Ufisadi Nchini Tanzania. "Tujishikilie Vizuri Wameanza Tena"

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,321
11,410
IMG-20210513-WA0012.jpg


Ni hadithi ya wazazi ambao walikuwa wanalala na watoto wao wadogo wawili katika kitanda kimoja.

Ilipokuwa inafika usiku na wazazi wakiamini watoto wamelala wakawa wanafanya tendo la ndoa. Bahati mbaya katika kufurahia jambo lao wakamwangusha yule mdogo chini.

Akalia...akabembelezwa na kurudi kulala. Kaka yake aliumizWa sana na kitendo hicho. Wazazi wakasubiria baada ya dk chache wakaamini watoto wamelala.

Wakaanza tena kufanya tendo la ndoa kwa fujo za raha zao.ndipo mkubwa akapiga kelele akimwambia mdogo"Juma jishikilie vizuri wameanza tena"

Hizi gharama za matengenezo ya hii nyumba angekuwepo marehemu Dr. John P.Magufuli kweli zingekuwa hivi?

Watanzania tunapaswa kujishikilia vizuri wezi wameanza tena. Hii nyumba kweli ya mili 500+? Kweli ndugu zanguni?

Hii nyumba kuna hesabu za kekundu keuzi zimefanyika kipindi hiki ambacho hakuna wa Kukemea kuna watu wanaongeza hesabu juu kwa juu. Angekuwepo Magufuli wasingefikisha hiyo pesa. Kuna uwezekano baada ya mwezi amefariki watu wakakaa wakaandika upya gharama na kugawa cha juu.

Sikuwahi kuwa fan wa Magufuli na mnaweza angalia threads zangu za kale. Ila huwa napenda kusimamia ukweli na ninachokiamini. Mama Samia usiruhusu Ufisadi urudi tena.tunakuomba. hawa wanakujaribu. Wakiona unacheka nao wananchi tutakuja juta.
 
Simu katika ofisi za serikali muwe mnapokea kama hamtaki msiweke hizo namba, mnazingua PSSF na Utumishi huo ni mfano tu mnawateza wazazi wetu
 
Hizi gharama za matengenezo ya hii nyumba angekuwepo marehemu Dr. John P.Magufuli kweli zingekuwa hivi?

Watanzania tunapaswa kujishikilia vizuri wezi wameanza tena. Hii nyumba kweli ya mili 500+? Kweli ndugu zanguni?.
Kwa hiyo kwa akili zako unaamini hiyo nyumba ya kwenye picha hapo juu imeanza kujengwa kipindi cha utawala wa Mh. Rais SSH mara baada ya kifo cha Mwendazake? Muwe mnachanganya na akili zenu kidogo basi siyo kubaki na za kuambiwa tu.
 
Huo wizi umeanza tokea Enzi za mwendazake hata hiyo nyumba imeanza kujengwa kipindi cha magufuli....wajanja wamepiga Sana hela Enzi za mwendazake
HASWAAAAH!
Nyumba haijajengwa ndani ya miezi miwili. Imeanza kujengwa huku mwendazake yupo, CAG angesema wangesema anamchafua mwendazake.

Mamluki waliokuwa wanataka LEGACY ya mwendazake, wameona it's too forward, wameamua kuja kivingine, wameanza na bandari, hawaku-coordinate tukio vizuri, likabuma, werevu wakawashtukia, wasiotaka utawala wa mama Rais, wanahangaika SANA.
Sukuma GANG, at work.

Everyday is Saturday................................:cool:
 
View attachment 1783314

Ni hadithi ya wazazi ambao walikuwa wanalala na watoto wao wadogo wawili katika kitanda kimoja.

Ilipokuwa inafika usiku na wazazi wakiamini watoto wamelala wakawa wanafanya tendo la ndoa. Bahati mbaya katika kufurahia jambo lao wakamwangusha yule mdogo chini.

Akalia...akabembelezwa na kurudi kulala. Kaka yake aliumizWa sana na kitendo hicho. Wazazi wakasubiria baada ya dk chache wakaamini watoto wamelala.

Wakaanza tena kufanya tendo la ndoa kwa fujo za raha zao.ndipo mkubwa akapiga kelele akimwambia mdogo"Juma jishikilie vizuri wameanza tena"

Hizi gharama za matengenezo ya hii nyumba angekuwepo marehemu Dr. John P.Magufuli kweli zingekuwa hivi?

Watanzania tunapaswa kujishikilia vizuri wezi wameanza tena. Hii nyumba kweli ya mili 500+? Kweli ndugu zanguni?

Sikuwahi kuwa fan wa Magufuli na mnaweza angalia threads zangu za kale. Ila huwa napenda kusimamia ukweli na ninachokiamini. Mama Samia usiruhusu Ufisadi urudi tena.tunakuomba. hawa wanakujaribu. Wakiona unacheka nao wananchi tutakuja juta.
Ufisadi haujawahi kuisha au kupungua nchi hii sema kipindi cha meko kila mtu alikuwa muoga kuuweka wazi lakini pesa zililiwa sana!!zamu hii lazima hayo yaonekane sana kwani kipindi kirefu yamefanyika bila kuwekwa wazi!!sasa kila chombo cha habari chenye taarifa yoyote ya ufisadi ruksa kuuweka hadharani, mama asihukumiwe kwa hayo!!
 
Kwa hiyo kwa akili zako unaamini hiyo nyumba ya kwenye picha hapo juu imeanza kujengwa kipindi cha utawala wa Mh. Rais SSH mara baada ya kifo cha Mwendazake? Muwe mnachanganya na akili zenu kidogo basi siyo kubaki na za kuambiwa tu.
Mkuu usiwalaumu akili za kuchanganya hawana...
 
View attachment 1783314

Ni hadithi ya wazazi ambao walikuwa wanalala na watoto wao wadogo wawili katika kitanda kimoja.

Ilipokuwa inafika usiku na wazazi wakiamini watoto wamelala wakawa wanafanya tendo la ndoa. Bahati mbaya katika kufurahia jambo lao wakamwangusha yule mdogo chini.

Akalia...akabembelezwa na kurudi kulala. Kaka yake aliumizWa sana na kitendo hicho. Wazazi wakasubiria baada ya dk chache wakaamini watoto wamelala.

Wakaanza tena kufanya tendo la ndoa kwa fujo za raha zao.ndipo mkubwa akapiga kelele akimwambia mdogo"Juma jishikilie vizuri wameanza tena"

Hizi gharama za matengenezo ya hii nyumba angekuwepo marehemu Dr. John P.Magufuli kweli zingekuwa hivi?

Watanzania tunapaswa kujishikilia vizuri wezi wameanza tena. Hii nyumba kweli ya mili 500+? Kweli ndugu zanguni?

Sikuwahi kuwa fan wa Magufuli na mnaweza angalia threads zangu za kale. Ila huwa napenda kusimamia ukweli na ninachokiamini. Mama Samia usiruhusu Ufisadi urudi tena.tunakuomba. hawa wanakujaribu. Wakiona unacheka nao wananchi tutakuja juta.
Wewe jamaa na "stori" yako hiyo ya hao watoto...!

Sasa tutajishikilia vizuri kwa njia zipi. Hebu weka stori nyingine hapa kuhusu hilo!
 
Watu wanapagua siyo kuiba tena, maza naye kagawa nyumba na gari, siyo mbaya kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
Mkuu 'Babati' Bhwaanaah!

Wewe bado unalilia 'magofu' yatakayokuwa mapango ya popo na kusahau jinsi mama anavyopanga mipango mikubwa zaidi ya kutusambaratisha kama taifa?

Anasema "anakwenda kufungua nchi," ambayo kiuhakika haikufungwa, bali ni nati tu zimekazwa..., hivi umejaribu kuifikiria kwa makini zaidi kauli hiyo?

Ardhi ndiyo nyenzo kubwa kabisa kwa maskini wa kiTanzania; badala ya kuwezeshwa (kwa njia mbalimbali, hata elimu tu katika matumizi ya ardhi hiyo, ni kuwezeshwa), mama anataka awazawadie waliomfurahisha kwenye kikao chao huko ughaibuni!

Na hilo ni moja tu, hatujui na mengine makubwa zaidi ya kufungulia nchi yanayopangwa ni yapi!

Sasa ndugu yangu, hivyo vighorofa visikupe 'pressure' kubwa zaidi, mazito zaidi yako njiani yanakuja.
 
View attachment 1783314

Ni hadithi ya wazazi ambao walikuwa wanalala na watoto wao wadogo wawili katika kitanda kimoja.

Ilipokuwa inafika usiku na wazazi wakiamini watoto wamelala wakawa wanafanya tendo la ndoa. Bahati mbaya katika kufurahia jambo lao wakamwangusha yule mdogo chini.

Akalia...akabembelezwa na kurudi kulala. Kaka yake aliumizWa sana na kitendo hicho. Wazazi wakasubiria baada ya dk chache wakaamini watoto wamelala.

Wakaanza tena kufanya tendo la ndoa kwa fujo za raha zao.ndipo mkubwa akapiga kelele akimwambia mdogo"Juma jishikilie vizuri wameanza tena"

Hizi gharama za matengenezo ya hii nyumba angekuwepo marehemu Dr. John P.Magufuli kweli zingekuwa hivi?

Watanzania tunapaswa kujishikilia vizuri wezi wameanza tena. Hii nyumba kweli ya mili 500+? Kweli ndugu zanguni?

Sikuwahi kuwa fan wa Magufuli na mnaweza angalia threads zangu za kale. Ila huwa napenda kusimamia ukweli na ninachokiamini. Mama Samia usiruhusu Ufisadi urudi tena.tunakuomba. hawa wanakujaribu. Wakiona unacheka nao wananchi tutakuja juta.
Huu ujenzi wa hii nyumba unaonesha kabisa ulianza kabla ya Pombe kufariki. Sasa utasemaje kuwa wizi ndiyo umeanza?! Kauli sahihi ni kuwa wizi unaendelea! Hapo unataka kumpakazia mama wa watu tu!
 
Huo wizi umeanza tokea Enzi za mwendazake hata hiyo nyumba imeanza kujengwa kipindi cha magufuli....wajanja wamepiga Sana hela Enzi za mwendazake.

Inashangaza mtoa mada halijui hilo.....Au hakuona ile thread iliyoadili hili swala? Nyumba kibaoa za ma dc na rc zimejengwa kwa fedha za kufuru nyingine ukarabati umeenda hadi mil 500.
 
Back
Top Bottom