| ||
|
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
| ||
|
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, jana aliibua madudu mengine ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambapo ilinunua misumari kwa pauni 50,000 badala ya spea.
Muhongo aliongeza kuwa baadhi ya wabunge wakiwamo wale wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wanafanya biashara na TANESCO, ambapo kampuni ya mbunge mmoja ililiuzia shirika hilo mataili mabovu.........
Wanachimba kutoka wapi kama sio kwenye makoloni yao Tanzania ikiwa the leading colonized producer. SHTUKA."Pia alikubaliana na hoja ya msemaji wa kambi ya upinzani, John Mnyika, ya kuitaka serikali kuweka akiba ya dhahabu, akisema jambo hilo ni la msingi na kama kuna mchumi atalikataa itabidi wamtilie shaka.
"Kwa mfano, unaweza kuona wenzetu wa mataifa makubwa walivyojizatiti katika hilo, mathalani Marekani inaongoza kwa kuweka akiba ya tani 8,133.5, ikifuatiwa na Ujerumani 3,396.3, IMF tani 2,811.1, Italia 2,451.8, Ufaransa 2,435.1, China 1,054 wakati Afrika Kusini inashika nafasi ya 29 ikiwa na tani 125," alisema."
jamani nisaidiea hapo kwenye red: kama hivi haya madhahabu ya buzwagi, geita, nyamongo, geita,nk. ni sawa na Tani ngapi? je na hawa jamaa wenye hizo tani za akiba wanazitoa wapi?wanachimba wenyewe au wananunua?
Wanachimba kutoka wapi kama sio kwenye makoloni yao Tanzania ikiwa the leading colonized producer. SHTUKA.