Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
kwa mujibu wa CAG (kupitia kwa mbunge wa moshi mjini Ndesamburo), serikali ya Kikwete imetumia bilioni 29 (nimesema bilioni yenye B) kukarabati ikulu.
Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa bilioni 4+ miaka ya mwisho ya utawala wa Mwinyi, Mkapa alitumia karibu bilioni 10 kuikarabati.
Kikwete katumia bilioni 29 kwenye miaka yake mitano ya kwanza. Hizi bilioni 29 zilinunua nini?
Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa bilioni 4+ miaka ya mwisho ya utawala wa Mwinyi, Mkapa alitumia karibu bilioni 10 kuikarabati.
Kikwete katumia bilioni 29 kwenye miaka yake mitano ya kwanza. Hizi bilioni 29 zilinunua nini?