Wale weupe midomo ya njano ni aina gani?Vifaranga vya bata aina ya mallard, jumbo perkin, khak Campbell blue Swedish na Ruen vinapatikana CHANIKA KWA SINGA
Bei tsh 10000 kwa mmoja
Umri kuanzia 3 days mpk 7 days
Call 0746696878
View attachment 1866454
Hao ni perkinWale weupe midomo ya njano ni aina gani?
kama soko la kuwauza kwa pamoja likiwepoMkuu hata hawa bata wa kienyeji imagine ukafuga ukawa nao kama 200, huo ni mradi tosha.
Na ndio maana kuna sehemu ktk hili chapisho nimeandika unaweza jikuta umeamka tajiri kupitia ufugaji. Mfano bata wa kienyeji wanauzwa 20,000x200= 4,000,000 pesa kama hiyo haitoshi kuanza biashara ingine?
Soko lake gumu piaMkuu hata hawa bata wa kienyeji imagine ukafuga ukawa nao kama 200, huo ni mradi tosha.
Na ndio maana kuna sehemu ktk hili chapisho nimeandika unaweza jikuta umeamka tajiri kupitia ufugaji. Mfano bata wa kienyeji wanauzwa 20,000x200= 4,000,000 pesa kama hiyo haitoshi kuanza biashara ingine?
vipi bado wapo?Bukini wawili wakubwa wa kike @ 120,000#... Wapo moshi , kiboriloni, Tanzania......karibuni
Mkuu pair ya black Swedish na mallard sh ngapi wakiwa wadogo?Mwny uhitaji wa black Swedish , mallard na Muscovy
Call 0746696878
Wapo chanika kwa singa
View attachment 1879074
View attachment 1879075
Ina tegemea na umri huo ila sasa nina mallard wa wiki 2 na siku tano pair 30000Mkuu pair ya black Swedish na mallard sh ngapi wakiwa wadogo?
Na hao black Swedish mkuu? Hawa wiki mbili wanaweza survive safari mpaka Musoma?Ina tegemea na umri huo ila sasa nina mallard wa wiki 2 na siku tano pair 30000
Wameisha labda utoe namba nikuunganishe na mtuvipi bado wapo?
Hapo sina experiences labda uchukue wa kubwa bossNa hao black Swedish mkuu? Hawa wiki mbili wanaweza survive safari mpaka Musoma?
Wakubwa bei inakuaje boss?Hapo sina experiences labda uchukue wa kubwa boss
Wakubwa pair 120000, mmoja 60000Wakubwa bei inakuaje boss?
Wapo wengi utapataNahitaji bata bukin weupe jike na dume ambao hawajaanza kutaga
Natanguliza shukran
0762036898 nipo dar