Usichokijua vizuri ni usiku wa giza hio ilikuwa proposal ya mkurugenzi kwa mkuu wa mkoa na hesabu hiyo hafiki huko na zaidi katika barua tulioiona kwa mkuu wa mkoa madiwani wangelipwa posho ya siku tatu tu.
Ila kinachoonekana hapa mkurugenzi alikuwa amewapachika huko watumishi wengi sana kama 28 hivi waungane na madiwani madiwani ktk hiyo safari
Ila kinachoonekana hapa mkurugenzi alikuwa amewapachika huko watumishi wengi sana kama 28 hivi waungane na madiwani madiwani ktk hiyo safari