Kwa taarifa za uhakika ni kwamba mtu mmoja anaesadikika kuwa mume mtarajiwa wa Ufoo Saro Bw. Mushi amemjeruhi mwandishi huyo wa Itv na mchumba wake kwa kumpiga risasa ya tumboni na kisha kumpiga mama mzazi wa Ufoo Saro na kufariki hapohapo kisha yeye mwenye kujiua.
Source RADIO ONE Breaking news
kama alikula pesa zake,shauri yake na huenda mama yake alishirikishwa pia.
Breaking News from ITV - Kijana Mushi anayeripotiwa kuwa ni mume au mchumba wa Ufuo Saro mtangazaji ITV amempiga risasi ya kifuani mama mkwe wake na kupelekea kifo chake leo alfajiri. Mushi amempiga risasi ya tumbo na mguuni Ufuo ambaya mpaka sasa anaendelea na matibabu. Tukio hili limetokea Kimara.
Mods unganisheni huu uzii...Ni fujo..
Nimesikia Breaking News ITV.Nimeshtushwa sana kusikia Taarifa hii.It's so Sad
Ufoo Saro Muda huu yupo Hospitali amejeruhiwa kwa Risasi Tumboni na Mguuni.
Mama yake amepigwa Risasi Kifuani na Huyo Mchumba wake amejipiga Risasi kidevuni na kufa papo hapo.Hali ya Ufoo Saro hadi sasa haijulikani ikoje
Jeshi la polisi limetangaza kuwa linachunguza kujua ndugu za huyo mume wake.Inasemekana ni Mfanyakazi wa UN
Tukio limetokea leo alfajiri eneo la Kimara.
Nimesikia Breaking News ITV.Nimeshtushwa sana kusikia Taarifa hii.It's so Sad
Ufoo Saro Muda huu yupo Hospitali amejeruhiwa kwa Risasi Tumboni na Mguuni.
Mama yake amepigwa Risasi Kifuani na Huyo Mchumba wake amejipiga Risasi kidevuni na kufa papo hapo.Hali ya Ufoo Saro hadi sasa haijulikani ikoje
Jeshi la polisi limetangaza kuwa linachunguza kujua ndugu za huyo mume wake.Inasemekana ni Mfanyakazi wa UN
Tukio limetokea leo alfajiri eneo la Kimara.
Ni vyema kunyamaza kuliko kuongea pumba
Kwa taarifa za uhakika ni kwamba mtu mmoja anaesadikika kuwa mume mtarajiwa wa Ufoo Saro Bw. Mushi amemjeruhi mwandishi huyo wa Itv na mchumba wake kwa kumpiga risasa ya tumboni na kisha kumpiga mama mzazi wa Ufoo Saro na kufariki hapohapo kisha yeye mwenye kujiua.
Source RADIO ONE Breaking news