Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Kuna gharama sana kuweka maintainance ya mambo kama haya!
Mkuu huyu ni nani?
Kuna gharama sana kuweka maintainance ya mambo kama haya!
Mkuu huyu ni nani?
MIMI NAFIKIRI NDIYE EVA WA ARUSHA,analipa lakiniMkuu huyu ni nani?
Watu wazima na akili zenu timamu munatumia muda wenu kusambaza uongo na majungu. Hebu tumieni muda wenu kutubia kwa Mungu kwa uzushi wenu.
Aliyelala USIMWAMSHE.. Ukimwamsha.........................
MIMI NAFIKIRI NDIYE EVA WA ARUSHA,analipa lakini
Huyo eva wa arusha anahusika vipi hapa?
Huyo eva wa arusha anahusika vipi hapa?
.kwa mujibu wa CAG (kupitia kwa mbunge wa moshi mjini Ndesamburo), serikali ya Kikwete imetumia bilioni 29 (nimesema bilioni yenye B) kukarabati ikulu.
Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa bilioni 4+ miaka ya mwisho ya utawala wa Mwinyi, Mkapa alitumia karibu bilioni 10 kuikarabati.
Kikwete katumia bilioni 29 kwenye miaka yake mitano ya kwanza. Hizi bilioni 29 zilinunua nini?
Tusubiri ccm wakanushe kwani kwa kutumia akili ya kawaida tu.................kipindi cha mkapa zilitumika tsh.9bilion kukarabati ilkulu kwa hiyo ilitakiwa japo isubiriwe miaka mingine kama kumi hivi ili kukarabati tena.......ajabu haka kabwana mdogo kanatumia 29bilion....kukarabati nini tena????????
Kweli kuna kiongozi wa nchi hapo????
Kikwete anaombea tu achaguliwe atimize kiu ya kislamu ya kuwaanzishia mahakama ya kadhi ambayo italeta vita.....
hahaaa hiyo niliyo bold ndo imenichekesha sana.....keli na umenena ukweli mtupu
Tusubiri ccm wakanushe kwani kwa kutumia akili ya kawaida tu.................kipindi cha mkapa zilitumika tsh.9bilion kukarabati ilkulu kwa hiyo ilitakiwa japo isubiriwe miaka mingine kama kumi hivi ili kukarabati tena.......ajabu haka kabwana mdogo kanatumia 29bilion....kukarabati nini tena????????
Kweli kuna kiongozi wa nchi hapo????
Kikwete anaombea tu achaguliwe atimize kiu ya kislamu ya kuwaanzishia mahakama ya kadhi ambayo italeta vita.....[/QUOTE]
Duhi, hiyo itakuwa tamu na itamweka mrithi wake kutoka Sisiemuuuuu kwenye hali mbaya zaidi kisiasa, kwani inasemekana agenda ya kuanzisha hiyo mahakama imenyofolewa kinamna kutoka kwenye ilani ya uchaguzi ya 2010. Hapo ndo watu watakapotaka kujua huo uanzishwaji umetoka wapi?
Sidhani kama agenda ya mahakama ya kadhi imenyofolewa kinamna. Nilisikia, kama sio Pius Msekwa basi ni Yusuf Makamba akisema ilani ilisema CCM italitafutia ufumbuzi suala la mahakama ya kadhi sio kwa maana ya kuianzisha kisiasa bali kuzungumza na jumuia ya Waslamu namna ya kulitatua jambo hilo. Na sio waislamu tu bali na watanzania wengine kwa sababu suala hilo linagusa mambo mawili, imani na katiba. kwa upande wa imani ni la Waislamu na upande wa katiba ni ya watanzania wote. Huko uswazini tunasema suala hili linazungumzika tena kwa amani endapo kila mmoja wetu ataepusha jazba.
Hizo BILIONI 29 ni pamoja na yale matumizi ya shughuli za kifamilia tulizokuwa tunazifanyia WAITI-HAUSI na kumbuka familia yote iko WAITI -HAUSI unategemea nn hapo mkuu :mad2::mad2: halafu bado watu watapanga foleni kuipigia kura CCM
Haya ni majungu na hayatatufikisha hitimisho sahihi ya mada yetu. Kama haijaelezwa fedha hiyo imetumikaje basi ni vigumu kujadili mada inayokosa viambatisho muhimu vinavyoweza kutusadia kujua kama matumizi hayo ni sahihi au la. kwa kuangalia tarakimu 29 bilioni tu hatutakuwa tofauti na wasemavyo, bila utafiti hauna haki ya kuzungumza kwa kuwa unaweza kuipotosha jamii.
Mathalan, chukulia kwamba wote hapa tuna nyumba, mwingine anaweza kuwa amejenga kwa sh. milioni 20, milioni 30, milioni 50, milioni 80 na kuendelea. Kupata ukweli ni kwa nini nyumba hizo zimejengwa kwa gharama tofauti lakini zote ni nyumba inahitaji maelezo ya ziada.
Endelea kufumba macho ili usiuone ukweli!
NAOMBA FAHAMISHWA...KUNA BINTI/MAMA ANATOKEA KWENYE PICHA NYINGI NI NANI HUYU......WOZOZA POST NAMBA 13 PIA KAMUWEKA nataka jua ili niijuvye akili yangu