Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Je kupiga dili la kupoitisha majina HEWA inaweza kuanguka katika category ya UFISADI?
If so then we have a MASSIVE problem kwani nadhani wizara hii inaongoza kwa wafanyakazi hewa..hili waziri nalijua lakini la ajabu hakuna kinachofanywa
Hii inaudhi sana ukizingatia kuna waalimu wanafanya kazi kwa utiifu lakini wanaangushwa kwa kuambiwa waendelee kusubiri eti 'something is being worked on'
If so then we have a MASSIVE problem kwani nadhani wizara hii inaongoza kwa wafanyakazi hewa..hili waziri nalijua lakini la ajabu hakuna kinachofanywa
Hii inaudhi sana ukizingatia kuna waalimu wanafanya kazi kwa utiifu lakini wanaangushwa kwa kuambiwa waendelee kusubiri eti 'something is being worked on'