Ufugaii Nguruwe vs ufugaji Kuku

Ok,
Kwanza ipo tofauti kiuwekezaji kwenye fugo hizi mbili,kuku itakutaka pesa kidogo kuwekeza ili walau upate kipato lakini nguruwe itakutaka uwekeze pesa nyingi ili walau uone faida.

Mfano kinda mmoja wa Nguruwe wakienyeji anaanzia 50000 na pure breed wanauza kinda kuanzia 200,000.

Ukilinganisha kifaranga wa kuku chotara anauzwa 1400,wamayai 2500,broiler anarange 1000-1500.
Hivyo tutakubaliana kwamba kwenye kuku panahitaji kiwango kidogo cha pesa cha uwekezaji ukilinganisha na nguruwe.

Kama utaanza na nguruwe wachache itakuhitaji muda mrefu kuanza kuona faida ya ufugaji.
Chukua mfano wa mimi nina wastani wa matetea 200 wa chotara ambao ninapata 400000-500000 faida kwa mwezi kwa kuuza mayai.

Nimeanza kufaga nguruwe sasa ni kama mwezi hivi hivyo bado sina maarifa yakukupatia kwakua bado ni mchanga,hata hivyo wanaenda vizuri,nguruwe nilioanza nao ni local breed ambao Mungu akipenda nitahamia kwenye pure breed ili nipate matokeo zaidi.
All in all kufuga ni kuzuri.
 
Ok,
Kwanza ipo tofauti kiuwekezaji kwenye fugo hizi mbili,kuku itakutaka pesa kidogo kuwekeza ili walau upate kipato lakini nguruwe itakutaka uwekeze pesa nyingi ili walau uone faida.
Mfano kinda mmoja wa Nguruwe wakienyeji anaanzia 50000 na pure breed wanauza kinda kuanzia 200,000.
Ukilinganisha kifaranga wa kuku chotara anauzwa 1400,wamayai 2500,broiler anarange 1000-1500.
Hivyo tutakubaliana kwamba kwenye kuku panahitaji kiwango kidogo cha pesa cha uwekezaji ukilinganisha na nguruwe.
Kama utaanza na nguruwe wachache itakuhitaji muda mrefu kuanza kuona faida ya ufugaji.
Chukua mfano wa mimi nina wastani wa matetea 200 wa chotara ambao ninapata 400000-500000 faida kwa mwezi kwa kuuza mayai.
Nimeanza kufaga nguruwe sasa ni kama mwezi hivi hivyo bado sina maarifa yakukupatia kwakua bado ni mchanga,hata hivyo wanaenda vizuri,nguruwe nilioanza nao ni local breed ambao Mungu akipenda nitahamia kwenye pure breed ili nipate matokeo zaidi.
All in all kufuga ni kuzuri.
Mkuu nielekeze huko wanakouza pure breeds kwa laki 2 nikanunue.
 
Ok,
Kwanza ipo tofauti kiuwekezaji kwenye fugo hizi mbili,kuku itakutaka pesa kidogo kuwekeza ili walau upate kipato lakini nguruwe itakutaka uwekeze pesa nyingi ili walau uone faida.
Mfano kinda mmoja wa Nguruwe wakienyeji anaanzia 50000 na pure breed wanauza kinda kuanzia 200,000.
Ukilinganisha kifaranga wa kuku chotara anauzwa 1400,wamayai 2500,broiler anarange 1000-1500.
Hivyo tutakubaliana kwamba kwenye kuku panahitaji kiwango kidogo cha pesa cha uwekezaji ukilinganisha na nguruwe.
Kama utaanza na nguruwe wachache itakuhitaji muda mrefu kuanza kuona faida ya ufugaji.
Chukua mfano wa mimi nina wastani wa matetea 200 wa chotara ambao ninapata 400000-500000 faida kwa mwezi kwa kuuza mayai.
Nimeanza kufaga nguruwe sasa ni kama mwezi hivi hivyo bado sina maarifa yakukupatia kwakua bado ni mchanga,hata hivyo wanaenda vizuri,nguruwe nilioanza nao ni local breed ambao Mungu akipenda nitahamia kwenye pure breed ili nipate matokeo zaidi.
All in all kufuga ni kuzuri.
Umefafanua vyema ila bei ya pig let pure breed bei imesimama kwakweli, na kwa ufugaji naamini wote mwanzo unatumia pesa bila ya kurudi pale ulipoitoa, mpaka baada ya muda fulani ndio faida utaanza kuiona pindi matokeo yatakapo anza kutokea.

Ufugaji kwakweli unahitaji uvumilivu sana nimeshawahi kukaa na Bata Bukini miaka 2 hawaja taga mpaka nikatamani kuwachinja ghafla wakaanza kutaga na kutotoa bila ya shida, kwakweli ni changamoto sana na inahitajika uvumilivu sana na kuweka macho karibu ya mifugo yako sana.
 
Ok,
Kwanza ipo tofauti kiuwekezaji kwenye fugo hizi mbili,kuku itakutaka pesa kidogo kuwekeza ili walau upate kipato lakini nguruwe itakutaka uwekeze pesa nyingi ili walau uone faida.
Mfano kinda mmoja wa Nguruwe wakienyeji anaanzia 50000 na pure breed wanauza kinda kuanzia 200,000.
Ukilinganisha kifaranga wa kuku chotara anauzwa 1400,wamayai 2500,broiler anarange 1000-1500.
Hivyo tutakubaliana kwamba kwenye kuku panahitaji kiwango kidogo cha pesa cha uwekezaji ukilinganisha na nguruwe.
Kama utaanza na nguruwe wachache itakuhitaji muda mrefu kuanza kuona faida ya ufugaji.
Chukua mfano wa mimi nina wastani wa matetea 200 wa chotara ambao ninapata 400000-500000 faida kwa mwezi kwa kuuza mayai.
Nimeanza kufaga nguruwe sasa ni kama mwezi hivi hivyo bado sina maarifa yakukupatia kwakua bado ni mchanga,hata hivyo wanaenda vizuri,nguruwe nilioanza nao ni local breed ambao Mungu akipenda nitahamia kwenye pure breed ili nipate matokeo zaidi.
All in all kufuga ni kuzuri.
Maelezo mazuri sana.
Ninafuga nguruwe pia, nimefuga hawa crossed(sio locals sio pure)

Nahitaji kujifunza, unahisi nikitaka kufuga hizi pure breeds nikilenga wapi hasa patanilipa.

Kuwa breeder au kwaajili ya nyama, ukizingatia bei ya pure breed pamoja na gharama ya kuwatunza ili niweze kufikia matunda yao vyema kabisa..
 
Maelezo mazuri sana.
Ninafuga nguruwe pia, nimefuga hawa crossed(sio locals sio pure)

Nahitaji kujifunza, unahisi nikitaka kufuga hizi pure breeds nikilenga wapi hasa patanilipa.

Kuwa breeder au kwaajili ya nyama, ukizingatia bei ya pure breed pamoja na gharama ya kuwatunza ili niweze kufikia matunda yao vyema kabisa..
Sory nimechelewa kukujibu,
Mara zote mbegu inalipa kuliko kuuza bidhaa kwa matumizi mengine,
Chukua mfano wa mahindi ambayo sokoni kwa sasa 1kg=600 lakini 1kg ya mbegu ya mahindi yanafika mpaka zaidi ya 7000 hivyo ni wazi kwamba kuwa breeder kunalipa zaidi.

Pia kinda wa nguruwe local wa miezi 2-3 ni around 50,000 lakini kinda wa durock(mbegu) wa umri huo anafika mpaka 1,000,000.
Hata hivyo kuwa breeder kunahitaji kujipanga sana kimtaji hivyo unaweza kuanza taratibu huku ukijiwekea malengo naamini hakuna linaloshindikana kama utajibidiisha.
 
Ok,
Kwanza ipo tofauti kiuwekezaji kwenye fugo hizi mbili,kuku itakutaka pesa kidogo kuwekeza ili walau upate kipato lakini nguruwe itakutaka uwekeze pesa nyingi ili walau uone faida.

Mfano kinda mmoja wa Nguruwe wakienyeji anaanzia 50000 na pure breed wanauza kinda kuanzia 200,000.

Ukilinganisha kifaranga wa kuku chotara anauzwa 1400,wamayai 2500,broiler anarange 1000-1500.
Hivyo tutakubaliana kwamba kwenye kuku panahitaji kiwango kidogo cha pesa cha uwekezaji ukilinganisha na nguruwe.

Kama utaanza na nguruwe wachache itakuhitaji muda mrefu kuanza kuona faida ya ufugaji.
Chukua mfano wa mimi nina wastani wa matetea 200 wa chotara ambao ninapata 400000-500000 faida kwa mwezi kwa kuuza mayai.

Nimeanza kufaga nguruwe sasa ni kama mwezi hivi hivyo bado sina maarifa yakukupatia kwakua bado ni mchanga,hata hivyo wanaenda vizuri,nguruwe nilioanza nao ni local breed ambao Mungu akipenda nitahamia kwenye pure breed ili nipate matokeo zaidi.
All in all kufuga ni kuzuri.
Habari Ndugu hapo kwenye matetea 200 wa chotara unaweza kutoa muongozi wa gharama za ulishaji tangu wakiwa vifaranga na walivyofikia hatua ya kuanza kutaga chakula ilikugharimu kiasi gani kwa kila mwezi na ni chakula gani unawapatia kile cha kiwandani au pumba za mahindi.
 
Habari Ndugu hapo kwenye matetea 200 wa chotara unaweza kutoa muongozi wa gharama za ulishaji tangu wakiwa vifaranga na walivyofikia hatua ya kuanza kutaga chakula ilikugharimu kiasi gani kwa kila mwezi na ni chakula gani unawapatia kile cha kiwandani au pumba za mahindi.
Vifaranga lazima wapatiwe starter walau kwa mwezi mmoja,na kwa kila vifaranga 100 chotara watakuhitaji 50kg ya starter kwa mwezi,na baada ya mwezi kuisha sasa unatakiwa kianza kuwachanganyia mwenyewe ili kuokoa gharama.
Ni vizuri kuku wa kienyeji/chotara wakafugiwa shambani kwani utawaachia nje hivyo gharama za chakula zitapungua
 
Nguruwe inalipa zaidi.Kuku wana magonjwa mengi mno!
Mimi kwa upande wangu naamini zaidi kwenye usimamizi ktk mradi wote, haijalishi ni mfugo gani unafuga, ukiweka macho,juhudi,uangalizi makini,vyakula, USAFI WA MABANDA,chanjo kamili kwa kufwata mtiririko naamini utafikia lengo, hapa nimezungumzia uzoefu nilioupata kwa baadhi ya mifugo niliyokwisha ifuga,Kuku,Mbwa,Mbuzi,Bata.
 
Sory nimechelewa kukujibu,
Mara zote mbegu inalipa kuliko kuuza bidhaa kwa matumizi mengine,
Chukua mfano wa mahindi ambayo sokoni kwa sasa 1kg=600 lakini 1kg ya mbegu ya mahindi yanafika mpaka zaidi ya 7000 hivyo ni wazi kwamba kuwa breeder kunalipa zaidi.

Pia kinda wa nguruwe local wa miezi 2-3 ni around 50,000 lakini kinda wa durock(mbegu) wa umri huo anafika mpaka 1,000,000.
Hata hivyo kuwa breeder kunahitaji kujipanga sana kimtaji hivyo unaweza kuanza taratibu huku ukijiwekea malengo naamini hakuna linaloshindikana kama utajibidiisha.
Hivi hizo mbegu duni mnazitoa Wapi. Miezi 2-3 huyo ni nguruwe anafaa kuliwa. Bei ya 5O ni nguruwe was wiki 2 au 3
 
Nguruwe ana faida kuliko kuku.

Lets say uanza na nguruwe watano local wa 50,000 total 250,000
Mimi nianze na kuku mia wa mayai 250,000

Wewe baada ya miezi mitatu unaweza kuwauza kwa 250,000 kila mmoja ikaja 1,250,000 faida~laki8

Mimi baada ya huo Muda siwezi kutengeneza faida hiyo hata siku moja.

Gharama za kulisha kuku ni kubwa kuliko nguruwe(nguruwe anakula kila kitu)

wafugaji wengi wa kuku huwa hawajui ila wakiona wameuza mayai wanahesabu ji faida bila kuangalia gharama waliyotumia kulisha kuku..Ukija kupiga gharama ya chakula kwa siku na chanjo na dawa inaweza kukaribia gharama ya mayai,inakuwa kama hela umeitunza tu haiongezeki...Mayai yanashuka sana bei unakuta wachina wameleta mayai wanauza moja 200(wao wanaviwanda vina kuku zaidi ya laki)Hii inaumiza sana wanaofuga kuku wachache..Kwahyo kufuga kuku 100 ni sawa na kuweka hela benki tu lakini nguruwe watano wataleta faida.

Sasa ili upate faida ya kuridhisha kwa kuku uwe nao wengi labda 3000,5000 hapo ndo utaona faida nzuri lakini hutamfikia aliewekeza kiasi hichohicho kwa nguruwe

Tena itokee nguruwe iuzwe nyama kwa kilo kiti ambacho wa kuku hawezi kufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom