Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Nimesikia Breaking News ITV.Nimeshtushwa sana kusikia Taarifa hii.It's so Sad
Ufoo Saro Muda huu yupo Hospitali amejeruhiwa kwa Risasi Tumboni na Mguuni.
Mama yake amepigwa Risasi Kifuani na Huyo Mchumba wake amejipiga Risasi kidevuni na kufa papo hapo.Hali ya Ufoo Saro hadi sasa haijulikani ikoje
Jeshi la polisi limetangaza kuwa linachunguza kujua ndugu za huyo mume wake.Inasemekana ni Mfanyakazi wa UN
Tukio limetokea leo alfajiri eneo la Kimara.
Inasikitisha sana, inaonekana ni visa vya kimahusiano.. Dah Jamaa alichukua hatua kali sana bila kufikiria..