Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

mimi nilifuga sana miaka ya 90 hapa hapa Dsm lakini nilikuwa nawauzia sana watu wa makundi ya sanaa kama kibisa kwa ajili ya kulisha chatu wao.
 
Mkuu unawazo zuri sna coz nimejaribu kusoma katika net kenya wenzetu wanazalisha sungura weng 2 na wanafam za kutsha
 
Ebwna leo nmejarb kuchek kwnye ggle kuna brid ya sungura yenye mpaka 5kg ebna na m naomba nishrkishe ilo shav
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mkuu huyu anaeuliza kama sungura analiwa simwelewi? Kuhusu kufuga nahitaji couse nilisha fuga,nipotayari kuwasiliana na wewe,hii ni anwani yangu,chakihenry@gmail.com,pooa mkuu
<br />
<br />
aisee wakuu mimi mwenyewe ni mfugaji mzuri sana sema niliacha coz of shule i am willing to get back nimependa hiyo idea ya kuanzisha umoja wa kuhamasisha ulaji wa sungura sounds nice soko kamalipo tuambiane basi ili tujue kama business italipa
 
mwalwisi

jana nimetembelea sehemu moja inaitwa oceanic resort ipo eneo la mbweni, nimekuta wanauza nyama ya sungra, inakaangwa, bei ni sh. 30,000 kwa sungura mzima na sh. 15,000 kwa nusu sungura

nadhani huu unaweza kuwa mwanzo mzuri wa hili soko la sungura
 
sikujua kama kuna hii thread. Sungura nimewafuga sana nikiwa shule ya msingi na hawana gharama ktk ufugaji, wanakula kidogo sana baadhi ya majani na mabaki ya mbogamboga za majani/nyanya. Tatizo lao kubwa ni uharibu wa ardhi iwapo utawafuga sehemu isiyo na floor yenye cement kali c'se huwa wanachimba umbali mrefu sana kwenda ardhini na usipo angalia wanaweza wakaangusha nyumba.

Nimekuwa nikifikiria sana kuwafuga kwa wingi ili niwauze hao sungura choma bar/hotel au kwenye mabanda ya chips. Thanx LAT kwa taarifa za bei c'se sijawahi kuona sungura akiuzwa hotelini
 
Mimi nlipokuwa nawafuga katika umri wangu mkubwa, watoto wadogo walianza kunicheka wakidai eti sungura wanafugwa na wao madogo. Sasa kitendo cha kuchekwa na madogo kilinikera nikaamua kuwachinja wote. sitawafuga tena kwani umri wangu ni sawa na wa mchezaji anayekwenda kumalizia kiwango chake cha soka Arabuni au Marekani
 
Soko la sungura lipo kubwa sana, shida ni kumaintain soko kwani watu wengi hufuga sungura kati ya 5 hadi 30, kwa mfano hivi majuzi hoteli moja hapa ilihitaji kilo 500kg za nyama ya sungura kila wiki na walikuwa tayari kuingia mkataba wa mwaka mzima. Hakuna mtu hata mmoja aliyejaribu, sasa jamaa wanaagiza toka China na Ujerumani

Mzee Jabulani usisikilize kelele za watoto endelea nao hivyo hivyo hivi karibuni watajifunza kuwa sio watoto pekee wanaoweza kuwa wafugaji wazuri wa sungura
 
jmeni soko la sungula lipo kubwa sana shida ni kumaintain soko kwani watu wengi hufuga sungura kati ya 5 hadi 30, kwa mfano hivi majuzi hoteli moja hapa ilihitaji kilo 500kg za nyama ya sungula kila week na walikuwa tayali kuingia mkataba wa mwaka mzima. hakuna mtu hata mmoja aliyejaribu sasa jamaa waangiza toka china nd german

na Mzee Jabulani usisikilize kelele za watoto endelea nao hivyo hivyo hivi karibuni watajifunza kuwa sio watoto pekee wanaoweza kuwa wafugaji wazuri wa sungura

Unaweza kutaja hiyo Hotel ili wengine tukaonje nyama ya Sungura?
 
Wakuu Malila na Ngamba, heshima kwenu wakuu! nadhani taarifa ya kuwa kuna Hoteli wanahitaji supply ya nyama ya sungura ni njema na inahitaji kupewa uzito wa aina yake. Kama ipo Hoteli moja, basi huenda zikawepo kadhaa zenye uhitaji huo ila wenyewe wanaumia kimyakimya.

Jaribu kufikiria, umetoka "out" na Mamaa. Halafu huyu Mhudumu Mrembo, nadhifu, sauti ya Malaika, anakuuliza "Sir, would you like Sungura Stew for starters, Sir, Madam?" Mzee, hapo vipi?

Hii huenda ikawa fursa nyingine ya kuchangamkia kabla Wake...hawajavamia. Soko likivamiwa na hao washikaji ni ngumu kuwatoa huwa wanang'ang'ania kama ruba!

Siku chache zilizopita kuna Mdau katangaza hapa jamvini kutafuta mtu wa ku-supply kuku 30 kwa wiki (kama sikosei) lakini cha kushangaza hadi siku kadhaa baada ya tangazo hakuna mdau yeyote aliyejitokeza angalau hata kufukuzia fursa hiyo.

Nadhani kuna haja ya kufuatilia fursa hii na kupeana taarifa. Binafsi nina ziara ya mbugani Serengeti hivi karibuni. Nitaulizia hilo pamoja fursa nyingine.
 
ndugu wanajamii forum, sungura wanapatikana maeneo ya kiloka morogoro:mawasiliano simu n0. 0756081802.
 
Wapendwa,
Rafiki yangu anamradi wa ufugaji wa Sungura pande za Pwani na na wanaendelea vizuri ila naona sasa tatizoni soko.

Hivi karibuni nilikuwa Kenya, ambako nilifanya utafiti wa zao hilo na kuona kuwa linafanya vizuri sana sokoni....Nimejaribu kuulizia kama mtu anaweza kuwa safirisha kwenda kuwauza kule ila.Inaleta shida kwa sababu za kiafya kuzuia wanyama hai kutoka eneo moja kwenda lingine.

Naomba mwenye Idea ya namna ya kupata soko zuri na la uhakika anijulishe

Kumbuka sungura wapokwenye kundi moja na Kuku, samaki (WHITE MEET) ambayo ndio inachati za juu kwa sasa.Baada ya red meet kuonekana kuwa na madhara mengi na kushauriwa watu waipunguze.
 
If there is no a market for your product, create a need...fanya watu wahitaji nyama ya sungura. BTW rafiki yako anao wangapi?? anafugia wapi na anauwezo wa kuuza wangapi kwa siku na bei yake ni sh ngapi?? Ninaweza kusaidia kupatikana kwa soko ila quantity ikwe kubwa na kuna vigezo vya uzito na quality anatakiwa avikidhi, all the best.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom