Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

Hiyo heading yako!!! nilidhani wewe ndio una maelezo ya jinsi gani sisi tunaweza tajirika na ufugaji nyuki- kumbe ni kinyume chake!!!!

Haya bana mafanikio mema
 
Kwa wote wanaohitaji makundi ya nyuki (bee nucs) hapa Tanzania,Tutaanza kuuza makundi kuanzia juni 18 Mwaka huu.Wote wanaohitaji wa ni PM mapema.Uwezo wetu tunazalisha makundi ya nyuki 200 kwa mwezi,ifikapo mwakani tutakuwa na uwezo wa kuzalisha makundi 1000 kwa mwezi.

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]WHAT IS A NUC?[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif] A Nuc (sounds like nuk), is a nuclear hive. It is four or five frames from a working hive including a queen,100 bee workers and few drones
[/FONT]
wafugaji wa nyuki na wale wanaotaka kuanza ufugaji wa nyuki tuwasiliane
 
Kwa wote wanaohitaji makundi ya nyuki (bee nucs) hapa Tanzania,Tutaanza kuuza makundi kuanzia juni 18 Mwaka huu.Wote wanaohitaji wa ni PM mapema.Uwezo wetu tunazalisha makundi ya nyuki 200 kwa mwezi,ifikapo mwakani tutakuwa na uwezo wa kuzalisha makundi 1000 kwa mwezi.

WHAT IS A NUC?
A Nuc (sounds like nuk), is a nuclear hive. It is four or five frames from a working hive including a queen,100 bee workers and few drones

wafugaji wa nyuki na wale wanaotaka kuanza ufugaji wa nyuki tuwasiliane

Yanafaa kutumika kama mabomu kwa kupiga kwenye Mikutano ya CCM??
Kama yanafaa tuongee bei!!
 
He! he he! -- sipati picha jamaa atakapokuwa anashambulia mikutano ya CCM na nyuki wake!

Sina haja ya kushambulia physically mkuu.
Nitabana mahali na kuwaachia tu. Wakiona zile green zao watadhani ni majani hivyo watawafuata na kuanza kufanya kazi yao
 
Tanzania bado tuna opportunities nyingi sana ila vijana wengi wanafikiria kuajiriwa tu.Ufugaji wa nyuki ni mradi mzuri sana serikali inatakiwa iwahamasishe na kuwapa mafunzo wananchi hasa vijana waingie katika ufugaji wa kisasa wa nyuki.Mapato ya nyuki ni makubwa mno mzinga mmoja wa nyuki kwa ufugaji wa kisasa unakupatia lita 40 na lita moja inauzwa shilingi elfu kumi.
 
Habari ya wakati huu wana jukwaa napenda kutumia maneno haya machache kuweza kuomba yeyote aliye na ujuzi wa namna bora ya ufugaji wa nyuki wenye tija aweze kunisaidia,
Nataguliza shukrani zangu za dhati kwenu wana jukwaa!
 
Kwanza nakupongeza kabisa umechagua wazo jema sana litakutoa mapema.mi ni mfuga nyuki mzoefu,ufuga nyuki unahitaji uvifahamu vitu kadhaa ambavyo ni muhimu kuzingatia tangu kuvuna hadi kufungasha asali.ni maelezo marefu unayotakiwa kupata ili uzalishe asali bora.nakushauri kama uko-serious tembelea kampuni mmoja ya ufugaji nyuki iko wilaya ya Chamwino inaitwa RUBI BEE KEEPING.hii ni kampuni kubwa sana ya ufugaji nyuki wao wanatoa mafunzo bure pia wana masoko ya nje watakuunganisha nayo.meneja wao ni mtu mwelewa sana namba yake ni 0753287306
 
Nimevutiwa na ufugaji wa nyuki yaani uvunaji wa Asali, nimesikia ni ujasiriamali mzuri ambao unaweza kumtoa mtu kimaisha. Anayefahamu ufugaji wa nyuki naomba anisaidie nipate kufahamu huu ufugaji kiundani, ikiwezekana gharama na mchanganuo wa ufugaji wake.

1. Naomba ufafanuzi nasikia kuna asali nzito na nyepesi, pia asali ya nyuki wadogo na asali ya nyuki wakubwa. Kuna Asali ya aina gani na ipi?

2. Je, ufugaji wa nyuki una msimu? Miezi ipi basi ni mizuri kwa Ufugaji wa Nyuki?

3. Asali nzuri inayopendwa sana ni ya mkoa gani?

4. Utengenezaji wa mizinga unakuwaje, ukubwa wa mizinga au dimensions ipi ni kikomo au ipi ni safi? gharama za kutengeneza mzinga ni ipi?

5. Utoaji wa asali unakuwaje lita ngapi kwa dimension ipi ya mzinga?

6. Mahitaji muhimu kwa ufugaji wa nyuki / kinachovuta nyuki ni kipi?

7. Asali inaiva inakomaa baada ya muda gani?

8. Soko la Asali kwa bei ya jumla lipo wapi hapa dar?

9. Je soko la nje la asali lipo wapi sana? Usafirishaji wa Asali nje ya nchi unakuwaje?

10. Changamoto na mengineyo ni yapi?

Asanteni
 
mkuu uwa tuna paka nta na sio Propolis.
siku hizi ufugaji mzuri ni wa kutumia bee house.mimi nnafuga kwa aina hii, una haja ya kupanda miti special hili nyuki watengeneze asali,Nyuki usafiri hadi 10 km kutafuta malighafi ya kutengeneza asali.Sisi tunazalisha makundi yetu wenyewe na kuyawekwa kwenye mizinga.Ishu ya kusubiria mpaka nyuki waingie wenyewe mzingani ni ya mwaka 1947. beehouse1.jpg Apiculture2.jpg langstrobthHiveIllus.gif


Kazi nyingine ya propolis ni kuvutia nyuki ili waingie ktk mzinga mpya,yaani ukishapata mzinga mpya,nenda shambani kwako, fungua ndani ya mzinga kisha paka ktk kuta za mzinga hiyo propolis yako,funika na uondoke. Usifanyie nyumbani kwako,kwa sababu unaweza ukasahau kupeleka shamba na nyuki wakaingia mchana, watoto wako au wa jirani wakachezea. Balaa lake si dogo.
 
see attached
 

Attachments

  • w-plan1.gif
    w-plan1.gif
    11.3 KB · Views: 258
  • 10frlang.pdf
    23 KB · Views: 147

Similar Discussions

Back
Top Bottom