Bob Kawari
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 1,231
- 1,609
Samadi tu inatosha na matokeo yanakua mazuri hizo za kiwandani achana nazo zisikuumize kichwa.Tatizo langu ni hiyo mbolea
Samadi tu inatosha na matokeo yanakua mazuri hizo za kiwandani achana nazo zisikuumize kichwa.Tatizo langu ni hiyo mbolea
Ahsante Mkuu!Samadi tu inatosha na matokeo yanakua mazuri hizo za kiwandani achana nazo zisikuumize kichwa...
pamoja
Yap kwa kuku inaongeza utagaji. They(experts) say soHii Azola inalishwa mifugo yote?
Arumeru wapi Kikatiti?Inategemea upo wapi mfano huku Arumeru mnadani ijumaa unaweza pata kuanzia 55 hadi 80 itategemea na mbuzi ukubwa na hali ya mnada ilivyo.
Wazo lako zuri sana ila inabidi ucheze sana na muda.
Asante mkuu mi nipo DsmInategemea upo wapi mfano huku Arumeru mnadani ijumaa unaweza pata kuanzia 55 hadi 80 itategemea na mbuzi ukubwa na hali ya mnada ilivyo.
Wazo lako zuri sana ila inabidi ucheze sana na muda.
Arumeru wapi Kikatiti?
Asante mkuu mi nipo Dsm
Dsm hautafaidi, maana naona kama dsm pamebanana sana na risk ni nyingi.Asante mkuu mi nipo Dsm
Unataka kiasi gani?Habar zenu, jaman naomben mnisaidie nahitaji kuanza kufuga mbuzi wa kienyej na baadae kuwauza nipen idea , naweza kupata wa sh ngap ngap?
Wamefika wangapiMm nimeanza kufuga mbuzi mwaka jana naona maendeleo mazuri nitaanza kuuza wakifika 100
mimi natafuta ranch kubwa hizo za selikali, nataka kufuga ng'ombe wa maziwa na nyama si chini ya mia tano kwa kuanzia. kama kuna mtu anayeweza kunisaidia namna ya kuzipata anipigie pande hapa. kwahabari ya pesa, si zaidi ya $1 million. asanteni.