wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,128
Naomba nijibu kwa kadiri ya ujuzi wangu, Bata wote wanapenda maji, Bata wakikosa maji na wakaweza kujua yanapo patikana watakuwa ukiwafungulia wanaruka kuyafwata kwahiyo unajiweka ktk hatari ya kupoteza mifugo kila mara.
Kushu migomba Bata huaharibu migomba, kwanza ile michanga huwa wanaiwahi kiharibu kwakuwa ni michanga, pili ile mikubwa huwa wanaiharibu kwa kuchimba kwenye shina pale panaunyevu unyevu na baadhi ya wadudu.
Bata furaha yake kubwa ipo kwenye kucheza na maji kwamfano Bukini wakishamaliza kula huwa wanapenda kuogelea na maji yakichafuka watapiga kelele wakiwa pembeni ya bwawa mpaka uya badili, Pekini,indian runer,sweedih, na hawa wakawaida pindi tu wanapo kuwa wameshiba vyema hupenda kuoga hasa kipindi cha mchana na ni njia ya kujipooza na joto.
Kuhusu utagaji kwakweli Bukuni nichangamoto sana maana utagaji wao ni apole pole sana na nikwamsimu, pekini waohutaga vyema lakini ni aghalabu kulalia. Nimezungumzia uzoefu wangu nakubali kukosolewa pale nilipo kosea.
Kushu migomba Bata huaharibu migomba, kwanza ile michanga huwa wanaiwahi kiharibu kwakuwa ni michanga, pili ile mikubwa huwa wanaiharibu kwa kuchimba kwenye shina pale panaunyevu unyevu na baadhi ya wadudu.
Bata furaha yake kubwa ipo kwenye kucheza na maji kwamfano Bukini wakishamaliza kula huwa wanapenda kuogelea na maji yakichafuka watapiga kelele wakiwa pembeni ya bwawa mpaka uya badili, Pekini,indian runer,sweedih, na hawa wakawaida pindi tu wanapo kuwa wameshiba vyema hupenda kuoga hasa kipindi cha mchana na ni njia ya kujipooza na joto.
Kuhusu utagaji kwakweli Bukuni nichangamoto sana maana utagaji wao ni apole pole sana na nikwamsimu, pekini waohutaga vyema lakini ni aghalabu kulalia. Nimezungumzia uzoefu wangu nakubali kukosolewa pale nilipo kosea.