Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,103
- 37,630
Daah. Huyo jamaa ana dhambi sana. Boss wako nae ana uwezo mdogo wa kuchambua mambo! Michaichai ukiikuta sokoni ama barabarani, siku zote muuzaji ikimdodea, jioni anaitupa. Hawezi kurudi nayo nyumbani. Sa hapo kuna soko gani?Kuna jinga limemuingiza mjini boss wangu eti alime michai chai soko lake ni noma duniani.Bossi wangu kalima heka kumi kwa sasa jamaa halionekani boss wangu kawa mwehu kila siku na majani ya michai chai kwenye gari lake tunapewa ofisini na siku hizi tumembadili jina tunamuita BOSS MICHAI CHAI