuku yaani kama Fuso imebeba lets say kuku 6000 basi hao kuku 6000 wametoka kwa wafugaji 5800 au hata 6000 kabisa. Huwa wanazunguka minadani kukudanya kuku mmoja mmoja kutoka kwa wafugaji mmoja mmoja.

Pia Vijijini wale kuku si kwamba ndo wanawatolea macho hapana wale kuku wanajitafutia tu na mfugaji ana mambo mengine anafanya hasa kilimo na hivyo huwa ana kamata mmoja mmoja na kwenda kuuza mnadani au siku ya soko.

Hao kuku wa Chotara sijui SASSO au KUROILER wale usije jidanganya kuwafuga kwa ajili ya mayai, utalia nao, unless kwa ajili ya mayai ya kuangulisha yaani fertlised eggs, wale Chotara ni wazuri kwa nyama na sio kwa mayai ni hasara tupu kuwafuga kwa ajili ya mayai ya kula kwanza mayai yake ni makubwa makubwa huwezi waambia watu haya ni mayai ya kuku wa kienyeji.

Kwa ajili ya nyama Chotara ni wazuri kwa ajili ya Nyama, ila sasa ila pia nako kuna changamoyo ya soko, Bei ya sh 20, 000/ hadi 25, 000/ ni bei nzuri sana ila hii bei ni kama una muuzia mtu anaye enda kuchinja ale na familia yake, hakuna mtu anaye enda kuuza atakaye nunua jogoo sh 20, 000/ wale hununua sh 9000 hadi 10, 000/ na wale huchukua mzigo mkubwa sana wanaweza chukua hata kuku 50 ila walaji wanao toa pesa nzuri hununua mmoja mmoja.


Hivyo ni Bora kupiga hesabu za vyema za Muda, gharama na Faida kuangalia ufuge Kuku wa mayai au kienyeji? Chotara au Brouler?

NB:Ukifuga eti kuku wa kienyeji Mabandani unawafungia unawaletea chakula ni zaidi ya hasara na ni zaidi ya kupoteza muda
Hapo kwenye kuku kutoka sijui Singida umedanganya na hauna ujuacho.Igunga pekee inatoa zaidi ya kuku 10000 wa kienyeji kila wiki kupitia minada ifuatayo:
J3 ni mnada wa Iborogero,J5 ni mnada wa Nsimbo,Alhamis ni mnada wa Ndala,Ijumaa ni mnada wa Kinga na Jmos ni mnada wa Igunga mjini.
Narudia tena,idadi hiyo ni kwa wiki tu.
 
Hapo kwenye kuku kutoka sijui Singida umedanganya na hauna ujuacho.Igunga pekee inatoa zaidi ya kuku 10000 wa kienyeji kila wiki kupitia minada ifuatayo:
J3 ni mnada wa Iborogero,J5 ni mnada wa Nsimbo,Alhamis ni mnada wa Ndala,Ijumaa ni mnada wa Kinga na Jmos ni mnada wa Igunga mjini.
Narudia tena,idadi hiyo ni kwa wiki tu.
Umeeleza post au umeanza ba comment kwanza then utarudi kusoma baadae? Point yangu umenielewa?

Kwenye hio minada hai kuku 10, 000 ni wa mfugaji mmoja? Rudi soma upya utaelewa
 
Umeeleza post au umeanza ba comment kwanza then utarudi kusoma baadae? Point yangu umenielewa?

Kwenye hio minada hai kuku 10, 000 ni wa mfugaji mmoja? Rudi soma upya utaelewa
Nimeeleza kulingana na ulichosema kuwa kufuga kuku wa kienyeji ni hasara na ukaonesha uchache wa upatikaniji wake.Sasa nikuambie usichokijua ni wewe kutoa mtazamo wako wa mazingira jumlishi ili hali haujafika sehemu nyingine.
Mimi nipo Igunga na ninafuga kuku wa kienyeji.Nina wastani wa kutoa kuku 100 hadi 150 kwa mwezi.Sasa nawezaje kukubali hicho ulicho kiongea juu ya kuku wa kienyeji?.
 
Nimeeleza kulingana na ulichosema kuwa kufuga kuku wa kienyeji ni hasara na ukaonesha uchache wa upatikaniji wake.Sasa nikuambie usichokijua ni wewe kutoa mtazamo wako wa mazingira jumlishi ili hali haujafika sehemu nyingine.
Mimi nipo Igunga na ninafuga kuku wa kienyeji.Nina wastani wa kutoa kuku 100 hadi 150 kwa mwezi.Sasa nawezaje kukubali hicho ulicho kiongea juu ya kuku wa kienyeji?.
Mkuu 'KING KIGODA', mi naona ni kukosa kuelewana tu kati yako na mleta mada.

Ukisoma mada yake kwa makini utaelewa kuwa kaweka ushahidi kabisa wa anayoyazungumzia. Ukitaka, piga hesabu kabisa, utaona hasara inayotokana na ufugaji wa hao chotara na kuwategemea kuwa chanzo cha pato.

Wewe, kama ni mfugaji wa hao kuku, na unadai unao uwezo wa kuuza kuku 100 hadi 150 kwa wiki. Itapendeza sana nawe ukiweka ushahidi kama alivyoweka yeye, yaani, katika kuwahudumia hao kuku, hadi uwauze, hivi ni kweli kwamba unapata faida?
Hili ndilo swali linalotaka ushahidi

Kwa wafugaji wadogowadogo kifamilia, wenye uwezo wa kuuza kuku mmoja, wawili au hata watano kwa wiki, hawa hawana habari ya faida wala hasara, kwa vile, kwanza hata gharama za ufugaji hawana habari nazo, na kuku wenyewe hawahitaji kulishwa kama wanaofugwa kwa kuuza kwa faida.

Weka hesabu zako hapa, tuone unavyomudu biashara yako hiyo na kuifanya iwe endelevu.

Ukifanya hivyo sote tutaelewa na tutanyamaza, au tutakuunga mkono na kukupongeza kwa njia zako hizo.

Nikwambie ukweli mtupu: kama njia zako umeweza kufuga kuku hao na kuingiza faida, basi jipange vizuri kuwa mfugaji wa mfano/kuigwa, siyo Tanzania pekee, bali Africa kote, na pengine duniani kote.
 
Kama una ishi miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Moshi na kadhalika basi wekeza kwenye kufuga kuku wa Kisasa wa Mayai na kuku wa Nyama yaani Broiler.

Mijini hakuna anaye uliza hilo ni la nini na pia mijini demand ya mayai ni kubwa sana kwenye matumizi ya kawaida na viwandani pia.

Kiwanda cha mikate na keki kweli wanaweza hangaika kutafuta mayai sijui ya akienyeji? Na kiwandani wanatukia trei na trei za mayai.

Waoko Keki walio jazani mijini wana muda wa kutafuta sijui mayai ya kienyeji? Jibu ni hapana.

Mahoteli ya Kitalii wana huo muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Kwanza Wazungu hawatumii mayai ya Kuku wa Kienyeji wale wanajua fika ni kwa nini.

Wakaanga Chips ambao ni wengi balaaa kila kona wana muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Na wakaanda Chips ndo watumiaji wakuu wa mayai kwa mijini ukiwato Viwanda na Hoteli za kitalii.

Mayai ya Kienyeji yana demanda vijijini huko kwenye centre za miji midogo midogo sana huko ndo wanaulizana aina ya yai na sababu hata consumption yao ya mayai iko chini sana.

Mijini kuhangaika eti kufuga kukuku wa kienyeji uuze mayai ni hasara tupu, kubwa sana na kupoteza muda mwingi san, Walaji wa Mayai ya Kienyeji mijni ni family level na comercial.

Hata kufuga kuku wa kienyeji uuze nyama jogooo still ni hasara tupu na wastage of time unless uwafuge na usiwe na time nao yaani wasiwe ndo unawatolea macho pale walishe Familia na pia kama una shamba kubwa na wanaishi wenyenyewe huko wakila panzi.

Zile Fuso zinazo leta kuku wa Kienyeji kutoka Mikoani hasa Singida na Dodoma kumbuka wale kuku wamekusanywa kutoka kwa wafugaji sawa na idadi ya wale kuku yaani kama Fuso imebeba lets say kuku 6000 basi hao kuku 6000 wametoka kwa wafugaji 5800 au hata 6000 kabisa. Huwa wanazunguka minadani kukudanya kuku mmoja mmoja kutoka kwa wafugaji mmoja mmoja.

Pia Vijijini wale kuku si kwamba ndo wanawatolea macho hapana wale kuku wanajitafutia tu na mfugaji ana mambo mengine anafanya hasa kilimo na hivyo huwa ana kamata mmoja mmoja na kwenda kuuza mnadani au siku ya soko.

Hao kuku wa Chotara sijui SASSO au KUROILER wale usije jidanganya kuwafuga kwa ajili ya mayai, utalia nao, unless kwa ajili ya mayai ya kuangulisha yaani fertlised eggs, wale Chotara ni wazuri kwa nyama na sio kwa mayai ni hasara tupu kuwafuga kwa ajili ya mayai ya kula kwanza mayai yake ni makubwa makubwa huwezi waambia watu haya ni mayai ya kuku wa kienyeji.

Kwa ajili ya nyama Chotara ni wazuri kwa ajili ya Nyama, ila sasa ila pia nako kuna changamoyo ya soko, Bei ya sh 20, 000/ hadi 25, 000/ ni bei nzuri sana ila hii bei ni kama una muuzia mtu anaye enda kuchinja ale na familia yake, hakuna mtu anaye enda kuuza atakaye nunua jogoo sh 20, 000/ wale hununua sh 9000 hadi 10, 000/ na wale huchukua mzigo mkubwa sana wanaweza chukua hata kuku 50 ila walaji wanao toa pesa nzuri hununua mmoja mmoja.


Hivyo ni Bora kupiga hesabu za vyema za Muda, gharama na Faida kuangalia ufuge Kuku wa mayai au kienyeji? Chotara au Brouler?

NB:Ukifuga eti kuku wa kienyeji Mabandani unawafungia unawaletea chakula ni zaidi ya hasara na ni zaidi ya kupoteza muda
Mkuu 'KING KIGODA', mi naona ni kukosa kuelewana tu kati yako na mleta mada.

Ukisoma mada yake kwa makini utaelewa kuwa kaweka ushahidi kabisa wa anayoyazungumzia. Ukitaka, piga hesabu kabisa, utaona hasara inayotokana na ufugaji wa hao chotara na kuwategemea kuwa chanzo cha pato.

Wewe, kama ni mfugaji wa hao kuku, na unadai unao uwezo wa kuuza kuku 100 hadi 150 kwa wiki. Itapendeza sana nawe ukiweka ushahidi kama alivyoweka yeye, yaani, katika kuwahudumia hao kuku, hadi uwauze, hivi ni kweli kwamba unapata faida?
Hili ndilo swali linalotaka ushahidi

Kwa wafugaji wadogowadogo kifamilia, wenye uwezo wa kuuza kuku mmoja, wawili au hata watano kwa wiki, hawa hawana habari ya faida wala hasara, kwa vile, kwanza hata gharama za ufugaji hawana habari nazo, na kuku wenyewe hawahitaji kulishwa kama wanaofugwa kwa kuuza kwa faida.

Weka hesabu zako hapa, tuone unavyomudu biashara yako hiyo na kuifanya iwe endelevu.

Ukifanya hivyo sote tutaelewa na tutanyamaza, au tutakuunga mkono na kukupongeza kwa njia zako hizo.

Nikwambie ukweli mtupu: kama njia zako umeweza kufuga kuku hao na kuingiza faida, basi jipange vizuri kuwa mfugaji wa mfano/kuigwa, siyo Tanzania pekee, bali Africa kote, na pengine duniani kote.
Ila pia kuna angalizo katika andiko la chacha,chacha amebase ktk ufugaji wa mjini,ufugaji unaoutolea macho kama chanzo pekee cha mapato kwa mjini.
Ndugu wa igunga yeye si mfugaji wa mjini,hivyo moja kwa moja anakuwa nje ya andiko la chacha maana wengi wa wafugaji wasio mijini wana access nyingi za kuwatunza ndege hawa mfano mtu anaweza Kuwa na mradi wa kunenepesha ngombe ambao unakuwa huko pembezoni huyu Kama ni mbunifu anaweza pia akawa na ufugaji wa kuku zaidi ya wale wanaofugwa majumbani kule ingawa kwa kuweza kutoa zaidi ya kuku 100 kwa week nadhani ni mtihani kidgo na si kwamba haiwezekani.
 
Ila pia kuna angalizo katika andiko la chacha,chacha amebase ktk ufugaji wa mjini,ufugaji unaoutolea macho kama chanzo pekee cha mapato kwa mjini.
Ndugu wa igunga yeye si mfugaji wa mjini,hivyo moja kwa moja anakuwa nje ya andiko la chacha maana wengi wa wafugaji wasio mijini wana access nyingi za kuwatunza ndege hawa mfano mtu anaweza Kuwa na mradi wa kunenepesha ngombe ambao unakuwa huko pembezoni huyu Kama ni mbunifu anaweza pia akawa na ufugaji wa kuku zaidi ya wale wanaofugwa majumbani kule ingawa kwa kuweza kutoa zaidi ya kuku 100 kwa week nadhani ni mtihani kidgo na si kwamba haiwezekani.
Haya mambo tunayazungumzia hapa kwa maneno tu kinadharia, kumbe ni rahisi kabisa kuonyesha uhalisia wa ukweli kwa njia rahisi kabisa kwa kutumia maneno machache na hesabu rahisi kabisa kuonyesha ukweli ulipo.

Kutoa kuku 100 kila wiki, kwa hao chotara na kupata faida iwe mjini au vijijini nakataa katakata. Hesabu hazikubali.

Huyo kuku huko kijijini huwezi kumuuza akiwa chini ya wiki 13, kutokana na chakula unachomlisha. Ukitegemea ajilishe kwa kutafuta wadudu na matakataka, hata uwe na eneo kubwa kiasi gani ni lazima umwongezee mlo uliotengenezwa/changanywa, ambao gharama yake ni kubwa na kukuondolea hiyo faida unayotegemea kuipata.
Ukimlisha pumba, usitegemee awe tayari kwa soko katika muda huo.
 
Haya mambo tunayazungumzia hapa kwa maneno tu kinadharia, kumbe ni rahisi kabisa kuonyesha uhalisia wa ukweli kwa njia rahisi kabisa kwa kutumia maneno machache na hesabu rahisi kabisa kuonyesha ukweli ulipo.

Kutoa kuku 100 kila wiki, kwa hao chotara na kupata faida iwe mjini au vijijini nakataa katakata. Hesabu hazikubali.

Huyo kuku huko kijijini huwezi kumuuza akiwa chini ya wiki 13, kutokana na chakula unachomlisha. Ukitegemea ajilishe kwa kutafuta wadudu na matakataka, hata uwe na eneo kubwa kiasi gani ni lazima umwongezee mlo uliotengenezwa/changanywa, ambao gharama yake ni kubwa na kukuondolea hiyo faida unayotegemea kuipata.
Ukimlisha pumba, usitegemee awe tayari kwa soko katika muda huo.
Ushauri wako upi sasa ?
Tuache kufuga au tufanyeje
Au tufugeje...
Je bata,kware,njiwa,kanga wasemaje hapo hawana soko?
 
Tuache kufuga au tufanyejeUshauri wako upi sasa ?
Au tufugeje...
Je bata,kware,njiwa,kanga
hapo hawana soko?
LOooo, mkuu 'Munari', unanipa mzigo mzito sana wa kutoa ushauri jinsi ya kufuga na kupata faida na hao kuku wanaoitwa 'chotara'.

Hilo halikuwa lengo langu, mimi nilikuwa najibu hoja iliyopo hapa, kwamba kuna jamaa anauza kuku 100 kila wiki kwa faida, kwa kuwafuga kienyeji, jambo ambalo si kweli.

Ndiyo, inawezekana kabisa kufuga na kuuza kuku 100 kila wiki kwa faida, lakini siyo kwenye soko hili tulilonalo hapa nchini.
Gharama za ufugaji ni kubwa sana, hasa kwenye upande wa chakula kinachowezesha kazi hiyo ifanyike kwa faida au hasara.

Mbona watu wanafuga kuku wa mayai na nyama, mkuu 'Munari', na wanapata faida. Mimi sijasema watu waache kufuga, ila unapoingia kwenye ufugaji, hata wa hao wa mayai na nyama, ni vyema uwe umejiandaa vizuri kuifanya hiyo kazi, na ufahamu vyema uwepo wa soko.
Usikimbilie tu kufuga kwa kusikia tu watu wakisema wanafuga.
 
LOooo, mkuu 'Munari', unanipa mzigo mzito sana wa kutoa ushauri jinsi ya kufuga na kupata faida na hao kuku wanaoitwa 'chotara'.

Hilo halikuwa lengo langu, mimi nilikuwa najibu hoja iliyopo hapa, kwamba kuna jamaa anauza kuku 100 kila wiki kwa faida, kwa kuwafuga kienyeji, jambo ambalo si kweli.

Ndiyo, inawezekana kabisa kufuga na kuuza kuku 100 kila wiki kwa faida, lakini siyo kwenye soko hili tulilonalo hapa nchini.
Gharama za ufugaji ni kubwa sana, hasa kwenye upande wa chakula kinachowezesha kazi hiyo ifanyike kwa faida au hasara.

Mbona watu wanafuga kuku wa mayai na nyama, mkuu 'Munari', na wanapata faida. Mimi sijasema watu waache kufuga, ila unapoingia kwenye ufugaji, hata wa hao wa mayai na nyama, ni vyema uwe umejiandaa vizuri kuifanya hiyo kazi, na ufahamu vyema uwepo wa soko.
Usikimbilie tu kufuga kwa kusikia tu watu wakisema wanafuga.
Tatizo lenu mnawafuga kwa gharama mno mimi huwa nawapa stater tu ule mwezi 1 halafu miezi miwili nawapa mabaki ya msosi na wanakuwa fresh na sokoni wanauzika na faida ni ya kutosha tu mbona

Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lenu mnawafuga kwa gharama mno mimi huwa nawapa stater tu ule mwezi 1 halafu miezi miwili nawapa mabaki ya msosi na wanakuwa fresh na sokoni wanauzika na faida ni ya kutosha tu mbona

Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
Dah!

WaTanzania bhwanaah, hatuna jambo tunalowekea umakini. Ni kama kila kitu ni mzaha mzaha tu!

Bandiko lako hapa limenifanya nicheke kwa jinsi ulivyorahisisha ufugaji wa hawa kuku.

Ni wazi kabisa wewe siyo mfugaji. Kuwa na vikuku viwili , tano au hata mia tano siyo ufugaji huo wa kuingiza faida. Siyo ufugaji wa kibiashara unaozungumziwa kwenye mada hii.

Nikwambie wazi kabisa, ulivyoandika hapa, wewe siyo mfugaji. Hata gharama zako za ufugaji, huzijui.

Kwa hiyo usipotoshe watu tu kudhani kwamba ufugaji ni kazi rahisi.
 
Kama una ishi miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Moshi na kadhalika basi wekeza kwenye kufuga kuku wa Kisasa wa Mayai na kuku wa Nyama yaani Broiler.

Mijini hakuna anaye uliza hilo ni la nini na pia mijini demand ya mayai ni kubwa sana kwenye matumizi ya kawaida na viwandani pia.

Kiwanda cha mikate na keki kweli wanaweza hangaika kutafuta mayai sijui ya akienyeji? Na kiwandani wanatukia trei na trei za mayai.

Waoko Keki walio jazani mijini wana muda wa kutafuta sijui mayai ya kienyeji? Jibu ni hapana.

Mahoteli ya Kitalii wana huo muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Kwanza Wazungu hawatumii mayai ya Kuku wa Kienyeji wale wanajua fika ni kwa nini.

Wakaanga Chips ambao ni wengi balaaa kila kona wana muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Na wakaanda Chips ndo watumiaji wakuu wa mayai kwa mijini ukiwato Viwanda na Hoteli za kitalii.

Mayai ya Kienyeji yana demanda vijijini huko kwenye centre za miji midogo midogo sana huko ndo wanaulizana aina ya yai na sababu hata consumption yao ya mayai iko chini sana.

Mijini kuhangaika eti kufuga kukuku wa kienyeji uuze mayai ni hasara tupu, kubwa sana na kupoteza muda mwingi san, Walaji wa Mayai ya Kienyeji mijni ni family level na comercial.

Hata kufuga kuku wa kienyeji uuze nyama jogooo still ni hasara tupu na wastage of time unless uwafuge na usiwe na time nao yaani wasiwe ndo unawatolea macho pale walishe Familia na pia kama una shamba kubwa na wanaishi wenyenyewe huko wakila panzi.

Zile Fuso zinazo leta kuku wa Kienyeji kutoka Mikoani hasa Singida na Dodoma kumbuka wale kuku wamekusanywa kutoka kwa wafugaji sawa na idadi ya wale kuku yaani kama Fuso imebeba lets say kuku 6000 basi hao kuku 6000 wametoka kwa wafugaji 5800 au hata 6000 kabisa. Huwa wanazunguka minadani kukudanya kuku mmoja mmoja kutoka kwa wafugaji mmoja mmoja.

Pia Vijijini wale kuku si kwamba ndo wanawatolea macho hapana wale kuku wanajitafutia tu na mfugaji ana mambo mengine anafanya hasa kilimo na hivyo huwa ana kamata mmoja mmoja na kwenda kuuza mnadani au siku ya soko.

Hao kuku wa Chotara sijui SASSO au KUROILER wale usije jidanganya kuwafuga kwa ajili ya mayai, utalia nao, unless kwa ajili ya mayai ya kuangulisha yaani fertlised eggs, wale Chotara ni wazuri kwa nyama na sio kwa mayai ni hasara tupu kuwafuga kwa ajili ya mayai ya kula kwanza mayai yake ni makubwa makubwa huwezi waambia watu haya ni mayai ya kuku wa kienyeji.

Kwa ajili ya nyama Chotara ni wazuri kwa ajili ya Nyama, ila sasa ila pia nako kuna changamoyo ya soko, Bei ya sh 20, 000/ hadi 25, 000/ ni bei nzuri sana ila hii bei ni kama una muuzia mtu anaye enda kuchinja ale na familia yake, hakuna mtu anaye enda kuuza atakaye nunua jogoo sh 20, 000/ wale hununua sh 9000 hadi 10, 000/ na wale huchukua mzigo mkubwa sana wanaweza chukua hata kuku 50 ila walaji wanao toa pesa nzuri hununua mmoja mmoja.


Hivyo ni Bora kupiga hesabu za vyema za Muda, gharama na Faida kuangalia ufuge Kuku wa mayai au kienyeji? Chotara au Brouler?

NB:Ukifuga eti kuku wa kienyeji Mabandani unawafungia unawaletea chakula ni zaidi ya hasara na ni zaidi ya kupoteza muda
Umechelewa sana kujua hili. Fuga kuku wa mayai au nyama. Hawa broiler ni watamu sana, ila bahati mbaya watu hawawafugi hadi wakakomaa..Wengi wanauza kwa wiki 4, badala ya 8 zinazopendekezwa.

Na hii inachangiwa na kuku kuuzwa kama kuku na siyo kwa kilo. Nadhani ifike wakati sasa kuku wauzwe kwa kilo ili flwafugaji wawalishe vizuri.
 
Dah!

WaTanzania bhwanaah, hatuna jambo tunalowekea umakini. Ni kama kila kitu ni mzaha mzaha tu!

Bandiko lako hapa limenifanya nicheke kwa jinsi ulivyorahisisha ufugaji wa hawa kuku.

Ni wazi kabisa wewe siyo mfugaji. Kuwa na vikuku viwili , tano au hata mia tano siyo ufugaji huo wa kuingiza faida. Siyo ufugaji wa kibiashara unaozungumziwa kwenye mada hii.

Nikwambie wazi kabisa, ulivyoandika hapa, wewe siyo mfugaji. Hata gharama zako za ufugaji, huzijui.

Kwa hiyo usipotoshe watu tu kudhani kwamba ufugaji ni kazi rahisi.
Hakuna ufugaji mkubwa wa kuku chotara acha uchizi

Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom