babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 471
- 333
- Thread starter
- #21
Iko haja ya wadau kukaa kwa pamoja na kuja na mapendekezo ya namna gani vibali viweze kuoatikana kwa gharama nafuu na kwa urahisi.Serikali ya kipuuzi sana hii, gharama zote hizo kwenye vibali za nini? Vijana watajikomboaje kwa mfumo huu?