Elections 2010 Ufisadi wa kutisha ikulu - Kikwete atumia bilion 29 kukarabati ikulu

Solomon David

JF-Expert Member
Mar 1, 2009
1,148
16
kwa mujibu wa CAG (kupitia kwa mbunge wa moshi mjini Ndesamburo), serikali ya Kikwete imetumia bilioni 29 (nimesema bilioni yenye B) kukarabati ikulu.

Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa bilioni 4+ miaka ya mwisho ya utawala wa Mwinyi, Mkapa alitumia karibu bilioni 10 kuikarabati.

Kikwete katumia bilioni 29 kwenye miaka yake mitano ya kwanza. Hizi bilioni 29 zilinunua nini?
 
Tusubiri ccm wakanushe kwani kwa kutumia akili ya kawaida tu.................kipindi cha mkapa zilitumika tsh.9bilion kukarabati ilkulu kwa hiyo ilitakiwa japo isubiriwe miaka mingine kama kumi hivi ili kukarabati tena.......ajabu haka kabwana mdogo kanatumia 29bilion....kukarabati nini tena????????
Kweli kuna kiongozi wa nchi hapo????
Kikwete anaombea tu achaguliwe atimize kiu ya kislamu ya kuwaanzishia mahakama ya kadhi ambayo italeta vita.....
 
Tusubiri ccm wakanushe kwani kwa kutumia akili ya kawaida tu.................kipindi cha mkapa zilitumika tsh.9bilion kukarabati ilkulu kwa hiyo ilitakiwa japo isubiriwe miaka mingine kama kumi hivi ili kukarabati tena.......ajabu haka kabwana mdogo kanatumia 29bilion....kukarabati nini tena????????
Kweli kuna kiongozi wa nchi hapo????
Kikwete anaombea tu achaguliwe atimize kiu ya kislamu ya kuwaanzishia mahakama ya kadhi ambayo italeta vita.....

hahaaa hiyo niliyo bold ndo imenichekesha sana.....keli na umenena ukweli mtupu
 
Tusubiri ccm wakanushe kwani kwa kutumia akili ya kawaida tu.................kipindi cha mkapa zilitumika tsh.9bilion kukarabati ilkulu kwa hiyo ilitakiwa japo isubiriwe miaka mingine kama kumi hivi ili kukarabati tena.......ajabu haka kabwana mdogo kanatumia 29bilion....kukarabati nini tena????????
Kweli kuna kiongozi wa nchi hapo????
Kikwete anaombea tu achaguliwe atimize kiu ya kislamu ya kuwaanzishia mahakama ya kadhi ambayo italeta vita.....[/QUOTE]

Duhi, hiyo itakuwa tamu na itamweka mrithi wake kutoka Sisiemuuuuu kwenye hali mbaya zaidi kisiasa, kwani inasemekana agenda ya kuanzisha hiyo mahakama imenyofolewa kinamna kutoka kwenye ilani ya uchaguzi ya 2010. Hapo ndo watu watakapotaka kujua huo uanzishwaji umetoka wapi?
 
kwa mujibu wa CAG (kupitia kwa mbunge wa moshi mjini Ndesamburo), serikali ya Kikwete imetumia bilioni 29 (nimesema bilioni yenye B) kukarabati ikulu.

Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa bilioni 4+ miaka ya mwisho ya utawala wa Mwinyi, Mkapa alitumia karibu bilioni 10 kuikarabati.

Kikwete katumia bilioni 29 kwenye miaka yake mitano ya kwanza. Hizi bilioni 29 zilinunua nini?


Hizo BILIONI 29 ni pamoja na yale matumizi ya shughuli za kifamilia tulizokuwa tunazifanyia WAITI-HAUSI na kumbuka familia yote iko WAITI -HAUSI unategemea nn hapo mkuu :mad2::mad2: halafu bado watu watapanga foleni kuipigia kura CCM
 
tunaomba clear source and not kwa mujibu wa CAG! Mwenye hiyo report please tuiwasilishe
 
kwa mujibu wa CAG (kupitia kwa mbunge wa moshi mjini Ndesamburo), serikali ya Kikwete imetumia bilioni 29 (nimesema bilioni yenye B) kukarabati ikulu.

Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa bilioni 4+ miaka ya mwisho ya utawala wa Mwinyi, Mkapa alitumia karibu bilioni 10 kuikarabati.

Kikwete katumia bilioni 29 kwenye miaka yake mitano ya kwanza. Hizi bilioni 29 zilinunua nini?

Another rubbish!
 
Hivi CAG kasema ilitakiwa kiasi gani vile kufanya ukarabati??
Qualify and quantify your arguments otherwise huna hoja, why should you waste our valuable time reading unsubstantiated claims???
 
Labda hajui CAG stands for Mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali.
CCM kazi wanayo
 
Hivi CAG kasema ilitakiwa kiasi gani vile kufanya ukarabati??
Qualify and quantify your arguments otherwise huna hoja, why should you waste our valuable time reading unsubstantiated claims???

sasa mkuu wetu msomi uliyetukuka ... naomba ulete hizo namba za kuonesha kuwa ukarabati wa ikulu unagharimu bilioni 29
 
kwa mujibu wa CAG (kupitia kwa mbunge wa moshi mjini Ndesamburo), serikali ya Kikwete imetumia bilioni 29 (nimesema bilioni yenye B) kukarabati ikulu.

Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa bilioni 4+ miaka ya mwisho ya utawala wa Mwinyi, Mkapa alitumia karibu bilioni 10 kuikarabati.

Kikwete katumia bilioni 29 kwenye miaka yake mitano ya kwanza. Hizi bilioni 29 zilinunua nini?

Kuna gharama sana kuweka maintainance ya mambo kama haya!

DSC09816.JPG
 
Watu wazima na akili zenu timamu munatumia muda wenu kusambaza uongo na majungu. Hebu tumieni muda wenu kutubia kwa Mungu kwa uzushi wenu.
 
Bilioni 29 zingejenga hospitali kibao tu (au kununua vifaa kibao tu vya hospitali Tanzania)
 
More reasons to HATE ccm...
Watu wa ccm naona kama inzi ******. mnaruka kwenye mavi tu!
 
Back
Top Bottom