Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Ufisadi japo wengi wanauponda ila mimi binafsi naona una msaada kwa kiasi flani. Ni watu wachache sana Tanzania hii wanauwezo wa kumiliki bilioni 5.
Mtumishi wa umma au Mwanasiasa akipiga bilioni 5 anaweza hata kujenga hoteli watu wakapata ajira. Hizo pesa za ufisadi zinaweza hata kuanzisha makampuni yakatengeneza ajira kwa watu wengi.
Binafsi naona ufisadi unasaidia kwa kiasi flani.
Mtumishi wa umma au Mwanasiasa akipiga bilioni 5 anaweza hata kujenga hoteli watu wakapata ajira. Hizo pesa za ufisadi zinaweza hata kuanzisha makampuni yakatengeneza ajira kwa watu wengi.
Binafsi naona ufisadi unasaidia kwa kiasi flani.