JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,186
Natafuta vifaranga vya sato. Ni wapi naweza kupata kwa mwanza?Nauza kambale kg 6000 nina pic elifu 10 napatikana mwanza kwa Mawasiliano 0769752665
Ukijibiwa niambie.namimi nahitajiWapebdwa habari. Ni wapi ninaweza kupata liner za kuweka kwenye bwawa la samaki.
Mkuu naomba mawasiliano ya wauzaji wa liner zile nylon za bwawaniKwanza kwa wadau wote wa huu uzi waliotamani field tour wanisamehe kwa sasa nimekwama kidogo ,nimekutana na changamoto ya upatikanaji wa maji na ardhi inanyonya maji sana.
Tumetumia pesa nyingi sana(karibia 30m)so far na bado project iko utotoni kabisa.Na mara ya kwanza i never thought this project was huge(mabwawa 6 ya square meter 400 kila moja).
So im looking for partners now wa kusonga nao mbele zaidi sababu hapo nahitaji either liner au kujengea kwa cement which are both equally expensive.Na pia kuchimba maji(sio changamoto sana)
Lakini unaweza kutumia nylon za kawaida(Sisi wa Itabagumba Sengerema tunaita kavelo)ila uwe makini na zile pindo inapopita uzi na overlap za hizo nylon zisipitishe maji na zinakaa for at least 2 years, wakati zile zenyewe special zinakaa kama miaka 10 hivi ila zina bei balaa,Balton Tanzania wanazo.
Habari naomba mawasuliano ya wanapouza liner zile nylon za bwawaniasante sana miaka 2 ni tosha kwa kuanzia project ikikua nitatumia hizo za balton. Kkoo nilikuta 12x4m ni 150,000 nitajitaidi kuleta feedback nikifanikiwa
Tupigie cmu no 0759678821 au 0625939789
- Fahamu aina za mbolea za kurutubisha mabwawa na jinsi ya uwekaji mbolea
- Na kwa wale wanaotaka kufuga samaki na kuku kwa wakati mmoja pia tunatoa huduma hiyo kama vile kujua idadi ya kuku .
- Fahamu namna ya uchimbaji wa mabwawa katika maeneo mbalimbali.
- Vile vile tunandika mpango kazi (business plan ) ya kukuwezesha kufahamu faida ya ufugaji samaki utaipata vpi