Huu ni ufisadi pia: Baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar,Balozi Seif Iddi, ameendelea kuwa Mbunge wa Jimbo la Kitope, Zanzibar na sasa amekua akitumia gharama za serikali kwenda na kurudi Zanzibar wakati wa vikao vya Bunge na hakai hata katika sehemu ya mawaziri na wakati mwingine haingii hata bungeni maana ni Makamu wa Rais.
Safari zake kwa siku na mara nyingine anakwenda na kurudi Zanzibar_Dar-Dodoma panapokua na vikao na anakua na msafara wenye timu ya wasaidizi, walinzi na familia na kwa mara moja ndege hukodiwa $18000 to DOM per Trip!!!
Anachotakiwa kufanya sasa ni kujiuzulu nafasi yake haraka ili kupunguza gharama za kodi zetu kwa safari za Dodoma.
Safari zake kwa siku na mara nyingine anakwenda na kurudi Zanzibar_Dar-Dodoma panapokua na vikao na anakua na msafara wenye timu ya wasaidizi, walinzi na familia na kwa mara moja ndege hukodiwa $18000 to DOM per Trip!!!
Anachotakiwa kufanya sasa ni kujiuzulu nafasi yake haraka ili kupunguza gharama za kodi zetu kwa safari za Dodoma.