Ufisadi wa sasa chimbuko lake ni rushwa ya ngono

Jatropha

JF-Expert Member
Apr 9, 2009
1,151
199
Mambo ya kifisadi yanayoendelea hapa nchini kwa sasa yana chimbuko la muda mrefu sana, kwa wale waliokuwepo zama za Nyerere ilifikia wakati wakubwa katika Chama na Serikali, katika majeshi n.k wanapofanya ziara mikoani na katika vituo mbali mbali vya kazi ulikuwa ni utamaduni wa ofisa mwenyeji kumtayarisha mkubwa husika mwanamke wa kustarehe naye. Ikumbukwe kwamba mabosi wa wakati huo walikuwa hawawezi kabisa kutongoza wenyewe.

Katika utaratribu huu hata wanafunzi walitumika kuwastarehesha viongozi mbali mbali wa chama na serikali. Kushindwa kumuandalia kiongozi mwanamke ilikuwa na maana kwamba haufai kuwa mkuu wa kitengo husika hata kama ulikuwa mtendaji mzuri wa kazi. Matokeo yake taratibu nchi ikaanza kuenea viongozi na watendaji ambao hawapati madaraka kutokana na utendaji bali ni kutokna na ukuadi!!!!!

Matokeo ya rushwa hii ya ngono ni kuwa na kizazi cha viongozi kutoka ngazi ya shina hadi taifa ambao wamepata madaraka kutokana na umahiri wa ukaadi na siuo utendaji. Na hiki ndio chanzo kikuu cha matatizo ya Tanzania ya leo.

Katika Awamu ya tatu ikavuma kuwa mmoja wa viongozi wandamizi mambo ya nje kazi yek kubwa ni kutanguliza vimwana kabla ya safari za mkubwa.

Hiki ndicho chanzo cha ufisadi mkubwa uliotapakaa nchi nzima!!!!
 
Hii kama kweli vile nikikumbuka zanzibar kuna jamaa mmoja alikuwa akizunguka na benzi jeusi kumtafutia bibi muheshimiwa rais wa kwanza zanzibar but I think chanzo hasa cha rushwa ni ubinafsi na kukosekana maadili ya uwajibikaji. Tuwe wawazi jamani mtu akigombea urais au uongozi anasema tu mdomoni but malengo yake hasa ni kujinufaisha yeye na familia yake.
 
Mambo ya kifisadi yanayoendelea hapa nchini kwa sasa yana chimbuko la muda mrefu sana, kwa wale waliokuwepo zama za Nyerere ilifikia wakati wakubwa katika Chama na Serikali, katika majeshi n.k wanapofanya ziara mikoani na katika vituo mbali mbali vya kazi ulikuwa ni utamaduni wa ofisa mwenyeji kumtayarisha mkubwa husika mwanamke wa kustarehe naye. Ikumbukwe kwamba mabosi wa wakati huo walikuwa hawawezi kabisa kutongoza wenyewe.

Katika utaratribu huu hata wanafunzi walitumika kuwastarehesha viongozi mbali mbali wa chama na serikali. Kushindwa kumuandalia kiongozi mwanamke ilikuwa na maana kwamba haufai kuwa mkuu wa kitengo husika hata kama ulikuwa mtendaji mzuri wa kazi. Matokeo yake taratibu nchi ikaanza kuenea viongozi na watendaji ambao hawapati madaraka kutokana na utendaji bali ni kutokna na ukuadi!!!!!

Matokeo ya rushwa hii ya ngono ni kuwa na kizazi cha viongozi kutoka ngazi ya shina hadi taifa ambao wamepata madaraka kutokana na umahiri wa ukaadi na siuo utendaji. Na hiki ndio chanzo kikuu cha matatizo ya Tanzania ya leo.

Katika Awamu ya tatu ikavuma kuwa mmoja wa viongozi wandamizi mambo ya nje kazi yek kubwa ni kutanguliza vimwana kabla ya safari za mkubwa.

Hiki ndicho chanzo cha ufisadi mkubwa uliotapakaa nchi nzima!!!!

Kama upo wa sasa, wa zamani ukoje na chimbuko lake nini?
 
Mambo ya kifisadi yanayoendelea hapa nchini kwa sasa yana chimbuko la muda mrefu sana, kwa wale waliokuwepo zama za Nyerere ilifikia wakati wakubwa katika Chama na Serikali, katika majeshi n.k wanapofanya ziara mikoani na katika vituo mbali mbali vya kazi ulikuwa ni utamaduni wa ofisa mwenyeji kumtayarisha mkubwa husika mwanamke wa kustarehe naye. Ikumbukwe kwamba mabosi wa wakati huo walikuwa hawawezi kabisa kutongoza wenyewe.

Katika utaratribu huu hata wanafunzi walitumika kuwastarehesha viongozi mbali mbali wa chama na serikali. Kushindwa kumuandalia kiongozi mwanamke ilikuwa na maana kwamba haufai kuwa mkuu wa kitengo husika hata kama ulikuwa mtendaji mzuri wa kazi. Matokeo yake taratibu nchi ikaanza kuenea viongozi na watendaji ambao hawapati madaraka kutokana na utendaji bali ni kutokna na ukuadi!!!!!

Matokeo ya rushwa hii ya ngono ni kuwa na kizazi cha viongozi kutoka ngazi ya shina hadi taifa ambao wamepata madaraka kutokana na umahiri wa ukaadi na siuo utendaji. Na hiki ndio chanzo kikuu cha matatizo ya Tanzania ya leo.

Katika Awamu ya tatu ikavuma kuwa mmoja wa viongozi wandamizi mambo ya nje kazi yek kubwa ni kutanguliza vimwana kabla ya safari za mkubwa.

Hiki ndicho chanzo cha ufisadi mkubwa uliotapakaa nchi nzima!!!!

Alikuwa na cheo gani huyu, ofisa, meneja, mkurugenzi, katibu au waziri?
 
Never underestimate the power of stupid people in large groups. Nimeipenda hiyo. Pamoja na ujinga wao, maadamu hao wajinga ni wengi watashinda na werevu watashindwa pamoja na werevu wao.

Tyipical example to the topic underdiscussion ni Chuo cha Ufundi Arusha. A government should have a look at this College. It is terrible for sure! It is full of all kind of UFISADI
 
Back
Top Bottom