Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Kwa wote mnaofahamu ufisadi mkubwa unaofanywa na January Makamba na Ruge Mutahaba, cha kwanza mtakachokifikiria ni Issue ya No More Malaria. Kusema kweli hili swala sijui ni kwa nini vyombo vya dola havikuingilia kati na kumbana January Makamba kwa kutumia nafasi yake ndani ya Ikulu na kutoa Zabuni kwa rafiki zake wa Clouds FM.
Hili swala lilikuwa zito mno, na karibu kuliingiza Ikulu katika utata Mkubwa. Ina maana kwamba, Sugu a.k.a Mr. II alikuja na No More Malaria Toka Marekani, kufika Tanzania, January Makamba kadandia na kuingiza Clouds FM, matokeo yake wakafanya sherehe kubwa sana na kumwalika Rais. Cha ajabu VIP waliingia bure na kupewa vyandarua, watu wachini walilazimika kulipa kiingilio cha Tsh. 3,000 na pia kulazimika kununua vyandarua. January Makamba kwenye kampeni yake kachangiwa hela nyingi sana kutumia mgongo wa Ikulu karibia millioni 600. Najiuliza kwa minajili gani?
January amejiingiza katiba dili nyingi mno na wahindi, msishangae EPA nyingine ipasuke miezi kadhaa ijayo. Huyu kijana amezidisha kiherere kama dadake Mwamvita wa VODACOM. Sijui hii damu ya makamba, sijui, nyie mtaamua kwamba tatizo ni nini na hii famia ya makamba iliyokaa kinyang'au nyang'au!
Hili swala lilikuwa zito mno, na karibu kuliingiza Ikulu katika utata Mkubwa. Ina maana kwamba, Sugu a.k.a Mr. II alikuja na No More Malaria Toka Marekani, kufika Tanzania, January Makamba kadandia na kuingiza Clouds FM, matokeo yake wakafanya sherehe kubwa sana na kumwalika Rais. Cha ajabu VIP waliingia bure na kupewa vyandarua, watu wachini walilazimika kulipa kiingilio cha Tsh. 3,000 na pia kulazimika kununua vyandarua. January Makamba kwenye kampeni yake kachangiwa hela nyingi sana kutumia mgongo wa Ikulu karibia millioni 600. Najiuliza kwa minajili gani?
January amejiingiza katiba dili nyingi mno na wahindi, msishangae EPA nyingine ipasuke miezi kadhaa ijayo. Huyu kijana amezidisha kiherere kama dadake Mwamvita wa VODACOM. Sijui hii damu ya makamba, sijui, nyie mtaamua kwamba tatizo ni nini na hii famia ya makamba iliyokaa kinyang'au nyang'au!