Katika mwavuli wa uzalendo dili zinapigwa hatari
tu anaiba then anakuambia usieniunga mkono wewe sio mzalendo. wenye akili wanayaona na hawadanganyiki katika hili
yaani mchezo unakuwaje!!!? UNAFANYA JAMBO JEMA, HAPO HAPO UNAIBA(TENA UNAPIGA SANA)
Ndugu zangu sina haja ya kutoa mifano. wenyewe mnaona huko mliko na kama bado jaribu kufuatilia.
hela kibao wanapewa kina mzee kiraracha, leprofezer nk. kuna mchezo mchezo wa siri kwenye chama kilee. hela sasa hivi
zinamwagwa hasa. maamuzi haramu katika matumizi ya
fedha ndio sasa ni zaidi ya EPA, ESCROW NK.
Pinga uone, tutakuita mnafiki na usie mzalendo. Mtakoma!!!
tu anaiba then anakuambia usieniunga mkono wewe sio mzalendo. wenye akili wanayaona na hawadanganyiki katika hili
yaani mchezo unakuwaje!!!? UNAFANYA JAMBO JEMA, HAPO HAPO UNAIBA(TENA UNAPIGA SANA)
Ndugu zangu sina haja ya kutoa mifano. wenyewe mnaona huko mliko na kama bado jaribu kufuatilia.
hela kibao wanapewa kina mzee kiraracha, leprofezer nk. kuna mchezo mchezo wa siri kwenye chama kilee. hela sasa hivi
zinamwagwa hasa. maamuzi haramu katika matumizi ya
fedha ndio sasa ni zaidi ya EPA, ESCROW NK.
Pinga uone, tutakuita mnafiki na usie mzalendo. Mtakoma!!!