Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mali za viongozi wa umma sasa zitakuwa zinarekodiwa na kuhakikiwa kwa mfumo wa kisasa wa elektroniki, tofauti na zamani ambapo ilikuwa ni kujaza fomu na ilikuwa ni ngumu kudhibiti udanganyifu