Elections 2010 Ufisadi wa kutisha ikulu - Kikwete atumia bilion 29 kukarabati ikulu

Hatuwezi kuuona ukweli wakati mada imeletwa hapa kisiasa badala ya ki-Hasibu. Kwa Wahasibu au wakaguzi wa hesabu huwezi kumkamata mtu mwizi bila vielelezo na ndio maana tunasema tarakimu pekee haitoshi kusema fedha iliyotumika ni nyingi au ndogo. Nani kasema wote hapa JF ni wanasiasa kila mtu na fani yake.

ha ha ha ... naweka picha ya kipepeo akimtuma mwanaye kununua soda ya fanta. mwanae anamwambia kuwa fanta ni dola laki tano za marekani. kipepeo yeye anatoa tu pesa huku akichekacheka kuwa watoto wa siku hizi wana tabia nzuri sana.
 
uongo ni upi hapa bitimkongwe?

Uongo ni wa huyo Wozoza aliyeweka hiyo picha ya huyo dada na kuunganisha na matumizi ya ikulu, kitu ambacho hana uthibitisho nacho.

Pili, kama walivyotangulia wengine namba ya bilioni 29 tu isiyokuwa na viambatanisho wala cho chote haiwezi kufanyiwa tathmini kwamba ni matumizi mazuri au mabovu.
 
Uongo ni wa huyo Wozoza aliyeweka hiyo picha ya huyo dada na kuunganisha na matumizi ya ikulu, kitu ambacho hana uthibitisho nacho.

Pili, kama walivyotangulia wengine namba ya bilioni 29 tu isiyokuwa na viambatanisho wala cho chote haiwezi kufanyiwa tathmini kwamba ni matumizi mazuri au mabovu.

kwa hiyo wewe unaamini kuwa ikulu yaweza kufanyiwa ukarabati kwa bilioni 29? Hili ni swali nakuuliza wakati nikisubiria mwanzisha mada alete namba za kulinganisha.
 
Kuna gharama sana kuweka maintainance ya mambo kama haya!

DSC09816.JPG

Kwa upande wa Dr Slaa haya tumesema ni mambo binafsi lakini kwa Kikwete ni mambo ya umma. Wanaokosa sera wataendelea kukosa ushindi daima. Katika siasa za Tanzania mambo ya akina Eva hayana mshiko wala kipaumbele. Nipe mfano wa jambo lililowahi kutokea likaathiri uchaguzi kwa tamaduni za Afrika.... hakuna. Dk. Slaa alipotangaza na kukiri kumwacha mke wake wa siku nyingi Rose Kamili ingekuwa Ulaya angekosa kula nyingi za akinamama kwa hapa Tanzania sina jibu lake.
 
Kwa upande wa Dr Slaa haya tumesema ni mambo binafsi lakini kwa Kikwete ni mambo ya umma. Wanaokosa sera wataendelea kukosa ushindi daima. Katika siasa za Tanzania mambo ya akina Eva hayana mshiko wala kipaumbele. Nipe mfano wa jambo lililowahi kutokea likaathiri uchaguzi kwa tamaduni za Afrika.... hakuna. Dk. Slaa alipotangaza na kukiri kumwacha mke wake wa siku nyingi Rose Kamili ingekuwa Ulaya angekosa kula nyingi za akinamama kwa hapa Tanzania sina jibu lake.

wewe umeanza matusi sasa ... kula za akinamama tena?
 
kwa hiyo wewe unaamini kuwa ikulu yaweza kufanyiwa ukarabati kwa bilioni 29? Hili ni swali nakuuliza wakati nikisubiria mwanzisha mada alete namba za kulinganisha.

Kimsingi, IKulu naijua kwa nje tu huko ndani sijawahi kufika hivyo sina budi kuamini ukarabati wa bilioni 29 kwa sababu hata thamani ya Ikulu nzima/yote siijui. Wengi tunaizungumzia thamani ya Ikulu wa mtazamo wa nje kama mimi. ndio maana tunasema hizi ni propaganda za uchaguzi mkuu pasipo viambatisho vya kusaidia maelezo ya mtoa hoja. Ni makosa kudhani kwamba kila mtu ni mwanasiasa aaaaaaaaha wapi kuna wataalamu wa mambo ya fedha hawahitaji bla bla bla
 
Kimsingi, IKulu naijua kwa nje tu huko ndani sijawahi kufika hivyo sina budi kuamini ukarabati wa bilioni 29 kwa sababu hata thamani ya Ikulu nzima/yote siijui. Wengi tunaizungumzia thamani ya Ikulu wa mtazamo wa nje kama mimi. ndio maana tunasema hizi ni propaganda za uchaguzi mkuu pasipo viambatisho vya kusaidia maelezo ya mtoa hoja. Ni makosa kudhani kwamba kila mtu ni mwanasiasa aaaaaaaaha wapi kuna wataalamu wa mambo ya fedha hawahitaji bla bla bla

Kwa hiyo umeanza ubishi wa kitu ambacho hujui?
 
Uongo ni wa huyo Wozoza aliyeweka hiyo picha ya huyo dada na kuunganisha na matumizi ya ikulu, kitu ambacho hana uthibitisho nacho.

Pili, kama walivyotangulia wengine namba ya bilioni 29 tu isiyokuwa na viambatanisho wala cho chote haiwezi kufanyiwa tathmini kwamba ni matumizi mazuri au mabovu.

Nadhani swali hapa si kama matumizi ni sahihi au si sahihi. Mwenye dhamana ya kujenga na kukarabati majengo ya serekali ikiwemo ikulu ni wizara ya ujenzi. Hizi fedha za ukarabati ni mfereji wa ufisadi. Toka Mwinyi aondoke hadi sasa ni miaka 15 hivi, same state house imekarabatiwa kwa jumla ya karibu bilioni 45. Kama ingeamuliwa kuivunja na kuijenga upya ingeligharimu kiasi pungufu na hicho. Ukarabati wa bilioni 29 si mdogo wandugu, lazima tungeona fujo za ujenzi zikiendelea hapo.

Hizo fedha zingetakiwa kusimamiwa na wizara husika, ikulu sio kitengo cha ukarabati, sasa kila kitengo cha serekali kikaamua kujifanyia mambo yake kweli kutakuwa na uwajibikaji? CAG hakutoa hiyo ripoti kama hakuwa na shaka na matumizi-- kwa wale ambao wamefanya audit, hiyo ni moja ya matters to attention ya partner (MAPS) kwa CAG ni kwa kamati ya bunge ya hesabu za serekali

Hata kama matumizi ni sahihi, lakini kweli ni priority? Hizo bilioni zingeweza kuwakomboa watanzania wengi sana kutoka kwenye lindi la umaskini na maradhi, think in that direction guys!!
 
Hata kama matumizi ni sahihi, lakini kweli ni priority? Hizo bilioni zingeweza kuwakomboa watanzania wengi sana kutoka kwenye lindi la umaskini na maradhi, think in that direction guys!!

Mkulu hapa umeniwahi, nilikuwa nasubiri kipepeo akimaliza ligi zake nimuulize kama kulikuwa na umuhimu wowote wa kutumia bilioni 29 kufanya "ukarabati" ikulu ambayo katika miaka ya hivi karibuni mabilioni kibao tu yametumika kuikarabati.
 
Uongo ni wa huyo Wozoza aliyeweka hiyo picha ya huyo dada na kuunganisha na matumizi ya ikulu, kitu ambacho hana uthibitisho nacho.

Pili, kama walivyotangulia wengine namba ya bilioni 29 tu isiyokuwa na viambatanisho wala cho chote haiwezi kufanyiwa tathmini kwamba ni matumizi mazuri au mabovu.

are you sure?
 
Ndo namna ya kuila nchi jamani akale wapi?
Alafu kwa hasira wamempunguzia CAG budget ili apunguze unoko wake
 
ina maana watu hawataki kutuambia huyo hapo kwenye picha ni nani kwa kuwa wanaogopa ban?...basi kama vipi muwe mnatu pm
 
Hivi mnafikiri ule mji unaochipuka kama uyoga pale Chalinze una mfadhili gani?
 
Back
Top Bottom