SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Na wewe Mbowe ndiye alikutoa usichana wako ndiyo maana huishi kumtaja tajaSource ya habari mi upuuzi mtupu.
Malisa ni mlamba viatu wa Mbowe
Na wewe Mbowe ndiye alikutoa usichana wako ndiyo maana huishi kumtaja tajaSource ya habari mi upuuzi mtupu.
Malisa ni mlamba viatu wa Mbowe
Kufuatia hali hiyo, Kiongozi huyo wa mbio za mwenge kitaifa, ameagiza ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro wafanye uchunguzi, ili kama kuna ubadhirifu watu wote waliohusika wapewe haki yao ya kikatiba.!Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa, Luteni Josephine Mwambashi amekataa kuweka jiwe la msingi kwenye kituo cha afya kilichopo wilayani Hai kwa madai kuwa ujenzi wa kituo hicho umegubikwa na rushwa...
Kama yule dhalim mwendazake.Jana nilipata wasaa wa kupitia mahojiano ya sir buyer pale mawinguni, kitu nilichojifunza ni kuwa, muogope sana mtu anayependa kutaja jina la Mungu kila wakati.
Spana after spana.....aiseeKufuatia hali hiyo, Kiongozi huyo wa mbio za mwenge kitaifa, ameagiza ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro wafanye uchunguzi, ili kama kuna ubadhirifu watu wote waliohusika wapewe haki yao ya kikatiba.!
Uwezo wako binafsi wa kuwashughulikia wapinzani kuwaumiza ikiwemo kumwaga damu zao Ili kuisujudia Sanamu kesho unapata teuziHakika tumechezewa vya kutosha! Wahuni walipewa ofisi kubwa za umma, ila Alham dull llah Mungu amefanya wepesi
Unapendelea nani akupashe huku mnachoma mahindi mkiyapaka chumvi?Source ya habari mi upuuzi mtupu.
Malisa ni mlamba viatu wa Mbowe
Mtazaa hata kwa kupigwa mimba kwenye mzuutiSource ya habari mi upuuzi mtupu.
Malisa ni mlamba viatu wa Mbowe
Umesoma thread au unaropokwa tu?CHADEMA kila mtu amegundua njia za kuomba pesa kupitia mitandao. Wamefika hatua sasa ni ombaomba kamili, yaani wanawapiga picha vilema na kurusha picha mitandaoni.
Acha genye wewe mbuzi, soma taarifaSource ya habari mi upuuzi mtupu.
Malisa ni mlamba viatu wa Mbowe
Hela ziko KisaraweDuh jambazi
Ifike mahali uchoke kutetea Jambazi. Mama SSH so kwamba hana taarifa za kutosha kumpiga hili Jambazi chini. Jihadhari kutetea ujinga.0738-150110 ,Tunakuomba ufike huko Hai, kuangalia huo miradinwa dispensary, uliokataliwa kufunguliwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa Uhuru. Tunaomba majibu ya uchunguzi huo yawe wazi kwa wananchi wote ili wasikatishwe tamaa kuchangia miradi ya maendeleo kwenye maeneo yao.
Kiongozi wake wa mbio za mwenge,ameponda mradi wa huko,sasa yeye elitwege atasema niniMkuu, ni wazi unaonekana umekubali kwamba Sabaya ni tatizo, lakini ni kama vile unapata shida kuweka wazi, tunajua hiyo ni kwa sababu ya mapenzi kwa mwendakuzimu. Lakini umeeleweka.
Nenda jela ukagongwe kama basha wako sabaya alivyofanywaMbowe hatasamehewa na watanzania kwa kitendo chake cha kuangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia amepigwa na wasiojulikana ili kumchafua mwendazake.
Uongo uongo tu
Kama mumeo hakufikishi nipe location nije nikurekebishe fresh.Mbowe hatasamehewa na watanzania kwa kitendo chake cha kuangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia amepigwa na wasiojulikana ili kumchafua mwendazake.
Uongo uongo tu
Sabaya kuwa huru na ku clear kesi zote linaweza kuwa ajabu la tisa la duniaSpana after spana.....aisee
Hapo kwenye "mbiyo" bila shaka ulimaanisha mbioHapo kwenye “mboo”, bila shaka ulimaanisha mbiyo.
Na wewe ni mlamba viatu wa nani kule CCM?Source ya habari mi upuuzi mtupu.
Malisa ni mlamba viatu wa Mbowe
Duh hii kesi ingine na Itakuwa ya kwanza serikali kumshtakiKiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa, Luteni Josephine Mwambashi amekataa kuweka Jiwe la Msingi kwenye Kituo cha Afya kilichopo wilayani Hai kwa madai kuwa ujenzi wa kituo hicho umegubikwa na rushwa. Awali katika hotuba ya ufunguzi ilielezwa kwamba aliyekua mkuu wa wilaya hiyo Lengai Ole Sabaya ndiye aliunda kamati ya kukusanya fedha kutoka kwa wadau mbalimbali ili kufanikisha ujenzi wa kituo hicho.
Sabaya aliviagiza vyama vya ushirika wilayani Hai vichangie jumala ya TZS 600M ambapo katika hatua ya awali viliweza kuchangia TZS 338M na kuahidi kuendelea kuchanga kadri ujenzi unavyoendelea. Wadau wengine wakiwemo wafanyabiashara na wawekezaji walichangia jumla ya TZS 169M.
Sabaya aliunda kamati ya fedha ambayo ilimjumuisha yeye kama Mwenyekiti, mabaunsa wake wawili kama wajumbe, na watu wengine wawili ambao si watumishi wa umma. Kamati hiyo ndiyo iliyohusika na kutoa pesa kwenye akaunti ya ujenzi wa kituo hicho. Hii ni kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka 2011 ambayo inataka pawepo na watumishi wa umma katika kamati hiyo.
Hadi sasa zaidi ya 369M zimeshatumika lakini hakuna maandishi yoyote yanayoonesha fedha zilitokaje bank na zilitumikaje. Pia hakuna nyaraka yoyote inayoonesha "signatories" wa kutoa fedha hizo kati ya wajumbe watano wa kamati hiyo.
Hata vyama vya ushirika ambavyo ni wadau wakubwa katika mradi huo hawakushirikishwa kwenye kamati ya fedha ili kujua fedha zao zimetumikaje. "Waliambiwa wachangie na walipomaliza kuchangia, hawakuhusishwa kwenye kamati iliyoratibu ujenzi, hivyo hawajui fedha walizochangia zimetumikaje" amesema Luteni Mwambashi.
Kufuatia hali hiyo, Kiongozi huyo wa mbio za mwenge kitaifa, ameagiza ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro wafanye uchunguzi, ili kama kuna ubadhirifu watu wote waliohusika wapewe haki yao ya kikatiba.!
Credit: Malisa GJ
My Take
Wafuasi mna kazi kubwa ya kutetea jizi