Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu akina mama wengine hucheza deal bega kwa bega na mabinti zao si ajabu jamaa alishakuwa na data za kutosha kuhusu nyendo za Ufoo labda na bi mkubwa nae akafumbia macho si unajua tena mambo ya mjini kama mama nae anatembezewa mafao na kidumu cha mwanae anakausha tu si bure kuna jambo hapo maamuzi mazito sana jamaa kafanya. Yaweza kuwa fundisho kwa mama wengine tutajua tu.Maskini ! Haya mapenzi haya!! Sasa mana yake anahusika vipi kwenye hili saga?
Mwandishi wa ITV Ufoo Saro amejeruhiwa na Mama yake kuuawa kwa risasi
Mkuu tulia ueleweke. Sababu ni nini?. pole sana ufoo. Mia
Kisa ni nini?Kwa taarifa za uhakika ni kwamba mtu mmoja anaesadikika kuwa mume mtarajiwa wa Ufoo Saro Bw. Mushi amemjeruhi mwandishi huyo wa Itv na mchumba wake kwa kumpiga risasa ya tumboni na kisha kumpiga mama mzazi wa Ufoo Saro na kufariki hapohapo kisha yeye mwenye kujiua.
Source RADIO ONE Breaking news
kama alikula pesa zake,shauri yake na huenda mama yake alishirikishwa pia.
Breaking News
Mtu mmoja anayedaiwa kuwa
ni mume mtarajiwa wa Ufoo
Saro Bw Mushi amempiga
risasi mwandishi wa habari
wa ITV Ufoo Saro na
kumjeruhi tumboni huku
akimuua mama mazazi wa
Ufoo Saro na kisha kujiua
yeye mwenyewe kwa risasi
huko maeneo ya Kibamba.
Chanzo: Radio One
Kisa ni nini?
RIP Mama yake Ufoo Saro.