Ufisadi tena: EWURA walipandisha bei ya mafuta kufidia chaguzi za CCM!

Hivi ni kwa nini uzushi huwa unaaminiwa haraka na kirahisi hivi? inanishangaza sana. Kuna watu wamekuwa maarufu kisiasa sababu ya uzushi wa hivi.

Kanuni na vigezo inavyotumia Ewura kutoa bei ya mafuta viko wazi kabisa na kila mtu makini akitaka anapata.

Najua wengi wasioipenda serikali hizi ni habari zinazoaminika kirahisi na ndo wanapenda kuzisikia. Ni vizuri tukaacha kuishi kwa kutegemea habari nyepesi za kizushi kama hizi.
HUU NI UZUSHI WA HALI YA JUU.
 
Jamani mbona haya kwetu tu ukienda hapo Burundi,bei ndogo wakati bandari wanayotumia ni yetu,au wao wanasoko lingine la kimataifa la mafuta?
Manake tunachoshwa na haya maisha.
 
Uwe na uhakika na taarifa unazotoa! Unasema wiki mbili zilizopita ndio bei ya mafuta ilipanda..una uhakika na taarifa yako? Bei zinabadilika kila mwanzo wa mwezi ndio Ewura wanatangaza bei elekezi..sasa unapotengeneza hoja kuwa bei ilipanda kwajili ya chaguzi za ccm wiki mbili zilizopita ni uzushi ambao huwezi hata kuutetea! Huna hoja tafuta hoja nyingine!

hivi jf imekuwaje?
Mbona watu wanachangia bila hata kuuliza chanzo cha habari au ushahidi?
Au kwavile ni habari mbaya ya serekali?
Ingekuwa ni habari mbaya ya chama cha upinzani ndo watu wangeuliza chanzo.
Kweli tunaelekea kubaya, kuna ushabiki wa kizuzu ambao ni hatari sana kwa mabadiliko ya kweli ya nchi yetu.
 
Hivi Mwikimbi ukuvaa chupi kweli wakati unapost hii thread? Wapi umeambiwa kuna soko la pamoja la mafuta Afrka Mashariki?

Hii elimu yetu jamani itusaidie hata mambo muhimu ktk maisha. Hata kama umefundishwa utumbo huu changanya na akili yako kidogo au huna kabisa?
 
Bei ya mafuta inashuka Marekani kwa asilimia 30 kama hapa Tanzania ?? Maana ilipanda kwa asilimia 30 pia !!
Yaani umeandika ili kutetea kupanda na kushuka kwa bei kiholela hapa Tanzania !! (kwa 30% !!!) sio 2% au 3% !!
Bila kujijua, au kwa kujua, unatetea ufisadi wa CCM na serikali yake kwa kuwaumiza watanzania wakiwemo ndugu zako waliopo hapa Tanzania.
Watanzania huwa mnapata nini kwa kutetea uozo na ufisadi ??

Tuliza munkari ndugu yangu. Sikuwa na lengo kabisa la kutetea ufisadi wa Tanzania. Nilikuwa nachangia tu kwamba hapa Marekani bei ya petroli hupanda na kushuka kutegemeana na bei ya soko la dunia. That is all.
 
Hizi ni dalili kuwa aliyetuma huu uzi ni mhuni, hana shule ya kuchanganua mambo na mambo mengi kadha wa kadha. Kama EWURA inakula deal na wauza mafuta wasingekuwa wanagoma hadi kuwapeleka EWURA mahakamani na kushindwa kesi ya kutaka EWURA irudishe bei za mwaka 2008.

Bei ya mafuta Tanzania yanaamriwa na soko la dunia na uwezo wa shilingi yetu full stop! kwa hiyo uhuni tuache na tuache kuingiza siasa za CCM kwenye shughuli ya udhibiti wa sekta ya mafuta. Inaskitisha sana, tena kwa taarifa inaaminika huu uzi umetumwa na Mbunge wa Chama kimoja kikubwa hapa nchini.
 
Hivi ni kwa nini uzushi huwa unaaminiwa haraka na kirahisi hivi? inanishangaza sana. Kuna watu wamekuwa maarufu kisiasa sababu ya uzushi wa hivi.

Kanuni na vigezo inavyotumia Ewura kutoa bei ya mafuta viko wazi kabisa na kila mtu makini akitaka anapata.

Najua wengi wasioipenda serikali hizi ni habari zinazoaminika kirahisi na ndo wanapenda kuzisikia. Ni vizuri tukaacha kuishi kwa kutegemea habari nyepesi za kizushi kama hizi.
HUU NI UZUSHI WA HALI YA JUU.

Mkuu naona unataka watu waamini unavoamini. Hebu jiulize swali moja moja, mwezi wa nane mafuta yamepanda 30% alafu mwezi wa tisa mafuta yakashuka 30% pia, ina maana soko la dunia linapanda na kushuka kiasi hicho?
Hebu twambie kwanini mafuta ya taa hayajapanda au kushuka? Tunajua CCM wanawalea watu wa mafuta kwa sababu hao jamaa wanawachangia hela nyingi. Hakukuwa na ulazima wa kuongeza bei mafuta ya taa kama kweli mnawajali wananchi wa kawaida.
 
Upenzi mwengine unakuwa wa kijinga yaani kila kitu siasa tu tafuta hoja zenye ukweli sio na wewe lazima uoneka jf
 
Ni vigumu sana viongozi hawa waliopo madarakani kuja kukwepa jela.wanatuibia sana.iko siku watajuta
 
Hizi ni dalili kuwa aliyetuma huu uzi ni mhuni, hana shule ya kuchanganua mambo na mambo mengi kadha wa kadha. Kama EWURA inakula deal na wauza mafuta wasingekuwa wanagoma hadi kuwapeleka EWURA mahakamani na kushindwa kesi ya kutaka EWURA irudishe bei za mwaka 2008.

Bei ya mafuta Tanzania yanaamriwa na soko la dunia na uwezo wa shilingi yetu full stop! kwa hiyo uhuni tuache na tuache kuingiza siasa za CCM kwenye shughuli ya udhibiti wa sekta ya mafuta. Inaskitisha sana, tena kwa taarifa inaaminika huu uzi umetumwa na Mbunge wa Chama kimoja kikubwa hapa nchini.
povu litakutoka kwa kubishabila ushahidi lakini muda si mrefu ukweli utadhihiri.
 
Wakuu, badala ya kutoana povu hapa na mpuuzi mmoja tu, ni vema tutaktumia ushahidi huu wa price template kujipigia hesabu wenyewe ili tupate bei ya mafuta.

Kama kuna mtu ana bei ya mwisho ya supply aendelee hapa. Ikumbukwe kwamba hii kanuni iko kwenye website ya ewura, ni public document. Na hata wauza mafuta huwa wanapiga hesabu kuona kama wamepunjwa na ewura. Niliyoipata hapa chini ni ya mwaka jana, kwa hiyo ni kuweka tu namba mpya.


http://www.ewura.go.tz/pdf/fuelprices/WEF 05-12-11 calc.pdf
 
Taarifa ya ujinga huu nilishaipata lakini nikawa kama siiamini hivi.Sasa kwa vile ushahidi huu umetoka kwa zaidi ya mtu mmoja, nadhani ni amina.CCM, mlipotufikisha watanzania ni pabaya sana.Mbele yenu kuna giza nene,lazima mtaangamia hamtapona.
ukweli utabaki kuwa ukweli!

ni wazi kuwa kada wa ccm haruna masebu, ambaye ni mkurugenzi wa ewura yuko kazini kisawa sawa, masebu ambaye akiwa mkufunzi wa chuo cha ardhi wakati ule, alikuwa pia ndiye katibu wa ccm tawi la chuo cha ardhi na swahiba mkuu wa lowasa. lowasa alivyochaguliwa mara ya kwanza kuwa waziri wa ardhi, jambo la kwanza lilikuwa ni kumteua masebu kuwa mkurugenzi mkuu wa national housing, baadaye PSRC na sasa EWURA.

wiki mbili zilizopita ewura ilitangaza ongezeko la bei ya mafuta kwa kiasi kikubwa, ongezeko hilo lilikuwa ni makubaliano kati ya mtu huyu na makampuni makubwa ya kifisadi ya mafuta na mkumbuke kuwa chaguzi za ccm nazo zilianza wiki mbili zilizopita. makampuni hayo yalikuwa yanatoa kama shs 100/- kwa kila lita ya mafuta hayo kufidia au kugharamia chaguzi za ccm

chaguzi za ccm zinakaribia kumalizika, na kwa kuwa ewura wanaogopa kuumbuka, leo wametangaza kushusha bei za mafuta karibia na ile bei iliyokuwepo kabla ya kupandisha kupata fedha za kufidia chaguzi za ccm.

ewura waje hapa wakane taarifa hii, nitawapa data toka yanakoagizwa mafuta , na hali ya mafuta nchi jirani za soko la pamoja la afrika mashariki.

ni vema pia kwa hujuma hii mkajua masebu ni ani katika nchi hii, ambapo uraia wake ukweli ni toka nchi ya rwanda

solurce" wazalendo ndani ya ewura
 
ukweli utabaki kuwa ukweli!

ni wazi kuwa kada wa ccm haruna masebu, ambaye ni mkurugenzi wa ewura yuko kazini kisawa sawa, masebu ambaye akiwa mkufunzi wa chuo cha ardhi wakati ule, alikuwa pia ndiye katibu wa ccm tawi la chuo cha ardhi na swahiba mkuu wa lowasa. lowasa alivyochaguliwa mara ya kwanza kuwa waziri wa ardhi, jambo la kwanza lilikuwa ni kumteua masebu kuwa mkurugenzi mkuu wa national housing, baadaye PSRC na sasa EWURA.

wiki mbili zilizopita ewura ilitangaza ongezeko la bei ya mafuta kwa kiasi kikubwa, ongezeko hilo lilikuwa ni makubaliano kati ya mtu huyu na makampuni makubwa ya kifisadi ya mafuta na mkumbuke kuwa chaguzi za ccm nazo zilianza wiki mbili zilizopita. makampuni hayo yalikuwa yanatoa kama shs 100/- kwa kila lita ya mafuta hayo kufidia au kugharamia chaguzi za ccm

chaguzi za ccm zinakaribia kumalizika, na kwa kuwa ewura wanaogopa kuumbuka, leo wametangaza kushusha bei za mafuta karibia na ile bei iliyokuwepo kabla ya kupandisha kupata fedha za kufidia chaguzi za ccm.

ewura waje hapa wakane taarifa hii, nitawapa data toka yanakoagizwa mafuta , na hali ya mafuta nchi jirani za soko la pamoja la afrika mashariki.

ni vema pia kwa hujuma hii mkajua masebu ni ani katika nchi hii, ambapo uraia wake ukweli ni toka nchi ya rwanda

solurce" wazalendo ndani ya ewura

amoo_300_200.jpg

Source: http://www.dailynews.co.tz/index.ph...lery/photo-gallery/10167-single-point-mooring

As of now on hakuna meli ya mafuta kubwa itakayotia nanga bandarini, it will discharge improted fuel from high seas = no demorage charges on fuel tankers which will have a huge effect on the price of the comodity
 
ndugu ewuru hutoa bei elekezi ya nishati kila baada ya wiki mbili na sio kila mwanzo wa mwezi kama ulivyodai

Jifunze kuwa mkweli hata kama haukupendezi. Bei elekezi hutolewa kila Jumatano ya kwanza ya mwezi sio kila wiki mbili
 
ukweli utabaki kuwa ukweli!

ni wazi kuwa kada wa ccm haruna masebu, ambaye ni mkurugenzi wa ewura yuko kazini kisawa sawa, masebu ambaye akiwa mkufunzi wa chuo cha ardhi wakati ule, alikuwa pia ndiye katibu wa ccm tawi la chuo cha ardhi na swahiba mkuu wa lowasa. lowasa alivyochaguliwa mara ya kwanza kuwa waziri wa ardhi, jambo la kwanza lilikuwa ni kumteua masebu kuwa mkurugenzi mkuu wa national housing, baadaye PSRC na sasa EWURA.

wiki mbili zilizopita ewura ilitangaza ongezeko la bei ya mafuta kwa kiasi kikubwa, ongezeko hilo lilikuwa ni makubaliano kati ya mtu huyu na makampuni makubwa ya kifisadi ya mafuta na mkumbuke kuwa chaguzi za ccm nazo zilianza wiki mbili zilizopita. makampuni hayo yalikuwa yanatoa kama shs 100/- kwa kila lita ya mafuta hayo kufidia au kugharamia chaguzi za ccm

chaguzi za ccm zinakaribia kumalizika, na kwa kuwa ewura wanaogopa kuumbuka, leo wametangaza kushusha bei za mafuta karibia na ile bei iliyokuwepo kabla ya kupandisha kupata fedha za kufidia chaguzi za ccm.

ewura waje hapa wakane taarifa hii, nitawapa data toka yanakoagizwa mafuta , na hali ya mafuta nchi jirani za soko la pamoja la afrika mashariki.

ni vema pia kwa hujuma hii mkajua masebu ni ani katika nchi hii, ambapo uraia wake ukweli ni toka nchi ya rwanda

solurce" wazalendo ndani ya ewura

Na uongo wako utabaki kuwa uongo. Hapa umekurupuka na kuleta uongo ambao hata roho yako inakusuta. Nachukia ufisadi, lakini mtu mwongo kama wewe ni mbaya kuliko hata mafisadi.
 
Makamanda tumwagieni management team ya EWURA TUWAJUE. sioni sababu kwanini kada mmoja ayumbishe authority yote. au chini yake kuna vijana wa kazi anawaogopa?
 
Back
Top Bottom