Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Mafisadi wa sector ya uwindaji hawa hapa.
Pamoja na kupata vitalu vyote hivi bado wanaendelea kuisumbua serikali na waziri et wameonewa kwenye ugawaji mpya uliofanyika. Angalia hapa chini jinsi watu 4 walivyojimilikisha vitalu hapa Tanzania
Industry Monopolies:
Jina na Kampuni anazoamiliki.
Sheni:
Total of 15 Blocks Acquired
Pasanisi:
Total of 14 Blocks Acquired
Mawalla:
Total of 14 Blocks Acquired
Harpreet:
Total of 16 blocks Acquired
Grand Total of approximately 60 hunting blocks in the hands of four people.
Wote ni vigogo wa TAHOA (TANZANIA HUNTING OPERATORS ASSOCIATION)Hiki ndicho chama kilichotumika kujimilikisha vitalu vingi bila huruma kwa kampuni zingine na bado wanaisumbua serikali.
Je, ni chama chenye kujali maendeleo kwa wote?
Na sio kwamba wana uwezo navyo ila ni mawakala wa matajiri wa nje.
Bright Tours na Raoul Ramoni wote pia wamo humu wakibebana kuhujumuraslimali za Taifa kwa ajili ya manufaa kwa wachache wasio Watanzania.
Sio tu wana vitalu, ila vitalu vyao ni vinono na bado wanataka kudhalilishawanyonge na kumdharau Waziri na kuitumbukiza serikali katika matatizo na mgogoro.
Pamoja na kupata vitalu vyote hivi bado wanaendelea kuisumbua serikali na waziri et wameonewa kwenye ugawaji mpya uliofanyika. Angalia hapa chini jinsi watu 4 walivyojimilikisha vitalu hapa Tanzania
Industry Monopolies:
Jina na Kampuni anazoamiliki.
Sheni:
- Game Frontiers
- Royal Frontiers
- Northern Hunting
- Western Frontiers
Total of 15 Blocks Acquired
Pasanisi:
- Gerald Pasanisi Safaris
- Tanzania Wildlife Safaris
- Barlette Safaris
- Fereck Safaris
Total of 14 Blocks Acquired
Mawalla:
- Tanzania Game Trackers
- Wengert Windrose
- Tanzania Wildlife Company
- Tandala Hunting Safaris
Total of 14 Blocks Acquired
Harpreet:
- Rungwa Safaris
- Bundu Safaris
- Kiboko Safaris
- Miombo Safaris
Total of 16 blocks Acquired
Grand Total of approximately 60 hunting blocks in the hands of four people.
Wote ni vigogo wa TAHOA (TANZANIA HUNTING OPERATORS ASSOCIATION)Hiki ndicho chama kilichotumika kujimilikisha vitalu vingi bila huruma kwa kampuni zingine na bado wanaisumbua serikali.
Je, ni chama chenye kujali maendeleo kwa wote?
Na sio kwamba wana uwezo navyo ila ni mawakala wa matajiri wa nje.
Bright Tours na Raoul Ramoni wote pia wamo humu wakibebana kuhujumuraslimali za Taifa kwa ajili ya manufaa kwa wachache wasio Watanzania.
Sio tu wana vitalu, ila vitalu vyao ni vinono na bado wanataka kudhalilishawanyonge na kumdharau Waziri na kuitumbukiza serikali katika matatizo na mgogoro.